Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

Ni kweli kuna baadhi ya ndugu zetu waafrika wanao shirikiana na mafisadi wa kiasia,tatizo langu kubwa ni kwanini tuwashikie bango waasia wakati mzizi wa ufisadi uko kwa ndugu zetu kama akina Lowasa,Mramba,Karamagi,Bangusilo, na wengineo wengi.
 
Napenda kuchukua nafasi kuwauliza watanzania wenzangu je tutayumbishwa na hawa wahindi mpaka lini?maana kila kukicha kashfa zote kubwa wao ndio ring leader,na mambo haya hayakuanza leo kama mnakumbuka enzi za CHAVDA katutapeli akakimbia Tanzania katuacha mikono mtupu,sasa kuna Rostam,Andy Chande,Somaia,Manji je nani ambaye anawalinda?natunasikia wengine wametoka huko kwao wamekuja kama wawekezaji bila capital,huu upuuzi utaisha lini?
 
Wahindi dunia nzima ndio mababa wa ufisadi ni wataalamu wakubwa wa rushwa na fraud, kwanza wanakuwa upande mkubwa wa serikali na mwisho wakishaijua serikali wanaanza kuitafuna, iddi amini alishayaona hayo na ndio kisa cha kuwatimua,
ukifika botswana hawa jamaa wameshaingia kwenye system ila bado hawajafikia pale kwenye stage ya ufisadi lakini kwa sasa ndio wameshika almost njia zote za uchumi
 
Nakubaliana kiasi fulani na wewe ila naomba ktk kujadili kwetu hapa tuepuke insticts za kuwabagua maana hata kwetu weusiii kuna mafisadi wa kutisha. na kwa taarifa yenu ni kwamba hawa wenzetu wa barahindi wanafanya ufisadi wao kwa kushirikiana na waafrika au watanzania wenyewe. kama tuliwakaribisha jikoni sisi wenyewe kwa nini tunalalamika sasa???
TUANZE UPYA
 
Wahindi dunia nzima ndio mababa wa ufisadi ni wataalamu wakubwa wa rushwa na fraud, kwanza wanakuwa upande mkubwa wa serikali na mwisho wakishaijua serikali wanaanza kuitafuna, iddi amini alishayaona hayo na ndio kisa cha kuwatimua,
ukifika botswana hawa jamaa wameshaingia kwenye system ila bado hawajafikia pale kwenye stage ya ufisadi lakini kwa sasa ndio wameshika almost njia zote za uchumi

Kituko, please acha vituko mkuu. Idd Amini alivyowatimua nchi yake ndiyo ilipata maendeleo au iliacha kuyumba?! Na huko duniani kwingine unakokusema, je ni kule tu ambako kuna Wahindi lakini hamna maendeleo tunayoyahitaji (au kuwa chanzo cha haya malalamiko), au ni kule ambako kuna Wahindi lakini maendeleo yanaonekana?! Kama huko waliko lakini kuna maendeleo, ni nani anayesababisha maendeleo?

Kitulacho kinguoni mwetu. Ma DPP, ma CAG, ma Rais na wanao sign mikataba kwa niaba yetu sisi Watanzania ndiyo chanzo kikubwa cha kudumaa kwetu. Wengi wao wanaongozwa na tamaa na wengine ni dharau au unafiki. Angalia tu swala linalomhusu Mramba, - kusamehe kampuni ya kigeni kulipa kodi kwa miaka 99. Hili linatoka kwa mtu apendaye nchi yake na wajukuu zake kweli?!!
 
Napenda kuchukua nafasi kuwauliza watanzania wenzangu je tutayumbishwa na hawa wahindi mpaka lini?maana kila kukicha kashfa zote kubwa wao ndio ring leader,na mambo haya hayakuanza leo kama mnakumbuka enzi za CHAVDA katutapeli akakimbia Tanzania katuacha mikono mtupu,sasa kuna Rostam,Andy Chande,Somaia,Manji je nani ambaye anawalinda?natunasikia wengine wametoka huko kwao wamekuja kama wawekezaji bila capital,huu upuuzi utaisha lini?
Nyumba za msajili asilimia 99 wanazimiliki (WAHINDI &WAARABU) wao hapo mjini DSM!!!!

Je nayo hii ni halali au kwa kuwa tuu wananguvu ya pesa kuwahonga watumishi wa umma (NHC, mashirika yote ya serikali yenye nyumba)...

hili naloo vp jamanii? tuendelee kupanga sinza, ubungo, mmala, kimara, kibamba, tegeta, bunju kwa bei juu za kodi na usafiriii????
 
Kituko, please acha vituko mkuu. Idd Amini alivyowatimua nchi yake ndiyo ilipata maendeleo au iliacha kuyumba?! Na huko duniani kwingine unakokusema, je ni kule tu ambako kuna Wahindi lakini hamna maendeleo tunayoyahitaji (au kuwa chanzo cha haya malalamiko), au ni kule ambako kuna Wahindi lakini maendeleo yanaonekana?! Kama huko waliko lakini kuna maendeleo, ni nani anayesababisha maendeleo?

