Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC na TP Mazembe zatoka sare uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC na TP Mazembe zatoka sare uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

Africa nzima inayo hii habari. Timu tishio katika michuano ya Club Bigwa Africa inakutana na timu nzito TP Mazembe,zikiwa ni timu pekee Afrika Mashariki na Kati katika hatua ya robo fainali.

Tulia hapa JF utapata kila kitu katika mtanange huu unaopigwa Uwanja wa Taifa

View attachment 1064060

DUA
Mungu muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo,tunakunyenyekea utujaalie ushindi mkubwa. Tumekuwa wanyonge muda mrefu tukiamini ipo siku ambayo ni leo utatunyanyua na kuteweka katika kilele.

Mungu Ibariki Simba,Mungu ibariki Tanzania
Kwenye live updates weka ushabiki pembeni, Weka na kikosi cha TP Englebert Mazembe twende sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijapenda timu kuanza bila natural winger labda kama okwi hayuko sawa hua ni threat anapokua uwanjani wapinzani hua wanajua kuna Mtu hatari hivyo wanapomchunga wengine hupata nafasi ya kucheza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uchura,kuwa mzalendo
Hapa wewe ulikuwa mzalendo?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hakuna live link ya kucheki hio match
 
Kila la kheri Simba

BAMUTU BA KONGO BAMEKUJA TENA?........ngoja tuone itakuwaje.
 
Back
Top Bottom