Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

DUH! MME WASHTUKIA NAO EEEH! MAANA WANGEKUWA WAZALENDO WANGEKUWA HAWAPELEKI HIZI ELA ZA HAPA KWETU HUKO KWAO,MBONA HAWAJENGI HAPA TANZANIA MAANA WANAJIA LILILO MOYONI MWAO 🙂 TUTACHEKWA SIKUMOJA.

hivi lakini wahindi wanapeleka wapi hela?? ebwana wafukuzwe kariakoo aise wanawaonea walalahoi...ukifuatilia unaweza kuta hata Jeetu alikua bado anaishi Kkoo ili kujificha
 
On the other hand... je wahindi wote wakiondolewa nchini na kwamba tuwe a predominantly black society (whatever that means) ina maana hakutakuwa na rushwa kubwa kubwa na ufisadi utatokomea nchini? Kama kuna ushahidi kuwa hilo litatokea basi kuna haja ya kuwafukuza wahindi wote nchini ili tusiwe na ufisadi tena kwani that is the easiest solution....

Mkuu MMJ na Susuviri,

Heshima mbele, hakuna sababu ya ku-overeact hapa ni taifa na what to do ili tujikomboe kiuchumi, kisiasa, na kisheria, sasa in the process ya kuyachambua matatizo yetu na kutafuta sloution hatuwezi kuacha any jiwe un-turned, sasa kwa kufanya hivyo haimaanishi kuwa tunakuwa wabaguzi au anything, hapana tunajaribu tu kutafuta matatizo yetu na solution,

Yes Wahindi ni one of our problem, binafsi huwa ninasoma sana habari za Hitler, kosa alilofanya ni kuua the Jews, lakini he was very right kuwa-single out as one of the Greater Germany's problem, kama asingewaua aliposhika power, leo kile kitendo chake cha kuwaondoa Jews kingekuwa one of the great celebrated idea kwa taifa lolote linalotaka kuondokana na baadhi ya matatizo yake sugu ya taifa, Hitler aliamini kuwa Jews walikuwa ndio chanzo cha matatizo mengi ya nchi yake rushwa ikiwa mojawapo, ninarudia tena kuwa makosa yake ilikuwa ni kuwaua, lakini angewaondoa tu wala isingekuwa tatizo,

Sasa wakati umefika, na sisi wa-Tanzania kuyaaangalia matatizo yetu kwa kina, walikuja kujenga reli ilishaisha warudi kwao kwa amani. Toka niwe na akili timamu kila rushwa nzito ya taifa inapotajwa lazima kuwe na mhindi involved, ninaomba mnitajie one ishu ambayo mhindi hakuhusika, ilikuwa wabongo watupu?

Hapa naona majaribio ya kutaka kuificha hii ishu kwa maneno mengi ya siasa na shule, no! wakati huu wa kujaribu kutafakari matatizo yetu ya taifa kila jiwe lazima liguswe, hata kama ni kujaribu hizi idea zako mkuu MMJ, so be it lakini hatuwezi kukwepa our national responsibilities kwa visingizio vingi bila kujaribu, hili suala la wahindi na rushwa linajadilika na the fact kwamba wameishi muda mrefu sana kwenye chi yetu, lakini bado ni wageni tu wanaoishi mijini tu nalo pia linajadilika, na kulijadili sio ubaguzi, bali ni kuwa wawazi na wakweli, ikiwa ni pamoja na uchungu kwa taifa letu,

Ninarudia tena yanajadilika, na sio ubaguzi!
 
I accept a lot of comments about Indians written on this thread so. Indians are too powerful, Indian businessmen are corrupt, blah blah blah...all maybe true. But what also maybe true is the fact that Africans are intellectually and mentally inferior to other people. Can Africans accept this? Can Africans accept the fact that they have never invented anything worthwhile? Not a even a wheel? Can Africans accept that there are hundreds if not thousands of languages spoken in Africa and not a single one of those languages is written? Can Africans accept that they fail everywhere not just in East Africa where Indians dominate the economy? Can Africans accept that there is not a single African nation that is stable and prosperous in this world? Can Africans accept that they have the lowest average IQ scores in this world?
 
