Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
Nasubl tamisemi watoe ajiraTulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini?
Umeaccomplish mikakati yako?
Mimi nilisema nitafanya savings, ila kutunza pesa Dar Jamani eeeh?
Unataka ngapi kwa ngapi?naogopa nusu kwa nusu
0% kwa 100%Unataka ngapi kwa ngapi?
Kupata kazi nayo ni mikakatiWaru tunawaza kutafuta kazi wewe unawaza kutimiza mikakatiπ€¨π€¨π€¨
Kikubwa Pumzi πUtasikia Bora uzima ujue hakuna jipya hapoπ€£π€£
Mafanikio ya mtu kwamfano uchumi, kipato,pesa,majukumu n.k ni something very personal&private...ni malimbukeni pekee wanao-share mafanikio kwenye social mediaππTulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini?
Umeaccomplish mikakati yako?
Mimi nilisema nitafanya savings, ila kutunza pesa Dar Jamani eeeh?
Hehehe simpo tu hivyo hata wewe huoni huruma au wewe ndio unatoa 100%0% kwa 100%
I receive πTunajivunia wewe
Mafanikio ya mtu kwamfano uchumi,kipato ,majukumu ni suala personal&
Mafanikio ya mtu kwamfano uchumi, kipato,pesa,majukumu n.k ni something very personal&private...ni malimbukeni pekee wanao-share mafanikio kwenye social mediaππ
Aiseee shida sanaNasubl tamisemi watoe ajira
Umekula mtaji na faidaNilifanikiwa kuanzisha biashara ya kuuza kuku wa kienyeji yenye mtaji wa sh 300k lakini mpaka kufikia wakati huu nimefanikiwa kuwala wote ππ½ππ½ππ½ππ½
Pole sana, usikate tamaa ilaMungu mwema yanaendelea kutimia japo kibishi saaanaππ
kampelewele
Ndo hivyo mkuu,, acha nione mwisho wa mwaka nitakuwa nimejipata vipi??Umekula mtaji na faida
Kwakweli kukata tamaa haitawezekana,,.Pole sana, usikate tamaa ila
Kikubwa uzimaTulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini?
Umeaccomplish mikakati yako?
Mimi nilisema nitafanya savings, ila kutunza pesa Dar Jamani eeeh?