MambooAiseeee
Ni kweli mkuu. Half time. Sisi 2 wao 1.Jana sio kama leo, goli lishapatikana
Hahaha hadi wewe!!Naona mpira ushaisha, hawa wa Kimataifa hawana mikakati ya kushinda. Zana ule mpira alishindwa kuosha?
Yule Zana katuchomaMpira bado ngum ila hamna mchezaji wa kumlaum
Usisahau kuwaomba mchango
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushamba huwa unachangia sometimes,mtu unakuwa kama umemwagiwa majiKwa mchezo huu wa Leo, Simba kushinda itakuwa Miujiza.
Halafu Bocco angetolewa, hayupo mchezoni kabisa.