Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

Ofisi zote za UMMA nilizowahi kutembelea tangu mwaka 1979 sijamkuta MUHINDI.
 
Mnapo sema waasia mnamaanisha wahindi? kwanini msiseme wahindi moja kwa moja. Wahindi wanafahamika dunia nzima na hata Asia kwenyewe wanawajua kwamba jamaa ni noma na mkijilegeza lazima wawatie adabu.

Katika kila dili chafu ya Ufisadi bongo kuna mikono ya Mhindi, sasa waasia wengi na itakuwa kuwaonea wasio kuwa wahindi.

Weusi ni Tatizo kubwa hata wakipata elimu, angalia mijadala humu ndani inayohusu majina ya watu utakuta wachangiaji kibao na threads zinajaa, zungumzia uchumi na biashara na maendeleo uone! Watu weusi wengi wetu tunaroho mbaya, wachoyo na kubaniana ndio maana tumekuwa rahisi kutawaliwa ukilinganisha na jamii nyingine. ubinafsi, ukabila, udini na uchoyo ni sifa kubwa ya mtu mweusi, wahindi wanalijua na wamelitumia kufanya tunachowalalamikia leo. Kabla ya kuwalalamikia waasia tujitazame sisi wenyewe weusi( Ni rahisi sana kuwagawa kwa kutumia dini, rangi, kabila). Niliwahi pendekeza mtafute kitabu kinachoitwa capitalist nigger mtapata tafiti mbalimbali zinazohusu watu weusi zilizofanywa na mwandishi wa kitabu hicho mpate japo picha kidogo ya watu weusi duniani.

Inawezekana waasia ni tabia zao lakini kwetu tunawapa nafasi wenyewe kwa kupenda rushwa, jamaa watakupa na kufanya wanavyotaka. Na wahindi wakipata mali lazima izunguke katika jamii yao, kwa mfano watalobby kupata tenda ya kununua sukari yote kutoka kilombero na itasambazwa kutumia mtandao wa wahindi(maduka ya jumla tu) mswahili atauza rejareja tu.
 
Mnapo sema waasia mnamaanisha wahindi? kwanini msiseme wahindi moja kwa moja. Wahindi wanafahamika dunia nzima na hata Asia kwenyewe wanawajua kwamba jamaa ni noma na mkijilegeza lazima wawatie adabu.

Katika kila dili chafu ya Ufisadi bongo kuna mikono ya Mhindi, sasa waasia wengi na itakuwa kuwaonea wasio kuwa wahindi.

Weusi ni Tatizo kubwa hata wakipata elimu, angalia mijadala humu ndani inayohusu majina ya watu utakuta wachangiaji kibao na threads zinajaa, zungumzia uchumi na biashara na maendeleo uone! Watu weusi wengi wetu tunaroho mbaya, wachoyo na kubaniana ndio maana tumekuwa rahisi kutawaliwa ukilinganisha na jamii nyingine. ubinafsi, ukabila, udini na uchoyo ni sifa kubwa ya mtu mweusi, wahindi wanalijua na wamelitumia kufanya tunachowalalamikia leo. Kabla ya kuwalalamikia waasia tujitazame sisi wenyewe weusi( Ni rahisi sana kuwagawa kwa kutumia dini, rangi, kabila). Niliwahi pendekeza mtafute kitabu kinachoitwa capitalist nigger mtapata tafiti mbalimbali zinazohusu watu weusi zilizofanywa na mwandishi wa kitabu hicho mpate japo picha kidogo ya watu weusi duniani.

Inawezekana waasia ni tabia zao lakini kwetu tunawapa nafasi wenyewe kwa kupenda rushwa, jamaa watakupa na kufanya wanavyotaka. Na wahindi wakipata mali lazima izunguke katika jamii yao, kwa mfano watalobby kupata tenda ya kununua sukari yote kutoka kilombero na itasambazwa kutumia mtandao wa wahindi(maduka ya jumla tu) mswahili atauza rejareja tu.

