Roketi za Hizbullah zatajwa kuilemaza mitambo ya kujilinda ya Israel, ndio maana zimepenya na kupiga maeneo ya Israel

Roketi za Hizbullah zatajwa kuilemaza mitambo ya kujilinda ya Israel, ndio maana zimepenya na kupiga maeneo ya Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wakati vita vikali baina ya jeshi la Israel na majeshi washirika wa Iran vikikaribia,imetajwa kuwa mashambulizi ya mara kwa mara ya Hizbullah kuzilenga rada na vituo vya ulinzi wa anga vya Israel kumeleta athari kubwa kwa Israel kujilinda kutokana na maroketi yanayorushwa na kundi hilo kutoka Lebanon.

Kwa upande mwengine hata yale makombora yanayotumwa na Israel kudaka yanayokuja kutoka kwa Hizbullah nayo yamekuwa yakiripuka yenyewe kabla kufanya kazi iliyokusudiwa.

Hiyo ni sababu hapo jana kombora moja la aina hiyo lilidongokea nyumba moja kaskazini ya Israel na kuleta mshtuko mkubwa kwa familia ambazo wala hazijapewa indhari ya kuhama na wala hawakusikia king'ora cha kuwatahadharisha kama inavyokuwa kikawaida wakati Hizbullah wakiwa wamerusha zana zao.

Utabiri wa kuzidiwa kwa iron dome kudaka silaha za adui ulitolewa zamani na Marekani na huenda nayo ni sababu kwanini Marekani inakimbiza meli zake kuelekea mashariki ya kati huku fununu zikionesha vita hivyo vya moja kwa moja vimebaki masaa machache tu kuanza.
 
Wakati vita vikali baina ya jeshi la Israel na majeshi washirika wa Iran vikikaribia,imetajwa kuwa mashambulizi ya mara kwa mara ya Hizbullah kuzilenga rada na vituo vya ulinzi wa anga vya Israel kumeleta athari kubwa kwa Israel kujilinda kutokana na maroketi yanayorushwa na kundi hilo kutoka Lebanon.
Kwa upande mwengine hata yale makombora yanayotumwa na Israel kudaka yanayokuja kutoka kwa Hizbullah nayo yamekuwa yakiripuka yenyewe kabla kufanya kazi iliyokusudiwa.Hiyo ni sababu hapo jana kombora moja la aina hiyo lilidongokea nyumba moja kaskazini ya Israel na kuleta mshtuko mkubwa kwa familia ambazo wala hazijapewa indhari ya kuhama na wala hawakusikia king'ora cha kuwatahadharisha kama inavyokuwa kikawaida wakati Hizbullah wakiwa wamerusha zana zao.
Utabiri wa kuzidiwa kwa iron dome kudaka silaha za adui ulitolewa zamani na Marekani na huenda nayo ni sababu kwanini Marekani inakimbiza meli zake kuelekea mashariki ya kati huku fununu zikionesha vita hivyo vya moja kwa moja vimebaki masaa machache tu kuanza.
Na wewe huwa unakua kaongoongo hadi basi.
 
Wakati vita vikali baina ya jeshi la Israel na majeshi washirika wa Iran vikikaribia,imetajwa kuwa mashambulizi ya mara kwa mara ya Hizbullah kuzilenga rada na vituo vya ulinzi wa anga vya Israel kumeleta athari kubwa kwa Israel kujilinda kutokana na maroketi yanayorushwa na kundi hilo kutoka Lebanon.
Kwa upande mwengine hata yale makombora yanayotumwa na Israel kudaka yanayokuja kutoka kwa Hizbullah nayo yamekuwa yakiripuka yenyewe kabla kufanya kazi iliyokusudiwa.Hiyo ni sababu hapo jana kombora moja la aina hiyo lilidongokea nyumba moja kaskazini ya Israel na kuleta mshtuko mkubwa kwa familia ambazo wala hazijapewa indhari ya kuhama na wala hawakusikia king'ora cha kuwatahadharisha kama inavyokuwa kikawaida wakati Hizbullah wakiwa wamerusha zana zao.
Utabiri wa kuzidiwa kwa iron dome kudaka silaha za adui ulitolewa zamani na Marekani na huenda nayo ni sababu kwanini Marekani inakimbiza meli zake kuelekea mashariki ya kati huku fununu zikionesha vita hivyo vya moja kwa moja vimebaki masaa machache tu kuanza.
Unadanganya ili iweje warusi walidanganya leo wanapigwa

USSR
 
Naomba kueleweshwa.
1. Nchi ya Lebanon inayo serikali yenye jeshi kamili? Na jeshi ya serikali inayo utofauti na Houthi/Hizbullah?
2. Ni kitu gani ninasababisha Houthi/Hizbullah kuishambulia Israel ata kipindi Israel inagombana na Gaza?
3. Israel ikianza vita na Houthi/Hizbullah itakuwa imeanza vita na Lebanon?
 
Wakati vita vikali baina ya jeshi la Israel na majeshi washirika wa Iran vikikaribia,imetajwa kuwa mashambulizi ya mara kwa mara ya Hizbullah kuzilenga rada na vituo vya ulinzi wa anga vya Israel kumeleta athari kubwa kwa Israel kujilinda kutokana na maroketi yanayorushwa na kundi hilo kutoka Lebanon.
Kwa upande mwengine hata yale makombora yanayotumwa na Israel kudaka yanayokuja kutoka kwa Hizbullah nayo yamekuwa yakiripuka yenyewe kabla kufanya kazi iliyokusudiwa.Hiyo ni sababu hapo jana kombora moja la aina hiyo lilidongokea nyumba moja kaskazini ya Israel na kuleta mshtuko mkubwa kwa familia ambazo wala hazijapewa indhari ya kuhama na wala hawakusikia king'ora cha kuwatahadharisha kama inavyokuwa kikawaida wakati Hizbullah wakiwa wamerusha zana zao.
Utabiri wa kuzidiwa kwa iron dome kudaka silaha za adui ulitolewa zamani na Marekani na huenda nayo ni sababu kwanini Marekani inakimbiza meli zake kuelekea mashariki ya kati huku fununu zikionesha vita hivyo vya moja kwa moja vimebaki masaa machache tu kuanza.
Hongereni waislam
 
Naomba kueleweshwa.
1. Nchi ya Lebanon inayo serikali yenye jeshi kamili? Na jeshi ya serikali inayo utofauti na Houthi/Hizbullah?
2. Ni kitu gani ninasababisha Houthi/Hizbullah kuishambulia Israel ata kipindi Israel inagombana na Gaza?
3. Israel ikianza vita na Houthi/Hizbullah itakuwa imeanza vita na Lebanon?
Wewe kwanza lazima ufahamu Al Houth ndio serekali yenyewe, hio ndio ipo Capita city ya Yemen. Hao wengine ni vibaraka wa Saud Arabia, UAE na America na walisha ingia vita na Al Houth kwa kusaidiwa na Saud Arabia, UAE na pamoja na Israel kumpiga Al Houth ambao ndio serekali ya sheria ya Al Houth walisha pindua serekali ya Abdulrabu Hadi Mansour, mlikuwa wapi wakati Israel na UAE wa wanashambulia Al Houth?

Hezbullah ni chama cha siasa kipo serekalini na majority ya wa Lebanon wanaipa support Hezbullah. Sijui unacho ongea nini hapo.

Kwani Israel anapiga wapi si Lebanon na mnajidifu alipiga Yemen si aendeleze tu vita.
 
Back
Top Bottom