Robo ya mwaka imeisha tayari, umetimiza mikakati gani?

Robo ya mwaka imeisha tayari, umetimiza mikakati gani?

Shem ntakucheck tuongee kwa kirefu unioe abc za uko
Poa ila muhimu ni lazima ujiambie kuwa fursa zipo. Ofkooz Zanzibar zipo nyingi tu! Hata kumiliki kampuni wala sio Kaz kubwa... Kampuni nyingi zinapata pesa nansio competent kihivyo.

Zanzibar watu walioishia form four na kupata training za vitendo miez mitatu au sita wakapata kampuni sahihi wanaish vizur kuliko digrii mbili hapo dar!
 
Poa ila muhimu ni lazima ujiambie kuwa fursa zipo. Ofkooz Zanzibar zipo nyingi tu! Hata kumiliki kampuni wala sio Kaz kubwa... Kampuni nyingi zinapata pesa nansio competent kihivyo.

Zanzibar watu walioishia form four na kupata training za vitendo miez mitatu au sita wakapata kampuni sahihi wanaish vizur kuliko digrii mbili hapo dar!
Subiri nije pm hapa jau
 
Upande wangu mambo yako kwenye line, naomba Mungu azidi kunishika mkono siku moja niporomoshe bonge la hotel Dom 🤣
Na sehemu ya kwanza kulipost ni hapa JF na ntaweka wazi mpk uhalisia wangu 😍😍
Sawa tajiri na iwe hivyo.

Kwa upande wangu huu mwaka uishe tu.
 
Back
Top Bottom