EmmanueldTz
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 288
- 262
nNgoja tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nNgoja tuone
Lisemwalo lipo, ngoja tusubiriMahesabu ya kocha ni kuwa na sub yenye nguvu iliyosoma mchezo. Lakini pia hii mechi inaweza kwenda dk 120, ni vizuri kujiandaa mapema kwa lolote.
Lakini pia Akili ya TP Mazembe iko kwa Kagere!! Kutokuanza kwa Kagere kutawachanganya TP Mazembe kisaikologia!!!!
Mkuu na wewe umeona, sijui tatizo ni nini!mpira wanao cheza simba unatia aibu
Kamanda, hilo limekuwa jambo la kawaida. Thread nyingi za mechi za Yanga waanzisha wanazi wakubwa wa Simbanyie Yanga mbona mna kimbembele na mechi za Simba kwanini usituachie Simba yetu na nyie mpambane na hali yenu
Jana sio kama leo, goli lishapatikanaNakubaliana na wewe mkuu.
Simba wanapata tabu sana kupata goli ugenini, achilia ushindi.
Je, TP Mazembe watakuwa wazembe kiasi cha kuwaachia Simba wajipatie sare ya magoli au ushindi?
Time will tell.
Ngoja tukae kwa kutuliaYaani jinsi navyohesabu dakika leo, noma sana.