Rockstar games wanazirejesha gta 3, vice city na san andress november hii.

Rockstar games wanazirejesha gta 3, vice city na san andress november hii.

Kwema boss,
Mie nataka ninunue game for my kids ila sina ujuzi sana kwenye hili maana mie nilicheza zile need 4 speed za kwy PC.

Nataka zile unit kama ma X Box au PSx sa sijajua ipi nzuri na ntapata games kibao na isitegemee internet connection sana kwa watoto kucheza....

Unaeza nipatia some details ipi bora, nzuri na haizingui na itapendeza kama ni kuagiza ukaniwekea hata ki link. Natanguliza shukran.... kwani naamini wajomba zako wakicheza kwy ile 65" watafurahi sana...ndo maisha haya haya boss.
wachukulie play station 4 au 5. utakuwa unawanunulia cd tu. play stion 4 mpya ni around lak 8 nafikiri hadi milion. ps5 ni milioni mbili na kitu, cd za ps4 ni around laki na 20 kwa mpya na laki 2+ kwa ps5.
kama uko maeneo ya mjini zinapatikana kwenye maduka yauzayo gargets mbali mbali.
waweza wacheki hawa gamestoretz wako instagram.

ila kama ni watoto uwe na control nao nzuri tu maana waweza kuta zikawachukulia mpaka muda wa kufanya mambo ya msingi zaidi, eg kazi za shule, kazi za nyumbanu etc.
 
The same PC specification mmoja, anaitumia Kama burudani mwengine ni tool ambayo anatamani aipate kwa lengo la kufanya kazi itakayompatia kipato cha kulisha na kusomesha watoto.
Pogba mguu wake anakula mabilioni kadhaa, wakati kuna mtu huku anapiga kiki ya pikipikk(fekon)

Ndio maisha hayo.
 
FdBUD3AWIAEnbKY.jpeg
 
Yaah siku zote ndivyo ilivyo. ukiwa huna hela unaona wenye nazo wanazichezea... Maisha haya basi tu.😀😀
Its true, ukijinnulia hiki utaski anatupa pesa si bora angenipa mimi. Kumbe na yeye ndo matumizi yale kwake si pesa yake na alishasema kuwa natoa kias flan nannua hiki ili ntumie hivi. Ni matumizi tu tofauti, na akikosa anaona anajinyima.
 
GTA 6 hata nisipo ipata,
ujue mimi ni moja ya wale tuliocheza SEGA yale ya catridges una connect na tv na gameboy zile kuna catridge za super mario na luigi..
hio gta sa inatoka 2004/2005 nakumbuka nilikuwa nacheza ps1 ile yenye cd , nakumbuka mbali saana kipindi hicho gta sa kwa zile graphics tulikuwa tunaona ni kama maajabu 🙂

kwa kuweka rekodi sawa gta sa ndio game iliyouza zaidi kwenye ps2

naweza sema mimi ni gamer wa kitambo, gamer yeyote wa kitambo huwezi mueleza kitu kuhusu gta sa, gran turismo, final fantasy n.k
madogo wa gta V hawatojua utamu wa kumiliki memory card ya ps, gamer yeyote wa kitambo atakueleza memory card ilikuwa dili saana, yaani unacheza hata mission 20 kwa siku kama hauna MC ujue kesho unarudia, cheat codes unaanika kwenye karatasi, in short nimekumbuka mengi..

sasa hawa gamer wa sasa wataona gta sa ni ujinga kwa sababu wamekuta vitu vimeboreshwa lakini sisi tunajua hio game inakuja na historia ndefu mno
Family game, Sega... hahahaha! Sonic the hedgehog, sonic and knuckles, Tomb Rider, Sun set riders, Abes, Splinter cell, grand turismo, F1 etc. The yester years and childhood i can say.
 
GTA 6 hata nisipo ipata,
ujue mimi ni moja ya wale tuliocheza SEGA yale ya catridges una connect na tv na gameboy zile kuna catridge za super mario na luigi..
hio gta sa inatoka 2004/2005 nakumbuka nilikuwa nacheza ps1 ile yenye cd , nakumbuka mbali saana kipindi hicho gta sa kwa zile graphics tulikuwa tunaona ni kama maajabu 🙂

kwa kuweka rekodi sawa gta sa ndio game iliyouza zaidi kwenye ps2

naweza sema mimi ni gamer wa kitambo, gamer yeyote wa kitambo huwezi mueleza kitu kuhusu gta sa, gran turismo, final fantasy n.k
madogo wa gta V hawatojua utamu wa kumiliki memory card ya ps, gamer yeyote wa kitambo atakueleza memory card ilikuwa dili saana, yaani unacheza hata mission 20 kwa siku kama hauna MC ujue kesho unarudia, cheat codes unaanika kwenye karatasi, in short nimekumbuka mengi..

sasa hawa gamer wa sasa wataona gta sa ni ujinga kwa sababu wamekuta vitu vimeboreshwa lakini sisi tunajua hio game inakuja na historia ndefu mno
Imebidi nirudi youtube kuangalia baadhi ya games za kipindi hicho hasa NFS, GTA VC, SA, Project IGI 1 na 2.
 
Game za PC naona ni michosho sana..

Kwanza ni risk mnoo kuua mashine.
 
Sio kweli. Labda zingatia requirements.

Muhimu kama ni mpenzi wa games basi pc yako iwe ni gaming pc.
Even..
So far natumia Gaming PC kwa shughul nyingine sio kuchezea game, nimeona nivute PS5 na wide screen (curved one) baasi naenjoy more than on PC
 
Even..
So far natumia Gaming PC kwa shughul nyingine sio kuchezea game, nimeona nivute PS5 na wide screen (curved one) baasi naenjoy more than on PC
Hio Gaming pc yako ina hadhi sawa na ps5 yako? Maana isije kuwa ina specs za kizamani
 
Back
Top Bottom