Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Kazingua boya huyo.. Kwanini asimpe hata okwiSiku ya leo ishajionyesha sio nzuri kwa bocco kaisha kosa magoli ya wazi mawili penalti akutakiwa kungangania maana nikujitaftia lawama bora angepiga kagere au nyoni. Mbona samatta ni kepteni ila siku ya mechi ya uganda aliona bora apige nyoni. Ubinafsi wakati mwingine unaponza.