Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

Sikia Fundi Juma?!
Mabadiliko yanategemea sisi tutawakomalia vipi kichwa hao mafisadi wote together with the gabachoris!
Usijaribu kupindisha mada coz maybe una inerest zako ambazo no body cares anyways!
Hapa watu wanapigania uzalendo in any means neccessary!
Walijaribu Uingereza around 2001 na before lakini walishindwa!Blair almanusra aingie mkenge!
We've got to be carefull!
Mengi wasn't and isnt corrupt!Kamuulize Manji!

Very strong, na tuko ukurasa mmoja hapa mkuu, Bravo!
 
Mkuu Usiyejua Yote,

Hii ishu ninarudia tena ni ya Wahindi period, kama kuna mwenye tatizo na Waafrika aanzishe topic yake kwingine, hapa tunajadili Wahindi, kichwa cha hii topic kilisema Wahindi ila kuna wanaojaribu kuwa politically corect wakakibaidli,

lakini hakijabadilika kitu, the ishu ni Wahindi!

Kumbe wewe ndiye Kidzogolae uliyeanzisha mada hii? Basi kama uliteleza uliposema waasia badala ya wahindi si ungewatonya tu Mods wairekebishe mada YAKO ili ielekee ulikokusudia awali?
 
Kumbe wewe ndiye Kidzogolae uliyeanzisha mada hii? Basi kama uliteleza uliposema waasia badala ya wahindi si ungewatonya tu Mods wairekebishe mada YAKO ili ielekee ulikokusudia awali?

Mkuu Usiyejua Yote,

ninarudia tena kuwa hii mada ilipoanzishwa ilisema Wahindi, haikusema Waasia, lakini ikabadilishwa na kuwa Waasia, lakini hakijabadilika kitu, the ishu hapa ni Wahindi na bongo yetu, sio mimi wala aliyeanzisha mada!

Ahsante!
 
Mkuu Usiyejua Yote,

ninarudia tena kuwa hii mada ilipoanzishwa ilisema Wahindi, haikusema Waasia, lakini ikabadilishwa na kuwa Waasia, lakini hakijabadilika kitu, the ishu hapa ni Wahindi na bongo yetu, sio mimi wala aliyeanzisha mada!

Ahsante!
[
FONT="Comic Sans MS"]
Mkuu ujaaye yote,

Haya, basi tuseme mada hii ni" Je, Wahindi ndiyo wala rushwa wa kwanza TZ hii?" utazungumziaje wahindi pekee yao bila kumzungumzia mmatumbi? Si mmesema hawa jamaa ni wa kwanza, basi wa pili ni nani? Mzungu? Muarabu? Wenyewe basi mmekosea kuiweka mada. Kwa maana ni comparative ni lazima wengine tutajiuliza ni compared to whom? Kwa sababu wamatumbi ni wengi, bila shaka wataingia kwenye mada. Ni kuwa myopic kung'ang'ania kuwa tuwazungumzie wahindi tu, period. Kwa vile tunajadiliana kilicho mbele yetu, nakuhakikishia nitaendelea kuzungumzia nafasi ya mmatumbi katika yote haya.



Bila akhsante.

Amandla![/FONT]
 
Mkuu Usiyejua Yote,

ninarudia tena kuwa hii mada ilipoanzishwa ilisema Wahindi, haikusema Waasia, lakini ikabadilishwa na kuwa Waasia, lakini hakijabadilika kitu, the ishu hapa ni Wahindi na bongo yetu, sio mimi wala aliyeanzisha mada!

Ahsante!

Mkulu nakubaliana nawe kabisa hata ikibadilishwa kuwa waasia ni bora zaidi sababu kina RA,Gulam na sasa hawa Machondogo ni waasia.

Kwanza sasa hivi inabidi kuwe kuna controll of immigrants nchi yetu itafurika na sisi bado tunazembea.
 