Kitulacho kinguoni mwetu. Ma DPP, ma CAG, ma Rais na wanao sign mikataba kwa niaba yetu sisi Watanzania ndiyo chanzo kikubwa cha kudumaa kwetu. Wengi wao wanaongozwa na tamaa na wengine ni dharau au unafiki. Angalia tu swala linalomhusu Mramba, - kusamehe kampuni ya kigeni kulipa kodi kwa miaka 99. Hili linatoka kwa mtu apendaye nchi yake na wajukuu zake kweli?!!

mzee ni mtazamo tu lakini nakwambia kweli these guz ni hatari si kidogo, hebu niambie hapa tanzania kuna ufisadi ngani mkubwa amabao umefanya bila kuwepo muhindi, wewe unafikiri ile kesi ya rushwa ya Jacob Zuma ni nani aliyeinjinia kama sio muhindi(sheikh) ambaye yupo gerezani sasa South Africa,
Iddi amini sio wa kwanza kuwatimua wahindi Nyerere katika azimio la Arusha 90% ya waliotaifishwa na kukimbia ni wahindi, raisi Sekou Toure henzi hizo aliwatimua wahindi na akadiriki kutamka ukitaka nchi yako isitawalike na iwe juu kwa rushwa we mkaribishe muhindi, itakuwa ni vigumu kuamini lakini huo ndio ukweli
 
Hawa jamaa pia ni wajasriamali!

India is an emarging economic power!

halafu wako wengi..zaidi ya billioni 1!

yaani ktk watu 6 unaowaona basi 1 ni toka India!
 
Nakubaliana kiasi fulani na wewe ila naomba ktk kujadili kwetu hapa tuepuke insticts za kuwabagua maana hata kwetu weusiii kuna mafisadi wa kutisha. na kwa taarifa yenu ni kwamba hawa wenzetu wa barahindi wanafanya ufisadi wao kwa kushirikiana na waafrika au watanzania wenyewe. kama tuliwakaribisha jikoni sisi wenyewe kwa nini tunalalamika sasa???
TUANZE UPYA

Wewe ulimkaribisha Muhindi jikoni?
 
Wahindi hawafiki hata 2% ya idadi ya Watanzania, watatuyumbishaje bila ya kuwaruhusu?

Kwa kila muhindi mmoja anayetuyumbisha kuna watanzania angalau watano wanaoruhusu hilo, kwa nini tuwaseme wahindi tu?
 
Wahindi hawafiki hata 2% ya idadi ya Watanzania, watatuyumbishaje bila ya kuwaruhusu?

Kwa kila muhindi mmoja anayetuyumbisha kuna watanzania angalau watano wanaoruhusu hilo, kwa nini tuwaseme wahindi tu?


It depends on how you look at it. Wewe unaangalia aliyewaruhusu wakati sie wengine tunafikiri kumwondoa yeyote, YEYOTE anayetuyumbisha. Mchangiaji wa kwanza katukumbusha kuhusu historia; lazima tuanzie mahali.
 
Wanaotuyumbisha ni mafisadi na fisadi ni fisadi tu. Haijalishi rangi, utaifa, jinsia, dini, elimu, au kabila lake. Na sisi miananchi ndio tunaruhusu haya mafisadi kutuyumbisha. Tukiweka mguu chini kwa ujasiri hawataweza kutuyumbisha kwa sababu hawatuzidi sisi tusio mafisadi.
 


It depends on how you look at it. Wewe unaangalia aliyewaruhusu wakati sie wengine tunafikiri kumwondoa yeyote, YEYOTE anayetuyumbisha. Mchangiaji wa kwanza katukumbusha kuhusu historia; lazima tuanzie mahali.

Mimi naona hii habari ya kuwaandama wahindi inakuwa motivated na racism. Ni kama Hitler alivyo wa galvanize Wajerumani against Wayahudi, ni kama Mtikila alivyo wa galvanize wananchi against Wahindi, ni kama Idd Amin alivyowatimua Wahindi. Wahindi ni easy target kwa mtu asiyetaka kuchambua mambo kwa undani, tatizo ni kubwa kuliko wahindi, tatizo linaanza na watanzania weusi wenyewe wanaowaruhusu wahindi.

Kama hatutakuwa waangalifu tutarudia alichofanya Idd Amin, kuwafukuza Wahindi halafu tukagundua matatizo yetu ni makubwa kuliko wahindi, kwamba matatizo yetu yanaanza na sisi wenyewe.

Badala ya kuwashikia mabango watu wa makundi fulani katika mtindo wa xenophobia, tuzishikie bango tabia fulani, ziwe kwa wahindi au wazalendo, na wote wenye tabia hizi tuwalaani kuwamulika na kuwapatiliza.