Kuna tatizo kubwa miongoni mwa sisi weusi.Na kama muonavyo wahindi na waarabu ndio watawala nchi.Weusi ni watumwa wao.Nenda kila pande ya africa utaona hivyo.Waache hao wahindi wafaidi jasho la mweusi-sasa wafanyeje kama weusi wamemelala-Big up wahindi na waarabu.
 
Usithubutu kutofautiana na JMushi. Anawaka kama kazidisha vikombe. Halafu anachofikiria saa 24 ni Uchagga unaonewa, na kuingia msituni. Tatizo ni kwamba kupigana kutoka misitu ya Columbus, OH itakuwa vigumu kidogo kum depose mtu Magogoni, Dar-es-Salaam. Unless unatumia long range, high-precision, heat-seeking missiles. Ambazo ni gharama kidogo, hasa ukizingatia JMushi anasema bado yuko shule.

JMushi, kabla hujanitumia virtual heat seeking missile kumbuka inawezekana na mimi ni mchaga mwenzio. Unaweza kupunguza idadi ya Wachagga bila kujijua!

(By the way, FM, hilo tundiko lako likifika kwa Wakuu wa Wamisheni Tanzania unaweza "kufungiwa duniani na mbinguni" kwa kutoa shutuma kali. Tuombee wamisheni wawe hawaingii humu.)

Kuhani acha kuwapotosha wana jf.
Inaonekana una roho mbaya sana ndugu yangu.
Unafikiri nimesahahu kuwa wewe ndiyo "SILENCER?"
 
ingekuwa elimu bora wasinge kuwa wahalifu wa kalamu wamepata elimu sibora

Nakubaliana na wewe mkuu...Ila pointi yangu ni kwa wapiga kura ambao wanawachaguwa hao wenye elimu.
Na wao wapiga kura ambao wengi wao ni wajinga hawajui kabisa kama rushwa ni kitu kibaya kwasababu ni kama utamaduni kwa mwafrika.
Utamaduni ambao ni muhindi ameukomaza kwasababu ya ujinga wa wapiga kura wengi.
Saikolojia ni muhimu sana kwa wale wanaopeda kuwatawala wengine na kuwanyonya.
Blair mwenyewe yalishamtokea lakini kwasababu wazungu nao wameshawasoma...Ikazimwa kiaina ila jamaa alikuwa keshapata access ya Blair na kuanza ku impact maamuzi ya some policies...
 
Kuna tatizo kubwa miongoni mwa sisi weusi.Na kama muonavyo wahindi na waarabu ndio watawala nchi.Weusi ni watumwa wao.Nenda kila pande ya africa utaona hivyo.Waache hao wahindi wafaidi jasho la mweusi-sasa wafanyeje kama weusi wamemelala-Big up wahindi na waarabu.

Ndugu yangu hata wazungu walio wengi sio kwamba eti wana akili sana....Ila kuna wale ambao wako tayari kufa ili kuwapigania freedom yao....Na kazi zao ili waendelee kujikimu na maisha na wasife njaa...
Wako wengi sana tu hata hapa USA wanaitwa blue white colors or something...Hao hawana ufahamu mkubwa sana lakini VIONGOZI WAO wanajuwa lazima wapiganiwe ili waendelee kupata kazi NA MAISHA BORA
Sisi ni tofauti...TUNAUZA NCHI NA WANANCHI NDANI.
 
Na wakina Mgonja wakichota mabilioni ya fedha.Okay,nakubaliana na wazo lako lakini naomba tuwachukie mafisadi wote sio waasia tu.Na 'infact' ningeshauri tuanze kususia business interests zao kuanzia leo.
 
Na wakina Mgonja wakichota mabilioni ya fedha.Okay,nakubaliana na wazo lako lakini naomba tuwachukie mafisadi wote sio waasia tu.Na 'infact' ningeshauri tuanze kususia business interests zao kuanzia leo.

