Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahha kwahiyo huwezi tumia pesa bila power?Pesa bila power ni tabu tupu. Kwani humuoni sabaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahha kwahiyo huwezi tumia pesa bila power?Pesa bila power ni tabu tupu. Kwani humuoni sabaya?
Ngoja tuwasubiriWaumini watapinga hii
Unaweza kama hukuikwapua kijanja janja. Ila kama ni ujanja ujanja wenye power watataka credit kupitia pesa zako.Hahahahha kwahio huwez tumia pesa bila power?
Aaaaaargh! Sa' hapa ndo ilipoharibu!! Ingedondokea tu huko baarini halafu samaki wote wanageuka kuwa na sumu, baada ya hapo ngoma droo! Haiwezekani wengine mara misamamki ya kukaanga, mara misamaki ya kuchemsha, mara sijui misamaki ya kuoka wakati wengine full tembele na maharage!Lakini anasema athari yake itakuwa ndogo.
Sasa hapo marope hizo trillion atakazochota atasumbuliwa na nani kama ataondoka kwenye nafasi bila kashfa?Unaweza kama hukuikwapua kijanja janja.
Sio hamtoona mweziTutakaa gizani aisee
Kama trillion ni za ujanja ujanja si unatafutiwa zengwe tu. Anatumwa mmoja kwanza kukuchokoza hata bungeni kuwa ulifanya ujanja ujanja watu wanaanzia hapo.Sasa hapo marope hizo trillion atakazochota atasumbuliwa na nani kama ataondoka kwenye nafasi bila kashfa?
Wasisahau kutuonyesha hilo tukio.Roketi iliyorushwa na kampuni ya uvumbuzi wa anga za juu ya bilionea Elon Musk inakaribia kugonga ndani ya mwezi na kulipuka.
Chombo kinachosaidia roketi kulipuka kwa Falcon 9 kilikwenda katika anga za juu mwaka 2015, lakini baada ya kukamilisha safari yake, hakikuwa na mafuta ya kutosha ya kukirejesha duniania na badala yake kilibakia katika anga za juu.
Mtaalamu wa masuala ya anga za juu Jonathan McDowell ameiambia BBC News kuwa itakuwa mara ya kwanza kwa roketi isiyoongozwa kugongana na mwezi.
Lakini anasema athari yake itakuwa ndogo.
Roketi hiyo iliachwa katika obit ya juu miaka saba iliyopita baada ya kukamilisha kazi ya kutuma setilaiti ya hali ya hewa katika safari ya maili milioni.
Ilikuwa ni sehemu ya mpango wa uvumbuzi wa anga za juu wa Bw Musk - SpaceX, ambayo ni kampuni ya kibinafsi ambayo lengo lake kuu ni kuwawezesha binadamu kuishi katika sayari nyingine.
Nguvu za kiume tatzo Lina anzia apoAf tunakuja kufa tu kiboya[emoji28] kwa hela za Elon Musk ningetafta malaya wangu 7 wakali sana wa kuinjoy nao life tu huku tukisafiri maeneo tofauti ya ulimwenguni.
Ni kula raha tu maana miundo mbinu ya pesa nishaiweka sawa hela zinaingia hadi nakufa bana nina presha gani?
Ni Africa tu ndiyo unahitaji kuwa na power kufaidi pesa yako. Huko Duniani kuna vizee hata havijulikani mtaani lakini vina pesa chafu. Ana Yatch yake na miezi yote ya baridi Ulaya anazunguka katika nchi zenye joto.Pesa bila power ni tabu tupu. Kwani humuoni sabaya?
Kazi inaanzia hapoNguvu za kiume tatzo Lina anzia apo
Huwezi kuwa na vyote viwili wewe nani? Wenye pesa hengi hawana nguvu za kiume.Nguvu za kiume tatzo Lina anzia apo
Huko ulaya si hata kiongozi mkuu wa nchi anatukanwa na shoga wakati anadai haki yake ya kuwa shoga? Embu wajaribu huku Africa? This is Africa........Ni Africa tu ndiyo unahitaji kuwa na power kufaidi pesa yako. Huko Duniani kuna vizee hata havijulikani mtaani lakini vina pesa chafu. Ana Yatch yake na miezi yote ya baridi Ulaya anazunguka katika nchi zenye joto.
Wanasema kwanza unapata Pesa, halafu power...ukishakuwa na power ndio utapata heshima "Money, Power, Respect"Hahahahha kwahio huwez tumia pesa bila power?
Fala we 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Af tunakuja kufa tu kiboya😅 kwa hela za Elon Musk ningetafta malaya wangu 7 wakali sana wa kuinjoy nao life tu huku tukisafiri maeneo tofauti ya ulimwenguni.
Ni kula raha tu maana miundo mbinu ya pesa nishaiweka sawa hela zinaingia hadi nakufa bana nina presha gani?
Kila siku namgonga mmoja😅Fala we 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mara na viumbe vinavyoishi mwezini vilipize kisasi navyo vitume bomu duniani.
Kila siku namgonga mmoja[emoji28]