Mzee Mnkjj nakubaliana na hofu yako:
Kuwalaumu wahindi kwa matatizo ya Tanzania ni kukiri kitu kimoja ambacho naogopa; kuwa sisi ni inferior to anybody else; that we can be swayed, manipulated, used, abused, and misused.. that other people think they can do whatever they want with us and our resources just because we will let them do that..
Kuna mzee mmoja aliniambia kwamba kinachomuuma zaidi katika ishu za 'kula nchi' ni kiwango wanachopata viongozi wetu katika dili hizo. Labda Muasia anaweza kufanya dili mabayo yeye anajua kwamba ataweza kupata sh. billion moja lakini utakuta kiongozi wetu aliyeshiriki katika dili hiyo anapewa labda milion 20, thats all! Kwamba viongozi wetu wanaoiuza nchi yao wanaiuza kwa bei ya kutupa na wengi wao wanabaki maskini.

Lakini pia tunapaswa kujiuliza: Hivi waasia wote wakiondoka ufisadi utaisha hapa tz? It is clearly a big no...
 
Nawafahamu baadhi ya wafanyabiashara watanzania ambao biashara zao ni kuuza vishikizo na nyuzi za kushonea nguo, lakini hawana utajiri kama walionao hawa 'wezi' ambao tunalazimishwa kuwaita wenzetu. Hawawezi kuwa wenzetu kwa sababu wao ndiyo chanzo kikubwa kabisa cha wafanyabiashara wetu kutoendelea hasa ukizingatia wana 'michongo' ya makapuni feki ya nje. Wanawapa rushwa baadhi ya viongozi wetu na hivyo kudidimiza maisha ya wafanyabiashara wa tanzania.

Ninapoongea hivi suala la kuitwa mbaguzi silipingi, hakuna sehemu ambapo ukabila hauonekani, hata ndani ya jamii zetu watu lazima wajiseme wao ni kina nani.

Kama hawa wahindi wangekuwa na nia njema na nchi yetu lazima wangejenga majumba yao hata kama huko mitaa inayoitwa uhindini lakini ajabu wote wanajazana majumba ya msajiri(NHC)


TUKIAMKA, WATALALA
 
Nawashangaa sana watu wanaowakumbatia na kuwaita wenzetu wakati wao hawatutambui kama wenzao na ndo maana hata kuoleana ni nadra sana, watu wanaofanya kazi kwenye institutions zao wanaweza kusema, yaani ni ubaguzi kwenda mbele.Management positions zote wanapeana kwa gharama yoyote hata kama kuna mbongo anayestahili kabisa, bank wanayotumia ni moja Diamond trust bank, kama ni kampuni every tender hata kama ni kununua pencil itaenda wa mhindi, yani mfumo mzima umejengwandani ya circle yao. I dont care kama mtaniita mbaguzi but these people wanatakiwa waangaliwe kwa ukaribu, si wenzetu kama tunavyodhani damn it!
 
I accept a lot of comments about Indians written on this thread so. Indians are too powerful, Indian businessmen are corrupt, blah blah blah...all maybe true. But what also maybe true is the fact that Africans are intellectually and mentally inferior to other people.

Mkuu the ishu at hand hapa ni wahindi, sio Africans, anzisha mada ya africans na iferior intellectualism, ottherwise acha wenye hoja waendelee na hiii topic!
 
Hakuna muasia anayefanya ufisadi wa kutolipa kodi au otherwise bila kuwahusisha akina "Maimuna" Watanzania wenzetu (weusi) walioko kwenye maofisi ya Serikali yaani TRA na mamlaka mbalimbali za serikali!

Nadhani tuanze na hao; waasia watadhibitiwa outmatically.

Hivi hamfahamu kwamba official wapangaji wa NHC pale upanga na Kisutu bado ni wabantu!

Lakini funguo tu ya chumba ili upangishwe sio na NHC bali na mbantu mwenzetu ni sh. millioni 30 hadi 60. sasa nani mbantu atanunua kwa hela hiyo lazima awe muasia.

Mafisadi wakubwa ni maofisa wa serikali kwa kuruhusu ufisadi wakati wakiwa na uwezo wa kuzuia na hawa tumesoma nao, tunafanya mikutano ya harusi nao etc. etc.
 
Yaani kama mtu anaweza kuja nyumbani kwako halafu akukwapulie kilicho chako na wewe unachekelea na kumpigia makofi basi nadhani mwenye tatizo kubwa zaidi ni wewe na siyo yeye, Mkuu The truth has a valid point there.
 