Wote hao wakoloni na vibaraka wao watakipata wasipotowa uhuru kwa wananchi...WAWE WANANCHI WAJINGA AMA WENYE AKILI....IT DOENS'T MATTER..WOTE WANASTAHILI KUWA HURU...WATUMWA HAWAKUWA NA AKILI WALIPOACHIWA HURU...THE SAME THING WITH WAZAWA MARA BAADA YA UHURU...WALIHITAJI ELIMU NA BADO WANAHITAJI ELIMU.
 
Naona waasia tunawaonea bure. Kikulacho ki nguoni mwako, haiwezekani waasia watambe wakati wazalendo wapo, ni sisi wenyewe tunaowapa huko kutamba, tunatakiwa kuwashughulikia kwanza hawa wa kwetu then waasia wataacha wenyewe.
 
Naona waasia tunawaonea bure. Kikulacho ki nguoni mwako, haiwezekani waasia watambe wakati wazalendo wapo, ni sisi wenyewe tunaowapa huko kutamba, tunatakiwa kuwashughulikia kwanza hawa wa kwetu then waasia wataacha wenyewe.

Bongolander ngoja nikupe kisa kidogo alafu utasema kama tunawaonea wahindi.Mwanzoni wa miaka ya sabini serikali iliamua kutaifisha nyumba zote zaidi ya moja.Sasa wahindi wengi walipata inside information kwa Kassam na Jamal[mawaziri wa kihindi] wakawatafuta waafrika wenye nazo[akiwemo mjombangu]na kuwauzia nyumba zile kwa discount ya 30% wakijua zitataifishwa.Waafrika wengi waliumia sana wakati huo na generation nzima ya upcoming Tanzanians ikarudishwa nyuma.Mpaka leo mjomba analipa rent kwenye nyumba ile.Huyo muhindi anaishi Canada na familia yake,haya niambie NIWAPENDE watu hawa?
 
Last edited by a moderator:
Hakuna haja ya kuwachukia Watanzania wenye asili ya Asia.
Tutarudi kule marehemu Mwalimu Nyerere alikokuwa anasema, kuwa tukisha wamaliza waasia tutaendelea kuwamaliza wapemba, kisha wachaga, kisha wahaya, kisha wanyakyusa, hadi mwishoni ndani ya familia tutakuwa tunauana wenyewe kwa wenyewe.
 
Hakuna haja ya kuwachukia Watanzania wenye asili ya Asia.
Tutarudi kule marehemu Mwalimu Nyerere alikokuwa anasema, kuwa tukisha wamaliza waasia tutaendelea kuwamaliza wapemba, kisha wachaga, kisha wahaya, kisha wanyakyusa, hadi mwishoni ndani ya familia tutakuwa tunauana wenyewe kwa wenyewe.
Inaelekea hujawaelewa watoa hoja,kilichopo mbele ni waasia waharibifu na wanaojihusisha kuhujumu uchumi kwa kushirikiana na viongozi mafisadi.hao ndio walengwa wa hoja hii,sio kwa rangi yao bali tabia zao.
Hii yote imetokana na kupatikana viongozi ambao wamefadhiliwa na wahalifu hawa kushika nafasi za uongozi.Hii ni alliance mbaya sana,ndio maana nguvu sasa imeelekezwa kubomoa wazawa wanaoinukia akina Mengi,Diallo,Idd Simbaetc kuzushiwa mambo mbalimbali kuwakosesha imani kwa watanzania wazalendo.Inasikitisha watu kama waandishi wa habari na wanasiasa kama Mtikila na Paul Kyala wameingia kwenye mtego huu.Nawaasa wanatz msiposhikamana na kulioana tatizo hili,taifa letu litaangamia.
Natao ushauri kwa wanachama wa CCM mikataba yote ya jumuia zenu mlizoingia na wawekezaji aina ya kina Patel na Manji shinikizeni chama chenu kufuta mikataba hii,ili muepukane kuomba fedha za kampeni kwa watu hawa ambayo imewapa mwanya wa kupandikiza viongozi wanaowataka wao na maslahi yao.
Mkichukua hatua hiyo mchague viongozi wenye uchungu na uwezo wa kufikiri na kubuni njia za heshima za kujenga vitega uchumi ambavyo ni endelevu kama ANC.Chama hicho ni tajiri sana,ndio maana wameweza kumdhibiti Rais Thabo Mbeki kwani hawategemei ruzuku ya serikali kuendesha mambo yao ya chama.
 
