Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 793
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho imekuuma chura!!
Hiyo n historia@Shaffih Dauda anasema....Mechi kadhaa za mwisho za TP Mazembe ndani ya uwanja wao wa Nyumbani.
::
Mazembe 2 - 0 CS Costantine
Mazembe 8 - 0 Club Africain
Mazembe 2 - 0 Ismaily
Mazembe 1 - 0 Zesco United
Mazembe 1 - 1 De Agosto
Mazembe 1 - 1 Difaa El Jadida
Mazembe 1 - 0 MC Alger
Mazembe 4 - 1 El Setif
Mazembe 4 - 0 US Dongo
::
Takwimu zinaonesha katika mechi 4 za mwisho hawajaruhusu goli lolote wakiwa nyumbani wakiwa wamefunga magoli 12.
::
Wakati upande wa pili wa karata Vigogo wa soka wa Tanzania Simba mechi zake 4 za mwisho ugenini wamefunga goli moja tu dhidi ya (Nkana FC) na kufungwa magoli 14.
::
Kikubwa tahadhari na kumheshimu mwenyeji. Magoli ni kitu cha muhimu.
"Zis iz simba" bwana[emoji39][emoji39][emoji39]This is simba [emoji91][emoji91][emoji91]
Bado mawili ya MK
PoleYebaba naona boco akimaliza mchezo dakika za mwanzo kwa kujifunga muda wa coner, TP mathembe msituangushe chapa hao tano,boko chiiiiiiiiiii.
Kuwa mpole mkuu tuombe tuongoze hadi first halfRefa vipi, kwani halftime bado tu!
Mkuu wewe ni mtabiri?Yaani Kagere anaanzia benchi!! Hii stratergy itawachanganya sana TP Mazembe!!!! Naliona goli la Okwi Mapemaaaaa!!!!!
Mkuu yametimia uliyoyasemaYaani Kagere anaanzia benchi!! Hii stratergy itawachanganya sana TP Mazembe!!!! Naliona goli la Okwi Mapemaaaaa!!!!!