raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Utanipa kazi tajiri hata ya kufua mashuka πraraa reree sijapentraa kicheko chako cha kebehi π€£π€£π€£π€£
Kwamba siwezi kuporomosha hotel ukaja na bebez zako kupumzika?? Tena ww utakuwa na kadi ya uanachama utapewa punguzo πππ
kikubwa pumziTulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini?
Umeaccomplish mikakati yako?
Mimi nilisema nitafanya savings, ila kutunza pesa Dar Jamani eeeh?
π€£π€£π€£π€£ usijali ntakuweka reception ili uwe unashuhudia pisi kali zikipita usafishe macho!!Utanipa kazi tajiri hata ya kufua mashuka π
nilifanikiwa kuingia shamba na kulima na kupanda ekari kadhaa za mazao ya chakula na biashara na nikafanikiwa kupalilia vema. Namshukuru Mungu, kwa neema na baraka zake natarajia kuvuna hivu karibuniTulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini?
Umeaccomplish mikakati yako?
Mimi nilisema nitafanya savings, ila kutunza pesa Dar Jamani eeeh?
Aaaaah tajiri sitaishi kizembe lazima niwe na chumba changu hapo ππ€£π€£π€£π€£ usijali ntakuweka reception ili uwe unashuhudia pisi kali zikipita usafishe macho!!
Staff room muhimu ili uwe unavusha π€£π€£π€£Aaaaah tajiri sitaishi kizembe lazima niwe na chumba changu hapo π
Staff room wapi tajiri suite moja lazima nijimilikisheStaff room muhimu ili uwe unavusha π€£π€£π€£
Hata usipooa utakufa tunaogopa nusu kwa nusu
Suite utaleta hasara sasa!! Hizo room ni za matajiri bana πππStaff room wapi tajiri suite moja lazima nijimilikishe
hahaha bora nife na kibunda changuHata usipooa utakufa tu
Tunanunulia gambe huendi nazo ng'ooohahaha bora nife na kibunda changu
.... na makange 'adhim pale TabataTunanunulia gambe huendi nazo ng'ooo
Na totoz tunapata.... na makange 'adhim pale Tabata
hapo hapo Tabata au ?Na totoz tunapata
Tunawaagizahapo hapo Tabata au ?
Nimekupenda bureUpande wangu mambo yako kwenye line, naomba Mungu azidi kunishika mkono siku moja niporomoshe bonge la hotel Dom π€£
Na sehemu ya kwanza kulipost ni hapa JF na ntaweka wazi mpk uhalisia wangu ππ
Sijatimiza chochote na wala sikuwa lengo lolote..Tulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini?
Umeaccomplish mikakati yako?
Mimi nilisema nitafanya savings, ila kutunza pesa Dar Jamani eeeh?