Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ππππ hatareee jiraniSawa tajiri na iwe hivyo.
Kwa upande wangu huu mwaka uishe tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ hatareee jiraniSawa tajiri na iwe hivyo.
Kwa upande wangu huu mwaka uishe tu.
Ndoto za mchana ni mbaya sana.Upande wangu mambo yako kwenye line, naomba Mungu azidi kunishika mkono siku moja niporomoshe bonge la hotel Dom π€£
Na sehemu ya kwanza kulipost ni hapa JF na ntaweka wazi mpk uhalisia wangu ππ
Ndio kwanza tupo kwenye robo ya piliSawa tajiri na iwe hivyo.
Kwa upande wangu huu mwaka uishe tu.
Namshukuru Mungu malengo kama manne hivi niko nayo sawa ππTulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini?
Umeaccomplish mikakati yako?
Mimi nilisema nitafanya savings, ila kutunza pesa Dar Jamani eeeh?
Haahha acha procrastination has been a new deadly sinSina nilicho accomplish
Procrastination na uvivu ndo maadui wangu wakubwa.
Na muomba mungu anisaidie niweze kushinda hili pepo, na wachawi wote wanaoniwangia usiku na mchana nisitoboe.π€£
Huu mwaka na uishe tu, umekula watu wangu wa karibu wengi mpaka Captain Gadner, hapana bora uishe tu.ππππ hatareee jirani
Uishe tu mkuu mpaka ifike december itakuwa nimechoka sana.Ndio kwanza tupo kwenye robo ya pili
Siku ukimalize ntakuwa mlinzi getiniUpande wangu mambo yako kwenye line, naomba Mungu azidi kunishika mkono siku moja niporomoshe bonge la hotel Dom π€£
Na sehemu ya kwanza kulipost ni hapa JF na ntaweka wazi mpk uhalisia wangu ππ
Na wewe wa mawingu? Pole sana jirani..!! Mbona hujasema nikushike siku ya msiba leaders?? πHuu mwaka na uishe tu, umekula watu wangu wa karibu wengi mpaka Captain Gadner, hapana bora uishe tu.
Ww mtu mzito bana daddie labda unipe udhamini wa kukamilisha ndoto yangu πTunaoenda na wakati tu
Siku ukimalize ntakuwa mlinzi getini
Ndio ulikuwa umevalia mawani makubwa kuliko kichwa? Umejipodoa kama jokeri πNa wewe wa mawingu? Pole sana jirani..!! Mbona hujasema nikushike siku ya msiba leaders?? π
Mwehu wee!! ππππNdio ulikuwa umevalia mawani makubwa kuliko kichwa? Umejipodoa kama jokeri π
Omg I try so hard to fight it, ila najua kuna mchawi kabisa sio bure, kina nguvu za giza zina ni attack. Mungu anisaidie niweze kulishinda.Haahha acha procrastination has been a new deadly sin
Hahahaha the devil is at work, anahasiraOmg I try so hard to fight it, ila najua kuna mchawi kabisa sio bure, kina nguvu za giza zina ni attack. Mungu anisaidie niweze kulishinda.
Unaamka asubuhi with motivation baada ya breakfast tyr nime log in jf!
π pole sana sasa mbona hukuwa unalia?Mwehu wee!! ππππ
Nilikuwa km bi kidude
This shit is real, ila nimegundua an idle mind is the devil's playground.Hahahaha the devil is at work, anahasira
heheh tuendelee tuombe tuweze kuaccomplish mambo yetuThis shit is real, ila nimegundua an idle mind is the devil's playground.
I'll have to fix where i put my attention.
Nilie mie ndo mjane wake? ππ pole sana sasa mbona hukuwa unalia?
Basi basi basi eeh πNilie mie ndo mjane wake? π