Ninasikitika sana kuona kwamba baadhi ya wanaJF wenzangu ambao nimewaona wakileta hoja za maana katika nyanja nyingine, wanaweza kuwa blatantly so racist, mpaka wengine kusema that Hitler had some good ideas, that Africans have lower IQ, it is terrible!
Some of you mnaoishi Ulaya mnajua skin heads and ultra right wing, na mnakimbizana nao tu avoid being injured, those in the US, know what it is like to live as a Black man and how racism can affect your life, yet mnaleta hapa same remarks that you abhor when applied to you.
Fundi Mchundo, thank you for being the voice of reason! Mi kwa kweli I am out of here, because leo nimesikitika sana kusoma nilichosoma because this is hate speech.
 
naomba kuuliza dawa ya hawa wahindi ni nini?? maana kama tanzania Andy Chande amekuwepo toka enzi za nyerere so hamuwezi kumfanya lolote kwa mtazamo wangu,,,,,so uwafanye nini hawa wanaochipukia?
 
Ninasikitika sana kuona kwamba baadhi ya wanaJF wenzangu ambao nimewaona wakileta hoja za maana katika nyanja nyingine, wanaweza kuwa blatantly so racist, mpaka wengine kusema that Hitler had some good ideas, that Africans have lower IQ, it is terrible!
Some of you mnaoishi Ulaya mnajua skin heads and ultra right wing, na mnakimbizana nao tu avoid being injured, those in the US, know what it is like to live as a Black man and how racism can affect your life, yet mnaleta hapa same remarks that you abhor when applied to you.
Fundi Mchundo, thank you for being the voice of reason! Mi kwa kweli I am out of here, because leo nimesikitika sana kusoma nilichosoma because this is hate speech.

Unfortunately wengi kati yetu ni bigots! Kama ulivyosema bila aibu watu wanamweka Hitla kama mfano na kuweka ka 'fig-leaf' ati kama alikosea kwa kuwaua wayahudi( na Gypsies, na wakomunisti n.k)! Kwani mwisho wa chuki kama hizo ni nini? Si hiyo hiyo aliyoiita Final Solution au its modern derivative 'ethnic cleansing'? Wengi kati yetu kama rangi yetu ingekuwa nyeupe tungekuwa tunajifunika mashuka na kuzunguka kuchoma misalaba! Wengi wao hata huko wanakoishi ndani yao wanaamini kuwa 'niggers' deserve what they get! Nimewasikia wenzetu wakitumia the same contemptous tone ya wakina David Duke wakizungumzia weusi waliowakuta.

Tumezama katika dimbwi la kujiona victims na la entitlement kiasi ambacho tunashindwa kujiona kwenye kioo kuwa tumekuwa the very caricature ya yale maovu yote tuliyokuwa tukifanyiwa. Kama vile waisraeli ambavyo wanashindwa kutambua uovu wa wanachokifanya dhidi ya wapalestina wakisingizia bado Holocaust!

Kuna mwenzetu ameuliza, tuwafanye nini hawa wahindi? Na mimi nauliza: kilichobaki nini maana tumeisha wanyang'anya walicho nacho, wenzetu waliishajaribu kuwafukuza, n.k. Kilichobaki ni kuanzisha concentration camps tuwafungie humo na watuache na paradisi itakayokuwa nchi yetu maana matatizo yote in one fell swoop yatakoma! Tunashindwa kuona kuwa sisi na watu kama the Truth hatuna tofauti. Wote ni bigots, period.
 
Tatizo hapa hasa si ubaguzi wa rangi kama unavyodhani. tatizo ni takwimu, uchache wa hao ndugu zetu na wingi wa scandali za dili zao mbaya unanishawishi niamini kwamba wengi wao hawana uzalendo na nchi na wako mguu mmoja nje na mwingine ndani pindi mambo yakiharibika huwa ni wa kwanza kuondoka nchini.
 
Waache waigawane nchi yao, sisi wazawa tuwe tu maskini, waache watengeneze matumbo kwa kuwarubuni viongozi wetu kwa kufanya nao biashara za mafuta, contract za ujenzi na hata viongozi wetu kuingia nao ubia wa viwanda, ila saa yaja wakati mwana wa Tanzania atakapolilia nchi yake, hapo ndipo wale wasaliti wataomba dunia ipasuke, Mungu ibariki Tanzania.
 
Wakuu,

nimegongana na hii article katika pitapita zangu na kwa kweli it caught my
attention big time.


During colonial years, Europeans brought with them several people of African origin to India as labor. Most of them set themselves free thanks to complicated mosaic of kingdom boundaries and a dense forest cover and have come to be known as Siddis. Siddis are completely Indianized - they speak local languages, practice local religions including Hinduism, Islam and Roman Catholic.

