Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno ya kujifariji haya, Watanzania sisi ni Maiti, na nakubaliana na Jomo Kenyata kwa asilimia zote, tuendelee kujifariji kwenye mitandao ya kijamiiWatanzania hawaandamani lakini wanamlilia mwenye mamlaka mbinguni na duniani awaadhibu wale wote wanaogiza, kubariki na kutekeleza mauji ya watu wasio na hatia pamoja na ukatili mwingine wowote unaomwaga damu za watu.
Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.
Muda utahibitisha/utasema.
Neno linaposema "Mtu akichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye subira na imani ya watakatifu"Watanzania hawaandamani lakini wanamlilia mwenye mamlaka mbinguni na duniani awaadhibu wale wote wanaogiza, kubariki na kutekeleza mauji ya watu wasio na hatia pamoja na ukatili mwingine wowote unaomwaga damu za watu.
Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.
Muda utahibitisha/utasema.
Na iwe hivyo na ianze na yeye mwenyew anayewatumaWatanzania hawaandamani lakini wanamlilia mwenye mamlaka mbinguni na duniani awaadhibu wale wote wanaogiza, kubariki na kutekeleza mauji ya watu wasio na hatia pamoja na ukatili mwingine wowote unaomwaga damu za watu.
Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.
Muda utahibitisha/utasema.
Hasira nilizonazo ni kuwa na wapinzani wajinga wanashindwa kuihallange CCMMbona kama una hasira?
NAMI naunga mkono pia historia ya march 17 2021 inaonyesha hivyoWatanzania hawaandamani lakini wanamlilia mwenye mamlaka mbinguni na duniani awaadhibu wale wote wanaogiza, kubariki na kutekeleza mauji ya watu wasio na hatia pamoja na ukatili mwingine wowote unaomwaga damu za watu.
Binafsi, naamini kwakuwa wanayafanya haya hasa wakilenga uchaguzi mkuu wa 2025, adhabu ya Mungu(Nature) itawashukia bila kujali vyeo au nyadhifa walizonazo hata ziwe kubwa kiasi gani na wako watakaoondoka duniani kabla ya huo uchaguzi kufanyika na wako wataopata vilema vya kudumu kupitia ajali, n.k na wengine hata kuugua kwa muda mrefu.
Muda utahibitisha/utasema.
Dogo umeshiba unajambajamba tu, hivi Unaichallenge vipi ccm inayotumia dola kushindanaHasira nilizonazo ni kuwa na wapinzani wajinga wanashindwa kuihallange CCM