Hakuna haja ya kuwachukia Watanzania wenye asili ya Asia.
Tutarudi kule marehemu Mwalimu Nyerere alikokuwa anasema, kuwa tukisha wamaliza waasia tutaendelea kuwamaliza wapemba, kisha wachaga, kisha wahaya, kisha wanyakyusa, hadi mwishoni ndani ya familia tutakuwa tunauana wenyewe kwa wenyewe.

Bwana Modesti... sio kuwachukia waasia wote...(Japo nina uhakika waasia wengi wanatuchukia sana na kutudharau sisi watu weusi) ... sisi tunazungumzia kuwachukia waasia mafisadi. Hata hivyo inabidi tuwaangalie waasia wote kwa jicho wa pembe kwani hata kui-intergrate na sisi hawataki kabisa. Mhindi anazaliwa Tz mpaka anazeeka hawezi kuzungumza kiswahili fasaha?? Halafu naomba ujiulize umeshaona ndoa kati ya mtu mweusi na mhindi ngapi? Kwanini?
 
HABARI TOKA NYANDA ZA JUU KUSINI

Kwanza napenda kuungana na mwafrika wa kike kwa maoni yake mazuri. anachosema ndicho kilichotokea hivi majuzi na kinachoendelea kutokea Wilayani Njombe. Nadhani mnafahamu kuwa Burushi Mulla ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa mbeya anamiliki kiwanda cha chai lupembe kilichopo wilayani njombe. Kwa kipindi cha miezi mitatu sasa mulla amesababisha vita kali kati ya wananchi wa lupembe na hiyo inayoitwa himaya yake ya dhuluma aka kiwanda cha chai. Hivi majuzi Mkuu wa Mkoa alilazimika kupeleka askari kama muonavyo tarime kwenda kuwachapa viboko wananchi wa lupembe ambao walikuwa wameamua kumtandika mulla na walaji wenzake wanaoendesha kiwanda hicho. Hamuwezi kuamini kwani hata JK alipotembelea Iringa na baadaye waziri wake wassira wote waliingia mitini kukabiliana na wananchi hao. Tunaelekea kubaya. Waandishi kwenye eneo hili walipigwa biti wasitangaze kasheshe ya mulla wakapoa.

Mnawezakuamini pia kuwa katika karne ya 21 wakati mafisadi wanatesa Askari wetu wa Jeshi la Polisi ambao nao wamekuwa wakishiriki kulinda himaya ya wahalifu wakubwa wanaishi kwenye vibanda vya mabanzi. Moto mkubwa uliwaka kwa hasira jana kuvichoma vibanda hivyo katika Kituo cha polisi mafinga.


Kutoka mpanda tunaambiwa kwamba polisi wakishirikiana na makada wa ccm walamua kuwachapa bakora vijana wa chadema katika kile kinachosadikiwa kulinda jimbo la la Bw. Pinda Kushoto. hapa mbeya mambo ni kama yalivyo Mwakipesile, mwakyusa wanaendelea kutafuna ubwabwa wa wananchi, huku wenyewe wakitimuliwa kwenye vibanda vyao bila fidia.
 