Ukiwalundika wahindi wote katika kundi hili unakuwa mbaguzi wa rangi tu, huna tofauti na makaburu.

Wahindi mafisadi hawawezi kupata vibali vya biashara na ushawishi wa kisiasa kama hakuna watanzania weusi wanaowawezesha, badala ya kuangalia matawi ya tatizo (wahindi) tuangalie mzizi wa tatizo (w3anaowawezesha).
 
Vipi aisee kwani Watanzania wenye asili ya Kihindi sio wananchi?

Wananchi as in the hoi polloi, the masses, walalahoi, the lumpen ploretariat.

The bulk of Wahindi are not in that categories, they may be citizens, but that categorization escape them.
 
Mimi naona hii habari ya kuwaandama wahindi inakuwa motivated na racism. Ni kama Hitler alivyo wa galvanize Wajerumani against Wayahudi, ni kama Mtikila alivyo wa galvanize wananchi against Wahindi, ni kama Idd Amin alivyowatimua Wahindi. Wahindi ni easy target kwa mtu asiyetaka kuchambua mambo kwa undani, tatizo ni kubwa kuliko wahindi, tatizo linaanza na watanzania weusi wenyewe wanaowaruhusu wahindi.

Kama hatutakuwa waangalifu tutarudia alichofanya Idd Amin, kuwafukuza Wahindi halafu tukagundua matatizo yetu ni makubwa kuliko wahindi, kwamba matatizo yetu yanaanza na sisi wenyewe.

Badala ya kuwashikia mabango watu wa makundi fulani katika mtindo wa xenophobia, tuzishikie bango tabia fulani, ziwe kwa wahindi au wazalendo, na wote wenye tabia hizi tuwalaani kuwamulika na kuwapatiliza.

Ukiwalundika wahindi wote katika kundi hili unakuwa mbaguzi wa rangi tu, huna tofauti na makaburu.

Wahindi mafisadi hawawezi kupata vibali vya biashara na ushawishi wa kisiasa kama hakuna watanzania weusi wanaowawezesha, badala ya kuangalia matawi ya tatizo (wahindi) tuangalie mzizi wa tatizo (w3anaowawezesha).



Mmarekani na Mwingereza wanawabagua watu wenye asili ya arabia kwenye airport zao, maana top five ya terrorists ni.....

There are many ways to deal with problems. Guantánamo for instance 😉
Sio vigumu kuwatambua associates wa hawa mapapa!
 



Mmarekani na Mwingereza wanawabagua watu wenye asili ya arabia kwenye airport zao, maana top five ya terrorists ni.....

There are many ways to deal with problems. Guantánamo for instance 😉
Sio vigumu kuwatambua associates wa hawa mapapa


That is just branded racism.

Rather than dealing with the symptoms of a disease, I would rather deal with the central pandemic malady.

OK, tuseme tukubali kuwashughulikia hawa wahindi huku tukiwafumbia macho watanzania weusi wanaowapa vibali na ushawishi wa kisiasa, kitu gani kitawazuia kuleta ndugu zao wapya kutoka Gujarati kuja kuendeleza deal kwa formula ile ile?

Ndiyo maana nasema, ukikata mzizi wa fitina kutoka kwa wanaowawezesha utawamaliza hao wahindi na mafisadi wengine wote, ukiwashikia bango wahindi tu ni kama kunywa dawa ya kikohozi wakati tatizo lako ni kifua kikuu.
 
Nyumba za msajili asilimia 99 wanazimiliki (WAHINDI &WAARABU) wao hapo mjini DSM!!!!

Je nayo hii ni halali au kwa kuwa tuu wananguvu ya pesa kuwahonga watumishi wa umma (NHC, mashirika yote ya serikali yenye nyumba)...

hili naloo vp jamanii? tuendelee kupanga sinza, ubungo, mmala, kimara, kibamba, tegeta, bunju kwa bei juu za kodi na usafiriii????

Huu ndiyo uongo unaongozwa na wivu na chuki. Hizo nyumba unazoita za msajili nyingi zilijengwa na wahindi, tukawanyang'anya halafu tukagawana. Baada ya muda tukawauzia wenyewe ili tukajenge Kimara bila kufikiria suala la usafiri na umbali wa huduma! Wengine tukachukuwa pesa ili tuwacheze wenetu. Sasa hapa nani wa kulaumiwa? Uroho wetu na kutoangalia mbali ndiyo uliotuponza. Si hao tunaowaita wahindi.

Amandla.......
 
Hivi madaraka ya TANZANIA na uongozi wake yapo chini ya himaya ya wahindi?tuwe wakweli hapa ,kulikuwa na zile kauli za viongozi wetu wanazozitowa kila kukicha wakoloni hivi wakoloni vile cha kushangaza mamuzi ya nchi hii hufanywa na viongozi wetu tulio wachaguwa, ambao ni wafrika weusi kama sisi wenyewe na kama wanatekwa kimawazo na basi hawatufai kutuongoza.
 
Back
Top Bottom