Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC na TP Mazembe zatoka sare uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika: Simba SC na TP Mazembe zatoka sare uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

Hawa jamaa wanalazimisha sare au wapunguze idadi ya magoli ili tukienda kwao iwe rahisi.
 
Africa nzima inayo hii habari. Timu tishio katika michuano ya Club Bigwa Africa inakutana na timu nzito TP Mazembe,zikiwa ni timu pekee Afrika Mashariki na Kati katika hatua ya robo fainali.

Tulia hapa JF utapata kila kitu katika mtanange huu unaopigwa Uwanja wa Taifa

View attachment 1064060

DUA
Mungu muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo,tunakunyenyekea utujaalie ushindi mkubwa. Tumekuwa wanyonge muda mrefu tukiamini ipo siku ambayo ni leo utatunyanyua na kuteweka katika kilele.

Mungu Ibariki Simba,Mungu ibariki Tanzania
Mkuu umeanzisha Uzi alafu updates Hamna kwanini?? Unaboa Sana kama haukuwa kwenye nafasi nzuri ya kuleta updates ungeacha wengine walete Uzi huu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dak 34
Andadogi 0- 0 TP Mazembe
 
Dk ya 34 bila bila
kagere kapga tick tak ila imegonga mwamba

Voxser empire
 
Back
Top Bottom