Some Indians of African origin, settled in India since the medieval times are also sometimes referred to as Siddis.

http://www.kamat.com/kalranga/people/siddi.htm
 
Kuna African-Americans; hawa ntawaita Wahindi Waafrika ama Siddis


I wish the Indians that came here were completely Africanized. It troubles me when they despise... *cough* sorry, refuse to speak Swahili.
 
Kuna African-Americans; hawa ntawaita Wahindi Waafrika ama Siddis


I wish the Indians that came here were completely Africanized. I troubles me when they refuse to speak Swahili.

Mambo ya kina Raj-Patel hayo!
 
Watu wa kwanza kuingia India walikuwa waafrika ambao mpaka sasa wapo huko asia, kwa mfano kuna watu wanawaita Wanegrito, hawa sura zao ni waafrika kabisa na inasemekana walifika huko miaka 30,000 iliyopita.

Hili kundi linalofanana na waafrika walikaa south ya asia kwa hiyo hawakuivolve, yaani kubadilika sana kisura kutokana na joto, kuna wengine walienda north na kutokana na baridi ya Ice age walibadilika wakawa na ngozi nyeupe, wakaja south wakaonana na weusi wenyewe na ndio 'wahindi' wa leo walivoanza.

Genetically hawa waafrika wako closer zaidi na wahindi wa asia kuliko waafrika wa afrika kutokana kwamba makundi haya yalievolve uder similar environments.

Lakini msichanganye waafrika waliokuja kutoka east afrika kama wafanyabiashara au wanajeshi in historical times (eg islamic invasions) na waliokuja muda mrefu,wanegrito.

Kwa hiyo 'waafrika' ni watu wa kwanza india, na watu wanaofanana na wao wapo asia mpaka leo hii.
 
Watu wa kwanza kuingia India walikuwa waafrika ambao mpaka sasa wapo huko asia, kwa mfano kuna watu wanawaita Wanegrito, hawa sura zao ni waafrika kabisa na inasemekana walifika huko miaka 30,000 iliyopita.

Hili kundi linalofanana na waafrika walikaa south ya asia kwa hiyo hawakuivolve, yaani kubadilika sana kisura kutokana na joto, kuna wengine walienda north na kutokana na baridi ya Ice age walibadilika wakawa na ngozi nyeupe, wakaja south wakaonana na weusi wenyewe na ndio 'wahindi' wa leo walivoanza.

Genetically hawa waafrika wako closer zaidi na wahindi wa asia kuliko waafrika wa afrika kutokana kwamba makundi haya yalievolve uder similar environments.

Lakini msichanganye waafrika waliokuja kutoka east afrika kama wafanyabiashara au wanajeshi in historical times (eg islamic invasions) na waliokuja muda mrefu,wanegrito.

Kwa hiyo 'waafrika' ni watu wa kwanza india, na watu wanaofanana na wao wapo asia mpaka leo hii.

Tazama hizi sura kwa mfano:

n1246250343_30056545_7472.jpg


n1246250343_30056544_7247.jpg


n1246250343_30056543_7000.jpg
 
Kuna African-Americans; hawa ntawaita Wahindi Waafrika ama Siddis


I wish the Indians that came here were completely Africanized. It troubles me when they despise... *cough* sorry, refuse to speak Swahili.

They?? Acha kugeneralise...kama kuna muhindi anafanya jambo mtaje sio wote wanatabia za kifisadi au ubaguzi...tuanze kuwa makini sasa na tunayo yasema humu...je umeshawahi kuishi na wahindi??, unamarafiki wa kihindi bongo? umewadate or been to their homes?? if the answer is no....dont make any comments coz you dont knw all of them...
 
kapinga,

I didn't say ALL of them did I? 🙂
Well, what I meant was most of them. I have been to school with them, worked with, been to their shops.
 
CCM kwa Wahindi sawa na mbwa kwa chatu

Johnson Mbwambo Septemba 10, 2008
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo

WAPO Watanzania kadhaa (akiwemo Mzee Cleopa Msuya) walioshtushwa na hatua ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kumfukuza uanachama Nape Nnauye. Mimi si mmojawao.

Dalili kwamba Nape angetoswa zilishaonekana mapema pale Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba na Kamanda wa Vijana, Ngombale Mwiru walipompiga vijembe wakati wakizungumza katika mkutano wa Baraza Kuu la UVCCM, mjini Dodoma, mwishoni mwa wiki.

