Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
😄 usijali we ukikaribia karibia nishtue tuWw mtu mzito bana daddie labda unipe udhamini wa kukamilisha ndoto yangu 😜
Najua una mipango kabambe huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄 usijali we ukikaribia karibia nishtue tuWw mtu mzito bana daddie labda unipe udhamini wa kukamilisha ndoto yangu 😜
🤭 🙏😄 usijali we ukikaribia karibia nishtue tu
Najua una mipango kabambe huko
Tlaahtlaah H****nnilifanikiwa kuingia shamba na kulima na kupanda ekari kadhaa za mazao ya chakula na biashara na nikafanikiwa kupalilia vema. Namshukuru Mungu, kwa neema na baraka zake natarajia kuvuna hivu karibuni
mengine katika mipango na matarajio yangu kwa mwaka huu mpya2024, mathalani ya ufugaji na siasa, kwa kiasi kikubwa yanasogea taratibu na kusonga mbele vizuri. Naimani kwa bidii, maarifa na kwa kuto kukata tamaa kwangu, Mungu ataendelea kunifadhili na kunikirimia zawadi hii muhimu sana ya uhai na afya njema, alizonipa bure, ili hatimae niweze kuyafikia na kutimiza yote mema niliyopanga na kuyatarajia kwa mwaka huu, sawa sawa na mapenzi yake Mungu![]()
wap huTlaahtlaah H****n
Umenikumbusha classmate wangu mmoja
koMikoa karibu na makak makuu ya nchiwap huko
Nishatimiza 95%Tulimaliza robo mwaka March, zile resolution zako ulizosema mwanzoni mwa mwaka utafanya hiki na kile, Mpaka sasa umefanya nini?
Umeaccomplish mikakati yako?
Mimi nilisema nitafanya savings, ila kutunza pesa Dar Jamani eeeh?