Tufanye kweli jamani ,hawa watu watatuua hata mafisadi wa watanzania maana hawa ndio wabaya zaidi kwani wanawapa nafasi na kukingia vifua
 
ni kweli siasa za nyerere zilichangia kuwaogopesha hivyo kuwafanya wajirundike kwenye flat za kupanga badala ya kujenga..hii ni kutokana na ile land contract ya nyerere ya miaka 99!ya wenzetu wa kenya ilikuwa ni miaka 999 kama sijakosea..so hiyo iliwaencourage wageni kununua ardhi na kuwekeza zaidi kenya!ndio maana kuna wazungu na wahindi wengi zaid huko kenya.lakini hakuna kiongozi yeyote aliyelifanyia kazi suala hili..kwamba wahindi sasa waache kukaa style ya mguu mmoja nje mmoja ndani!akaunti zao nje(hiyo ni hali ya ufisadi),wakizeeka nje(hakuna uzalendo),wako karibu na viongozi na hivyo kufanya wanavyotaka bila kujali maslahi ya nchi.wameshindwa kuassimilate..huwezi kuwakuta kwenye shughuli za kipatriotism kama vile mgambo,polisi,jeshi etc.walikuwa na uwezo wa kuiendeleza hii nchi yetu..hii ni kwasababu wakati mkoloni akiondoka wao ndio walikuwa wanahodhi nafasi zenye kudili na mambo ya fedha kama vile auditors na mambo ya commerce!badala ya kukumbatia siasa za corruption na division..wangesikiliza na kuifanyia kazi sera ya mwalimu ya siasa ni kilimo!hawakufanya hivyo wakajiingiza kwenye siasa za uhujumu uchumi..kuingiza bidhaa feki na kuua viwanda vyetu!bidhaa zilkuwa zikipitishwa njia ya panya kutoka kenya!marehemu sokoine alipambana nao..wanajua hilo!lakini this time we're gonna have to resolve this issue!walidumaza maendeleo ya nchi yetu na bado wanaendelea kufanya hivyo kwa kuwanunua viongozi ambao hawaku qualify kupata nafasi zao..then kuiteketeza nchi yetu na kutusababishia umasikini na ujinga!this one also have to be resolved!na hii ni kwa wahindi wote;kuipenda hii nchi kwa moyo mmoja,na wakizalendo..na kuitumikia nchi yetu kwa moyo wote..hilo itabidi mtuhakikishie!ila kwa kuanzia wale mafisadi washughulikiwe kwanza!

mwanangu hii imekaa vizuri sanaa!!!
 
na wakina mgonja wakichota mabilioni ya fedha.okay,nakubaliana na wazo lako lakini naomba tuwachukie mafisadi wote sio waasia tu.na 'infact' ningeshauri tuanze kususia business interests zao kuanzia leo.

tuanze na waasia kwanza maana hawa ndiwo wanaopigiwa pasi na akina mgonja,tukiwang'oa hawa,basi akina mgonja watakosa wa kuwapigia pasi,lakini ni lazima pia tukumbuke kuwa,hii ni kazi inayohitaji uzalendo wa hali ya juu na siyo unafiki au kujipendekeza
 
hakuna haja ya kuwachukia watanzania wenye asili ya asia.
Tutarudi kule marehemu mwalimu nyerere alikokuwa anasema, kuwa tukisha wamaliza waasia tutaendelea kuwamaliza wapemba, kisha wachaga, kisha wahaya, kisha wanyakyusa, hadi mwishoni ndani ya familia tutakuwa tunauana wenyewe kwa wenyewe.

usilete mifano ya kipuuzi ktk jf sisi tunazungumzia uzalendo na maslahi ya nchi, na vita yetu kubwa ni kupigania maslahi ya nchi ambayo yameporwana hawa wahindi kwa kushirikiana na viongozi wabovu wenye uchu na tamaa zisizo kifani, kwa maana nyingine hii ni vita juu ya mafisadi wote lakini tunaanza na hawa wahindi,ambao wamekuwa ni vinara wakubwa wa ufisadi na ndiwo chimbuko kubwa la umaskini unaohikabili jamii ya watanzania
 
Back
Top Bottom