Wazee hao walikemea tabia ya kukikosoa Chama. Kwamba hata kama suala lenyewe linahusu tuhuma za mkataba wa kifisadi, hutakiwi ufungue mdomo wako na kuonyesha hisia zako umma wote wa Tanzania ukazifahamu. Kwa hakika, Ngombale Mwiru anataka ‘nidhamu’ hiyo ya Chama idumishwe hata na wabunge wa CCM kwenye vikao vya Bunge. Hiyo ndiyo demokrasia ‘staili’ ya Ngombale!

Ndiyo maana nawashangaa hao walioshtushwa na kutimuliwa kwa Nape kutoka UVCCM. Nitazidi kuwashangaa kama watakuja tena kushtuka watakaposikia kuwa Kamati Kuu ya CCM (ambayo Andrew Chenge naye yumo) nayo imemvua Nape nyadhifa zingine za uongozi ndani ya chama hicho au hata kumfukuza kabisa kutoka CCM.

Kama suala lenyewe lililosababisha Nape kutoswa na UVCCM lisingekuwa linahusu mkataba mbovu wa kifisadi, pengine Watanzania wenzangu hao wangekuwa na kila sababu ya kushtushwa na hatua hizo kali dhidi ya Nape; lakini kwa kuwa lilihusu kukemea ufisadi ilikuwa ni dhahiri tangu mwanzo kwamba kijana huyo angetoswa.

Katika nyakati hizi ambapo CCM kimekamatwa kweli kweli na mafisadi, huwezi kuwa kiongozi wa chama hicho au kuwa mmoja wa wawania uongozi, na kisha ukalivalia njuga suala la ufisadi; halafu usalimike!

Hiki ni chama ambacho, kama ilivyo Serikali yake, hakitishiki au kuhuzunishwa na kushamiri kwa ufisadi nchini kwa namna ambayo Watanzania wengi wanahuzunika. Ni chama ambacho kiko tayari kumtosa mwanachama wake safi ili kumlinda tu fisadi mmoja.

Tunaaambiwa na UVCCM kwamba kilichomponza Nape ni kusema uongo kwamba mradi wa ujenzi wa jengo jipya makao makuu ni wa kifisadi, na kwamba taratibu zote hazikufuatwa wakati wa kuupitisha; lakini sote tunajua ukweli ni upi kwa sababu mchakato mzima uliosababisha jengo hilo la makao makuu ya Umoja wa Vijana liangukie kwa wafanyabiashara wa Kihindi ulishaanikwa hadharani na karibu vyombo vyote vya habari.

Na kama ilivyo kawaida ya usanii wa CCM na jumuiya zake, hoja ya Nape kuhusu mradi huo kuwa wa kifisadi haikupewa sana uzito; na badala yake muda mwingi ulitumika kumjadili Nape kama Nape, na hatimaye kushushiwa rungu hilo.

Na wala suala la utata wa mradi huo kutopewa sana uzito katika kikao hicho cha Baraza Kuu la UVCCM si kitu cha kushangaza sana; kwa sababu katikati ya skandali hiyo ya mradi wa ujenzi wa jengo hilo, wamo wafanyabiashara wa Kihindi. Na sote tunajua jinsi chama hiki CCM kinavyowakumbatia Wahindi; hata pale inapobainika kuwa ni mafisadi. Na hili ndilo ninalopenda kulijadili leo.

Nadiriki kusema kwamba mahusiano ya CCM na baadhi ya wafanyabiashara wa Kihindi ni sawa na yale ya mbwa na chatu. CCM inawajua wafanyabiashara wote wa Kihindi ambao ni mafisadi na inajua athari wanazosababisha kwa jamii, lakini bado inawakumbatia; tena kwa kuwabembeleza. Kama mbwa anavyojipeleka mwenyewe, akilia, kwa chatu ili akamezwe; vivyo hivyo CCM na Serikali yake kwa wafanyabiashara wa Kihindi.

Nani angeamini, kwa mfano, kwamba pamoja na skandali zote za kifisadi zilizopata kumwandama Jeetu Patel huko nyuma, bado angerejea Tanzania na CCM kumkumbatia tena; na hivyo kumpa tena fursa ya kutukwapulia pesa zetu nyingine za EPA? Nani asiyejua kwamba mpango wa wizi wa pesa za umma katika EPA ulisukwa na Wahindi kwa kisingizio cha kutafuta pesa za kampeni za uchaguzi za CCM?

