Mropoka Hovyo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2023
- 446
- 1,253
Noma sana mkuu.Wameshatuchia baharuini hawa jamaal
Pole Sana😁😂
Nimeshapoa wakuu ila Kwasasa naunga bando la buku baada ya hapo nalitumia kwa mahesabu makali sana.Pole sana mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kila kitu kina mwisho wake maisha hayawezi kuwa mseleleko mileleYani roho inaniuma sana tangu wiki iliyopita napata shida ya kuingia mtandaoni bure dah!. Nilikuwa nimeshazoea mseleleko japo internet yenyewe ilikuwa mwendo wa Kobe lkn ilinisevu sana kuingia bure YouTube, JF na Instagram tangu 2021.
Https mbona inafanya kazi mkuuHaaah hakuna marefu yasiyo na ncha r.i.p wiretun ,zivpn ,socksip,httpcustom
Sema mb 490 ndogo sana Bora uanze kutumia unlimited au tumia sme bandoNimeshapoa wakuu ila Kwasasa naunga bando la buku baada ya hapo nalitumia kwa mahesabu makali sana.
Kwasasa naunga bando la buku huku kwa mahesabu makali sanaMzee wa kazi ngumu jikaze acha kulia Lia,piga kazi unga bundle la mwenzi
Jana baada ya kuunga bando la buku la voda nikaingia Instagram baada ya kama Dk 40 naambiwa umetumia 70% ya bando lako duh! nilishangaa sana .Sema mb 490 ndogo sana Bora uanze kutumia unlimited au tumia sme bando
Tumia sme ya AirtelJana baada ya kuunga bando la buku la voda nikaingia Instagram baada ya kama Dk 40 naambiwa umetumia 70% ya bando lako duh! nilishangaa sana .
Mbona humu Kuna manyuzi kibao tu yalikuwa ya masela yaelezea hayo makitu ya free internet kwa kutumia VPN tangu tangu awamu ya kwanza ya Magufuli akiwa madarakani.Kwahiyo baada ya kukugomea ndio waja kulalama humu
Kabla ya hapo mbona hukusema nasi tu faidike
Itabidi nisajiri laini yao sasa unajua Hizi VPN zinatusaidia sana sisi majobless japo zinahitaji moyo wa chuma kuzitumia.Tumia sme ya Airtel
Mimi nilikuwa nimesahau kabisa kununua bando dah!Wabongo wengi ni ma-snitch sana,tulio zoea hali hiyo tunapitia wakati mgumu sana.
Unatumia je VPN kupata free internet nilisha jaribu nikashindwa naomba darasaMbona humu Kuna manyuzi kibao tu yalikuwa ya masela yaelezea hayo makitu ya free internet kwa kutumia VPN tangu tangu awamu ya kwanza ya Magufuli akiwa madarakani.