Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahahah ma super model lazima walegeeHamna ukiwa na ela hiyo haitoshi maana kununua hivyo hata average anafanya hayo, halafu huyo Elon mbona anapita na ma super model balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahah ma super model lazima walegeeHamna ukiwa na ela hiyo haitoshi maana kununua hivyo hata average anafanya hayo, halafu huyo Elon mbona anapita na ma super model balaa
Hahahahahah ma super model lazma walegee
Tajiri mwenye trillion 300 unamkataaje? Kwa hela ya madafu kibongo bongo ni trillion 600 nani anakataa kwa mfano?Mbele ya pesa mingi aisee anachukua yeyote yeye ananame tu [emoji28]
Waumini gani?Waumini watapinga hii
🤣🤣😅Dah nikajua nimeambiwa mimi kuwa kenge kumbe yeye duh!!!Aaaaaargh! Sa' hapa ndo ilipoharibu!! Ingedondokea tu huko baarini halafu samaki wote wanageuka kuwa na sumu, baada ya hapo ngoma droo! Haiwezekani wengine mara misamamki ya kukaanga, mara misamaki ya kuchemsha, mara sijui misamaki ya kuoka wakati wengine full tembele na maharage!
Kabla ya yeyote hajaniona mchawi, hebu jiulize mara ya mwisho umekula lini samaki, kenge wewe (sio Kasomi)!!
Wanaoona mwezi ni wengine sio jinsia yangu mimi.Sio hamtoona mwezi
Madaraka matamu asikwambie mtuHuwa sijui wanawaza nini hawa watu! Unakuta Mtu kama February marope kashapiga trillion zake hata 20 kwenye mikataba ya mchongo akiwa jikoni kabisa ingekuwa mie kinachofata natafta sababu ya kujiuzulu tu nikale pesa zangu mpaka nakufa. Trillion 1 tu ni pesa ndefu mno sasa imagine ziwe 20 ila unakuta anakomalia vyeo mpaka ana miaka 70 yeye kuhangaikaga tu na CCM 😅😅😅 Utainjoy lini hela zako sasa?
Heheheheh ujinga tu kama madaraka matamu si unafungua kampuni yako tu na kujipa udairekta!Madaraka matamu asikwambie mtu
Bila huku kuhangaika leo hii sisi hata ndizi tungekuwa hatuzijui.Binadamu tunahangaika sana sijui kwanini
😀Mara na viumbe vinavyoishi mwezini vilipize kisasi navyo vitume bomu duniani.
Tunatafuta sifa kwa mademuBinadamu tunahangaika sana sijui kwanini
Imagine mwezi ulipuke...huku duniani mbona tutakimbizana😀😀. Acheni sifa basTunatafuta sifa kwa mademu
Huko mbinguni tumwachie Mungu. Duniani kuna mengi ya kufanyaBila huku kuhangaika leo hii sisi hata ndizi tungekuwa hatuzijui.
Mnyamwezi hutaki shida unavuta ndinga za Maana huku ukiendelea kula kuku Kwa mrijaHeheheheh ujinga tu kama madaraka matamu si unafungua kampuni yako tu na kujipa udairekta!
Hahahahaha nasukuma zangu Tesla S Plaid tu daily trip za mikoani niinjoy safariMnyamwezi hutaki shida unavuta ndinga za Maana huku ukiendelea kula kuku Kwa mrija
Hahahahaha nasukuma zangu Tesla S Plaid tu daily trip za mikoani niinjoy safari