Roketi ya Elon Musk itagongana na mwezi

Mwanaume mwembambaa anaweza kumgonga mwanamke mnene na mimba juu.
 
Sasa hapo marope hizo trillion atakazochota atasumbuliwa na nani kama ataondoka kwenye nafasi bila kashfa?
Kwahiyo unaona wote humo serikalini ni wajinga? Uiibie serikali halafu utoke kizembe? Watakufyatua hutaamini.

Mambo hayaendi hivyo serikalini.

Ni rahisi kuwa mwizi ili ujifiche serikalini kuliko kutoka.

Ukitoka watataka urudishe ulichoiba au wanakuzima.

Uingie serikalini akaunti zako zinasoma 10M, upate 20bn halafu ujidai unataka kutoka, utaeleza umezitoa wapi wakati mishahara ya mawaziri inafahamika.

Jiulize kwanini kina Mkuchika au Chenge mpaka leo wanagombania wakae bungeni au wateuliwe?

Au kwanini kina Abood au Shabiby wanaendelea kuwa wabunge wakati biashara zao zinawaneemesha?
 
Ushakuwa milard ayo...hivi ukubwa wa mwezi unasema inagongana ..hivi nzi anaweza gongana na boeng

Sema hilo taka taka la elon linaenda dondokea mwezi
X d
 
Habarini wakuu

Hivi huyu mwamba anaichukuliaje? Hii dunia anaona ni yake peke yake nini? Ujue sisi tumeshalizika na hali zetu asije akatuletea mabalaha bure

Tushajua kama ana maakili sasa anataka nini?
 
Watu wanawaza kuruka juu ww u unawaza kula samaki???[emoji16][emoji16]
 
Kuna lugha inazungumzwa sana kwenye ajali za garimoshi (Train), mfano:-
~Mtu kagonga treni.
~Baiskeli imegonga treni.
~Gari imegonga treni nk.
Hii ni pale ajali inapotokea kwenye reli. Hata kama gari imeharibikia relini kisha treni ikaigongea hapo, kwa lugha zao ni kwamba Gari imegonga treni!
 
Mwezi wa 3 umefika wakurungwa, itakuwa tarehe ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…