Rockstar wanaringa sana ukizingatia bado gta 5 inauza. Yaani ilitoka 2013 kwenye ps3, ilivyotoka ps4 wakaiweka pia. kwenye ps5 pia inafanya kazi.Inaonekana Umefurahii kupata hizo trilogy kuliko GTA6? Hizo trilogy story ni zile zile hamna jipya zaidi ya colour grading.
mimi naisubiri GTA vice city,hata hivo kuna tetesi kwamba kwenye GTA 6 kutakuwa na uwezo wa kutembelea miji ya vice na los santos kwa njia ya ndegeLazima watafanya vizuri sana kwenye mauzo, hasa hio gta sa, one day nilikuwa nimekaa na jamaa yangu akasema hivi hivi kwa nini rockstar wasije remaster gta sa? pia wadau wengi sana waliomba gta sa irudishwe... Ni furaha iliyoje 😁..
Jamaa wametisha sana, asee naisubiri kwa hamu kubwa..
kabisa,vice city lazima niwe nayo hiyoRockstar wanaringa sana ukizingatia bado gta 5 inauza. Yaani ilitoka 2013 kwenye ps3, ilivyotoka ps4 wakaiweka pia. kwenye ps5 pia inafanya kazi.
Hata hii trilogy pia itauza sana mkuu gamer wa kitambo wanaielewa sana hasa vice city.
Na tajiri anaona maskini hajitumi.Yaah siku zote ndivyo ilivyo. ukiwa huna hela unaona wenye nazo wanazichezea... Maisha haya basi tu.😀😀
Kabisa mkuuAnaona maskini ni wazembe wa kufikiri.[emoji23]
nimemmis CJ mno, habari njema sana hii 🙂mimi naisubiri GTA vice city,hata hivo kuna tetesi kwamba kwenye GTA 6 kutakuwa na uwezo wa kutembelea miji ya vice na los santos kwa njia ya ndege
umasikini m'baya sanaThe same PC specification mmoja, anaitumia Kama burudani mwengine ni tool ambayo anatamani aipate kwa lengo la kufanya kazi itakayompatia kipato cha kulisha na kusomesha watoto.
kwa gta sa watakuwa wametishaLazima watafanya vizuri sana kwenye mauzo, hasa hio gta sa, one day nilikuwa nimekaa na jamaa yangu akasema hivi hivi kwa nini rockstar wasije remaster gta sa? pia wadau wengi sana waliomba gta sa irudishwe... Ni furaha iliyoje [emoji16]..
Jamaa wametisha sana, asee naisubiri kwa hamu kubwa..
Ngoja tuone...Safi sana... Inapendeza...
Acha tuumasikini m'baya sana
Wana push Gta V online, Gta V mara kwa mara wanalitoa bure.Rockstar wanaringa sana ukizingatia bado gta 5 inauza. Yaani ilitoka 2013 kwenye ps3, ilivyotoka ps4 wakaiweka pia. kwenye ps5 pia inafanya kazi.
Hata hii trilogy pia itauza sana mkuu gamer wa kitambo wanaielewa sana hasa vice city.
December 16 wanazimaYaah, hv walishazima saver kwenye ps3 upande wa GTA V?
Wewe gamer wa x box nini???GTA 6 hata nisipo ipata,
ujue mimi ni moja ya wale tuliocheza SEGA yale ya catridges una connect na tv na gameboy zile kuna catridge za super mario na luigi..
hio gta sa inatoka 2004/2005 nakumbuka nilikuwa nacheza ps1 ile yenye cd , nakumbuka mbali saana kipindi hicho gta sa kwa zile graphics tulikuwa tunaona ni kama maajabu 🙂
kwa kuweka rekodi sawa gta sa ndio game iliyouza zaidi kwenye ps2
naweza sema mimi ni gamer wa kitambo, gamer yeyote wa kitambo huwezi mueleza kitu kuhusu gta sa, gran turismo, final fantasy n.k
madogo wa gta V hawatojua utamu wa kumiliki memory card ya ps, gamer yeyote wa kitambo atakueleza memory card ilikuwa dili saana, yaani unacheza hata mission 20 kwa siku kama hauna MC ujue kesho unarudia, cheat codes unaanika kwenye karatasi, in short nimekumbuka mengi..
sasa hawa gamer wa sasa wataona gta sa ni ujinga kwa sababu wamekuta vitu vimeboreshwa lakini sisi tunajua hio game inakuja na historia ndefu mno
Kwema boss,Zote tatu ndani ya cd moja zikiwa zimeboreshwa graphics mpyaa kwa ulimwengu wa sasa.
system requirements
- OS: Windows 10 (probably 64 Bit)
- RAM: 8 GB.
- Processor/CPU: Intel Core i5-2700K / AMD FX-6300.
- Graphics Card/GPU: NVIDIA GeForce GTX 760 2GB / AMD Radeon R9 280 3GB.
- Storage space: 45 GB available space