Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka kutueleza kwamba roho ni pumzi kiongozi au ulikua una maana gani?Ni amri ya kuishi kiumbe chochote chenye uhai,amri hiyo inatoka kwa mwenyezi mungu mwingi wa rehma mwenye kurehemu.Muingiliano wa roho na akili upo kipindi roho yako inapokuwa hai ndipo na akili inakuwa na uwezo wa kufanya kazi.Hii elimu ya roho anayo Mwenyezi Mungu peeke hakuna anae ifahamu kwa usahihi ni hayo tu Bob.
Hii kali[emoji23] [emoji23] [emoji23]Uhai
Mpka leo akuna jibu sahihi juu ya soul bado tunapambana kutafuta maana halisi,isipokuwa ipo mitazamo mingi yenye ambayo imetumiwa na dini,falsafa n.k..ambayo ndio hutumiwa lakini bado hakuna mwenye kutoa jibu sahihi..nini mtazamo wako kuhusu hilo swalaa?
Mungu hayupo thibitisha uwepo wake.Ni amri ya kuishi kiumbe chochote chenye uhai,amri hiyo inatoka kwa mwenyezi mungu mwingi wa rehma mwenye kurehemu.Muingiliano wa roho na akili upo kipindi roho yako inapokuwa hai ndipo na akili inakuwa na uwezo wa kufanya kazi.Hii elimu ya roho anayo Mwenyezi Mungu peeke hakuna anae ifahamu kwa usahihi ni hayo tu Bob.
Thibitisha kwanza wewe.Mungu hayupo thibitisha uwepo wake.
Sijazungumzia pumzi hapo,roho haifi inahama tu.unataka kutueleza kwamba roho ni pumzi kiongozi au ulikua una maana gani?
na je kama roho inaruhusu ubongo kufanya kazi ikiwa hai ina maana roho inakufaa pia??
Mungu ni Roho...Utajuaje yupo?Mungu hayupo thibitisha uwepo wake.
WAtu kama nyie siku zote mpo. Hamfikirishi akili Bali mnavuta Kiti kusubiria wengine waje kuchangia. Hata kutoa definition ya roho kule Google kutuletea hapa UMESHINDWA. Ila kuvuta Kiti na kusoma michango ya wengine umeweza. Shubamitiiii!!Ngoja nivute KITI niketi nisubiri wajuvyi wa Mambo watiririke ili nipate kujifunza jambo/kitu
Hahaha muongoRoho kama roho inakaaaga tumboni karibu na sifongo mkuu.