Roketi ya Elon Musk itagongana na mwezi

Lakini anasema athari yake itakuwa ndogo.
Aaaaaargh! Sa' hapa ndo ilipoharibu!! Ingedondokea tu huko baarini halafu samaki wote wanageuka kuwa na sumu, baada ya hapo ngoma droo! Haiwezekani wengine mara misamamki ya kukaanga, mara misamaki ya kuchemsha, mara sijui misamaki ya kuoka wakati wengine full tembele na maharage!

Kabla ya yeyote hajaniona mchawi, hebu jiulize mara ya mwisho umekula lini samaki, kenge wewe (sio Kasomi)!!
 
Sasa hapo marope hizo trillion atakazochota atasumbuliwa na nani kama ataondoka kwenye nafasi bila kashfa?
Kama trillion ni za ujanja ujanja si unatafutiwa zengwe tu. Anatumwa mmoja kwanza kukuchokoza hata bungeni kuwa ulifanya ujanja ujanja watu wanaanzia hapo.

Ila ukiwa na power kidogo kuna security kutegemeana na position yako.
 
Wasisahau kutuonyesha hilo tukio.
 
Nguvu za kiume tatzo Lina anzia apo
 
tunaanza wenyewe uchokonozi....siku mwezi ukibaki kipande tutaanza kufunga na kuomba wakati wachawi akina Elon Musk tunacheka nao tu huku...
 
Reactions: Pep
Ni Africa tu ndiyo unahitaji kuwa na power kufaidi pesa yako. Huko Duniani kuna vizee hata havijulikani mtaani lakini vina pesa chafu. Ana Yatch yake na miezi yote ya baridi Ulaya anazunguka katika nchi zenye joto.
Huko ulaya si hata kiongozi mkuu wa nchi anatukanwa na shoga wakati anadai haki yake ya kuwa shoga? Embu wajaribu huku Africa? This is Africa........
 
Fala we 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…