But what also maybe true is the fact that Africans are intellectually and mentally inferior to other people

This is not a fact because you know it is not. Come with facts and put forward your arguments.


Can Africans accept this? Can Africans accept the fact that they have never invented anything worthwhile? Not a even a wheel?

I don't accept this because you must include Asians of African origin. We are discussing about Tanzania.

Can Africans accept that there are hundreds if not thousands of languages spoken in Africa and not a single one of those languages is written?

Again this is baseless and you dont have facts but there a alot of them and because you don't have interest with them , you conlude that there is none of them.

Can Africans accept that they fail everywhere not just in East Africa where Indians dominate the economy?

I do'nt need to tell you who fails them because you have the answer. The day when changes will take place you will be surprised.

Can Africans accept that there is not a single African nation that is stable and prosperous in this world?

Are you serious? have you travelled the world? What about Botswana and Namibia where, you will find Tanzanian engineers and doctors and they live and work there comfortably?

Can Africans accept that they have the lowest average IQ scores in this world?

All I can say here this is an insult because you don't have facts. Anything you have said here, you have been spoonfed by someone, go out and learn something.

Mkuu, I went to school back in those years with my Asian friends (Akil Taheral, Rajar Sing and others) and also the sons of Jai Shankar daladala buses then running from Ubungo to Posta ya zamani back in 1980s. Also there were companies like Ali-Bhai tours and others ambao walikuwa wakichakarika na maisha na walikuwa na decent lives.

These were the real Tanzanians of Asians origin because they were mixing with black Africans and the did their business without problems and they had nothing to fear.

But here today, we are talking about some people within Tanzanians of Asian origin who are there to steal from that country and plunder its resources, and these are the real MAFISADI whose their job is also to cooperate with Mr Chenge type of people, and were are here to try t expose them by any possible means.
 
Hahaha, kazi kwelikweli. kumbe watu wana dukuduku wanalokaaga nalo moyoni, lakini huwa hawana tu nafasi ya kuongea. asilimia kubwa inaelewa namna gani waasia wa kitz wanavyofanya biashara na wanavyoishi na sisi kama wao ndo first class. kumbe ufesti class huo unatokana na kulinyonya taifa letu sisi wenyewe. ni watu wanaoishi katika nchi nyingine kabisa ndani ya tz. they don't feel tzs. solution ni kwamba, tunataka wajue kuwa watz tunalifahamu hilo. kipindi cha nyuma cha ukungu na ukuta tulikuwa tunaogopa kuongea ndio maana pamoja na kwamba walikuwa wanaelewa kuwa tunawafahamu, walikuwa wanajua kuwa hakuna tutakachowafanya. lakini sasa hivi, kuna uamsho umetokea tz, tunawavaa ndugu zetu viongozi wa selikali, sembuse wao wanaojifanyaga sio watz ila wahindi na waarabu? kama tulikuwa na ujasiri kumvaa Lowasa kwa jinsi ya yale manguvu yake aliyokuwaga nayo,chenge,karamagi na wengine, itakuwaje kwenu nyie mafisadi wa kihindi? kwanini ndugu zetu kila siku wanaandamana viwandani mwenu humo kwa mshahara kidogo wakati ni pesa mlizoiba za kodi zao wenyewe?tumewashitukia, na tunaomba mfahamu kuwa, kumekucha. nendeni mkakae vikao upya huko uhindini kwenu. na katu, msianze kuhamisha pesa kupeleka canada na India. thanks.
 
Unajua kilichomkera huyu jamaa mwenye topic yake ni kuwa faida wanayopata hawa magabacholi haika i humu Tanzania, manake kama ni rushwa kwani wanampa nani? Gabacholi, la. yote ndio inayojenga majumba huko na huko Tanzania, Kwa hio it is okay ukila rushwa lakini ukaitumia Tanzania?
 
Yaani kama mtu anaweza kuja nyumbani kwako halafu akukwapulie kilicho chako na wewe unachekelea na kumpigia makofi basi nadhani mwenye tatizo kubwa zaidi ni wewe na siyo yeye, Mkuu The truth has a valid point there.

Amen and hallelujah!!!
 