Nani asiyejua kwamba tangu Mwalimu Nyerere alipoondoka madarakani wafanyabiashara wa Kihindi wa sampuli ya Jeetu Patel, Chavda, Shailesh Vithlan na wengine wengi, wakiwemo hata Free Masons, wamekuwa ndiyo eti “wafadhili” wakubwa wa CCM kila uchaguzi unapowadia?

Kichekesho chenyewe ni kwamba “ufadhili” wenyewe unatokana na pesa wanazoibia umma. Kila senti tano wanayoitumbukiza kukisaidia Chama hicho hutokana na pesa walizoibia umma; iwe ni kwa njia ya ukwepaji kodi au msamaha wa kodi, upendeleo katika zabuni au katika ununuzi wa mashirika ya umma au hata wizi wa moja kwa moja kama wa EPA, Meremeta au ule wa pesa za OGL.

Hebu fwatilia ni nani waliouziwa viwanda au mashamba ya umma kwa bei za kutupa, maghala ya umma na hata majengo ya jumuiya za CCM kama UWT (na sasa UVCCM), kama sio wafanyabiashara wa Kihindi?

Kwanini ni Wahindi tu? Si kweli kwamba ni wao tu wenye mapesa. Mfanyabiashara wa Kihindi atahonga na atauziwa jengo kwa bei ya kutupa. Atalipa kiasi kidogo tu cha bei iliyokubaliwa, na kisha atatumia jengo hilo kama dhamana ya kuombea mkopo benki na kutumia sehemu ya mkopo huo kulipia kiasi kilichobakia!

Kwa ujanja rahisi kama huo, hata wazawa wangeweza kuuziwa majengo hayo, lakini watawala bado wamewang’ang’ania Wahindi tu. Na katika kufanya hivyo, wakati mwingine huwaendea na kuwabembeleza wanunue mali za umma. Na mwisho wa yote tunageuzwa sote mabwege. Tunabembeleza kumezwa!

Mimi nisingekuwa na matatizo makubwa na utaratibu huu, kama angalau wazawa nao wangekumbukwa, lakini wapi! Ni Wahindi, Wahindi, Wahindi tu; tena, basi, baadhi wakiwa na uraia wa zaidi ya nchi moja.

Hivi sasa wafanyabiashara wa Kihindi hupigania nafasi za kisiasa ndani ya CCM ili wawe karibu na Serikali na waweze kupata dili hizi za kifisadi na papo hapo wapate kinga dhidi ya uovu wao. Ilikuwa hivyo tangu enzi za utawala wa Mwinyi, ilikuwa hivyo utawala wa Mkapa, na ndivyo pia ilivyo katika utawala huu wa awamu ya nne.

Lakini si kweli kwamba wote ndani ya CCM na jumuiya zake wanaikubali hali hiyo, na ndiyo maana tumeanza kuwaona kina Nape wakiishiwa na “uzalendo” wa Ki-CCM; na hivyo kukemea hadharani ufisadi huo unaoongozwa na Wahindi; potelea mbali hata kama watafukuzwa chamani.

Nimalizie kwa kurudia kusema kwamba CCM kwa wafanyabiashara wa Kihindi, ni sawa na mbwa kwa chatu. Hakika chama hiki kinahitaji kina Nape wengine kujitokeza kukizuia kisiende kikilia kwa chatu; kwani kitamezwa!

Tafakari.

Email: mbwambojohnson@yahoo.com
 
Katika nyakati hizi ambapo CCM kimekamatwa kweli kweli na mafisadi, huwezi kuwa kiongozi wa chama hicho au kuwa mmoja wa wawania uongozi, na kisha ukalivalia njuga suala la ufisadi; halafu usalimike!

Maneno ya hekima sana haya. Ndio maaana nawahurumia ambao bado wana mategemeo na huyu mkuu wa mafisadi ambaye nyinyi mmembatiza jina etimuungwana kuwa atawakomboa Watanzania..
 
Wameacha kuwatumia magwiji wa Ukandarasi na ujenzi wa kizawa kama Tanconsult na Inter-Consult wanawapa tenda Wahindi? Ngoja liwaporomokee kama lile la Kisutu wote wafie humohumo.
 
Back
Top Bottom