Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Watanzania hawaandamani lakini wanamlilia mwenye mamlaka mbinguni na duniani awaadhibu wale wote wanaogiza, kubariki na kutekeleza mauji ya watu wasio na hatia pamoja na ukatili mwingine wowote unaomwaga damu za watu.
Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.
Muda utahibitisha/utasema.
Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.
Muda utahibitisha/utasema.