Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ndio ndioThis is simba [emoji91][emoji91][emoji91]
Bado mawili ya MK
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndioThis is simba [emoji91][emoji91][emoji91]
Bado mawili ya MK
unasema..?@Shaffih Dauda anasema....Mechi kadhaa za mwisho za TP Mazembe ndani ya uwanja wao wa Nyumbani.
::
Mazembe 2 - 0 CS Costantine
Mazembe 8 - 0 Club Africain
Mazembe 2 - 0 Ismaily
Mazembe 1 - 0 Zesco United
Mazembe 1 - 1 De Agosto
Mazembe 1 - 1 Difaa El Jadida
Mazembe 1 - 0 MC Alger
Mazembe 4 - 1 El Setif
Mazembe 4 - 0 US Dongo
::
Takwimu zinaonesha katika mechi 4 za mwisho hawajaruhusu goli lolote wakiwa nyumbani wakiwa wamefunga magoli 12.
::
Wakati upande wa pili wa karata Vigogo wa soka wa Tanzania Simba mechi zake 4 za mwisho ugenini wamefunga goli moja tu dhidi ya (Nkana FC) na kufungwa magoli 14.
::
Kikubwa tahadhari na kumheshimu mwenyeji. Magoli ni kitu cha muhimu.
Nasema shafii dauda hata lifti wasimpe wamwache huko huko mtu gani kazi yake kukatisha tamaa tu
Simba 3 - 1 Mazembe
Mazembe 3-1 SimbaSimba 3 - 1 Mazembe
Okwi kashamnajisi mtu tayariYaani Kagere anaanzia benchi!! Hii stratergy itawachanganya sana TP Mazembe!!!! Naliona goli la Okwi Mapemaaaaa!!!!!