Roho ya kukataliwa: Chanzo/asili na madhila yake

Can you tell me a little bit about that Human Invisible Sense Organ?
 
1. Ni tiba ya kishirikina
2. Ni tiba yenye imani ndani yake

Duh nimeingia cha kike[emoji22] hio ya kwanza jamaa walifanya kisomo halafu wakanyanyuka na kuanza kunizunguka huku wakinitupia nafaka halafu wakazichukuwa na kuwapa kuku. Sikujua kama hivyo Mwenyezi Mungu anisamehe.

Naomba ufafanue imani ndani yake?? Unamaanisha nini[emoji15]
 
Imani ya kidini
 
Kuna tiba za asili/mitishamba
Kuna tiba za maombi na dua
Kuna tiba za kisuna
Kuna tiba za kitabu
Kuna tiba za tunguli
Kuna tiba za majini mizimu na kafara
Kufukizwa na chale nayo ipo kwenye kundi gani? .. maana nilipokuwa mdogo sana niliwahi kuumwa ghafla na nikapelekwa kwa mzee mmoja hivi akanichemshia dawa ilinifukizwe na chale. Sikuona tunguli wala hirizi
 
Kufukizwa na chale nayo ipo kwenye kundi gani? .. maana nilipokuwa mdogo sana niliwahi kuumwa ghafla na nikapelekwa kwa mzee mmoja hivi akanichemshia dawa ilinifukizwe na chale. Sikuona tunguli wala hirizi
Kimila na kishirikina
 
Mshana Jr
Nichukue hatua gani ili nijitoe katika vifungo vya kichawi, wanga wamenifunga ili nisipige hatua wala kufanikiwa

Nilianza kuhisi hisia Mbaya tangia mwaka Jana, ila nilikaza shingo na kupambana bila mafanikio, nakosa goli hata nikimpa chenga kipa na goli kubaki wazi. Hata nikipiga shuti kwenye goal line bado nakosa goli.

Sasa hapa nikaamua kuwa uliza wajuzi wa mambo , wakasema wanga wamefanga mambo Yao. Lakini kabla ya kuwauliza watalamu wa mambo , nimefuatilia vitabu mbali mbali na dalili za kupigwa juju, ambazo nikaziona kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakurudia
 
Huu uzi unanihusu hasa Hapo namba 1.aiseh ume kopi na ku paste situation!!hadi leo najua yule si Baba YANGU wa kunizaa ule msoto ulikuwa hatari Sana!!!
 
Huu uzi unanihusu hasa Hapo namba 1.aiseh ume kopi na ku paste situation!!hadi leo najua yule si Baba YANGU wa kunizaa ule msoto ulikuwa hatari Sana!!!
hadi leo najua yule si Baba YANGU wa kunizaa ule msoto ulikuwa hatari Sana!!![emoji3064][emoji15][emoji3064]
 
hadi leo najua yule si Baba YANGU wa kunizaa ule msoto ulikuwa hatari Sana!!![emoji3064][emoji15][emoji3064]
Ndio ndio!!hata Bibi alitilia mashaka mapema Sana nikiwa ndogo!!eti Hawa wengine kweli wanaonekana ni wa kwetu!lakini Huyu hapana!!!akaambiwa we pokea wajukuu tu!!!KILICHOFUATA AISEH UKOO MZIMA HAKUNA ALIEJALI KUWA YULE NAE NI MTU BINADAMU NILIACHWA HUKO HUKO SHULENI KIDATO CHA KWANZA HADI NAMALIZA HAKUNA ALIEJUA NILIWEZAJE BILA ADA WALA MATUMIZI!HADI CHUO KIKUU UDSM NILIFIKA!!NIPO KAZINI LAKINI NAKO MKUU WANGU MWANGA TU!!HATUPENDANI KI HIVYO NA HIVI AN KADIPLOMA BADALA YA MAWE KAMA YETU!!NI FULL VITUKO!!!NATAKA HUYU MKUU AONDOKE NI MWIZI,MCHAWI,MGANGA,KIJICHO,MUHUNI AISEH THE SERPENT HIMSELF!!!ACHA KABISA MSHANAR!!!NAOGEA CHUMVI SIELEWI KAMA ITANISAIDIA AU VIPI!!!
 
Weka imani kwenye hiyo tiba.. Imani ni sehemu ya uponyaji na chumvi ina nguvu sana... BTW NAKUOMBEA
 
Duh..[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064]
 
Hao wameshalikoroga Mwaga chumvi ya kutosha kisha sikilizia moto wake
Daa! Leo imenibidi ni tulie siku nzima nipitie threads zote za Mshana Jr na kuzisoma, nizingine nazicopy naziweka kwenye notebook yangu. Amenifingua sana Ufahamu wangu.
Nimejikuta najutia kwanini sikumfatilia tangu siku nyingi.
Zile jogoo na pesa nilizokuwa nahangaika kuwapelekea waganga wakienyeji eti waning'arishie nyota na wanipe mvuto wa bahati na kukubalika mbele za watu, si bora ningekuwa namrushia hata Mshana ya bando!! Baada tu ya kuanza kuchanjwa chale na waganga namatokeo yake ndo mambo yakaanza kuharibika na mpaka kufilisika mtaji wa Biashara.
Eti, Leo nimeshafulia ndo nazigundua thread za Mshana!! Mungu ni wa ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…