Pre GE2025 Roho, damu na manung'uniko ya watu, vitajibiwa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025

Pre GE2025 Roho, damu na manung'uniko ya watu, vitajibiwa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watanzania hawaandamani lakini wanamlilia mwenye mamlaka mbinguni na duniani awaadhibu wale wote wanaogiza, kubariki na kutekeleza mauji ya watu wasio na hatia pamoja na ukatili mwingine wowote unaomwaga damu za watu.

Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.

Muda utahibitisha/utasema.
Maneno ya kujifariji haya, Watanzania sisi ni Maiti, na nakubaliana na Jomo Kenyata kwa asilimia zote, tuendelee kujifariji kwenye mitandao ya kijamii
 
Watanzania hawaandamani lakini wanamlilia mwenye mamlaka mbinguni na duniani awaadhibu wale wote wanaogiza, kubariki na kutekeleza mauji ya watu wasio na hatia pamoja na ukatili mwingine wowote unaomwaga damu za watu.

Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.

Muda utahibitisha/utasema.
Neno linaposema "Mtu akichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye subira na imani ya watakatifu"
Ufu 13:10
Je ni kweli kiasi gani?
Rais wa Marekani Bush mkubwa alisababisha mauaji mengi wakati wa utawala wake sehemu kadhaa duniani lkn alikuja kufa kifo cha kawaida, George Bush mtoto kasababisha mauaji Iraq, Afghanistan nk kwenye utawala wake lkn anadunda hadi leo hii,
Je andiko hilo lina ukweli kiasi gani?
 
Watanzania hawaandamani lakini wanamlilia mwenye mamlaka mbinguni na duniani awaadhibu wale wote wanaogiza, kubariki na kutekeleza mauji ya watu wasio na hatia pamoja na ukatili mwingine wowote unaomwaga damu za watu.

Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.

Muda utahibitisha/utasema.
Na iwe hivyo na ianze na yeye mwenyew anayewatuma
 
Inshallah na iwe hivyo kama ilivyokuwa kwa mwendaze harakaharaka tena bila kutarajia.
 
Watanzania hawaandamani lakini wanamlilia mwenye mamlaka mbinguni na duniani awaadhibu wale wote wanaogiza, kubariki na kutekeleza mauji ya watu wasio na hatia pamoja na ukatili mwingine wowote unaomwaga damu za watu.

Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.

Muda utahibitisha/utasema.
NAMI naunga mkono pia historia ya march 17 2021 inaonyesha hivyo

Karma is real
 
Back
Top Bottom