I dont care kama mtaniita mbaguzi but these people wanatakiwa waangaliwe kwa ukaribu, si wenzetu kama tunavyodhani damn it!

Mkuu heshima mbele, strong point mkuu kwenye hili nina first hand experience, mdogo wangu ambaye sasa ni marehemu aliwahi kum-date msichana wa Kihindi, mkuu wangu mbona ilikuwa patashika maanaake wahindi walikasirika mpaka waliamua kumfukuza shule mdogo wangu manaa ile shule ilikuwa ya wahindi, yaani mkuu ilibidi one day dingi aingie kule shule na kutaka kuwatwanga waalimu mwenyewe kwa mikono yake,

Waalimu wahindi kwa kushirikiana na wazazi wa yule denish wa kihindi wakamuhamishia London, sasa leo ukiniambia kuwa hawa jamaa ni wenzetu ninapigwa na mshangao! Wenzetu wanaishi mijini tu mashambani hawapo? Hatuwaoi? Hatuingiliani kabisa lakini taifa moja? Uhindini ni uhindini, uswahilini ni uswahilini!

Yes it is about time sasa nao tukawa-chek it out!
 
Wahindi wengi ni wahujumu uchumi,hawatupendi na hawana nia njema na sisi.
 
Huenda mapesa wanayovuna ndo wanayotumia kununulia serikali ndo maana hata kashfa ikitajwa kwao huoni wakikamatwa. Nahisi hawa jamaa ni wawezeshaji wa viongozi wetu na ndo hutufanyia maamuzi ya kuchagua viongozi ambao wao wanawataka kwa manufaa yao. Hilo sitaki mtu abishe. Kwani ni watanzania wachache wenye elimu ya kutambua juu ya ufirauni huu. Mpaka mwaka 1997 Tanzania ilikuwa na wanafuzi takribani 21,000 wanaomaliza kidato cha nne. Na mpaka elfu mbili na moja ni karibia wanafunzi 6600 waliokuwa wakimaliza kidato cha sita. Kwa mantiki hiyo utajua ni wangapi waliokuwa wakimaliza elimu ya chuo kikuu.

Mfano wa watu wenye nguvu katika serikali ni ndugu Manji. Mbali na vyombo vya habari kuutaja uovu wake bado amekuwa ni mtu muhimu sana hadi ikulu na huwa anaalikwa kwenye dhifa za kitaifa kula na Rais pale ikulu. Kwa mfano nilikuwa naye tar 10/12/2006 mahala fulani ambapo alidai amechoka sana baada ya kukesha Ikulu kwenye tafrija ya UHURU wa Tanzania tar 9. Na hayo yamefanyika huku akiwa ametawala vyombo vya habari kwa mabaya aliyofanya.

Sijui nikisema hivyo nitaitwa mbaguzi? Lakini huo ndo ukweli wenyewe.
 
Mkuu heshima mbele, strong point mkuu kwenye hili nina first hand experience, mdogo wangu ambaye sasa ni marehemu aliwahi kum-date msichana wa Kihindi, ......Yes it is about time sasa nao tukawa-chek it out!

Wahindi siku zote si wenzetu... ndio maana unakuta muhindi amezaliwa hapa tz (tena kisutu) lakini anaongea kiswahili kwa tabu sana.....then hata michanganyiko ya damu hakuna...then jamaa wana fwedha lakini hawana mali zisizohamishika (kama nyumba) hapa tz!
Wapo mguu ndani mguu nje, hata kama wamezaliwa hapa.
 
Mkuu MMJ na Susuviri,

Heshima mbele, hakuna sababu ya ku-overeact hapa ni taifa na what to do ili tujikomboe kiuchumi, kisiasa, na kisheria, sasa in the process ya kuyachambua matatizo yetu na kutafuta sloution hatuwezi kuacha any jiwe un-turned, sasa kwa kufanya hivyo haimaanishi kuwa tunakuwa wabaguzi au anything, hapana tunajaribu tu kutafuta matatizo yetu na solution,

Yes Wahindi ni one of our problem, binafsi huwa ninasoma sana habari za Hitler, kosa alilofanya ni kuua the Jews, lakini he was very right kuwa-single out as one of the Greater Germany's problem, kama asingewaua aliposhika power, leo kile kitendo chake cha kuwaondoa Jews kingekuwa one of the great celebrated idea kwa taifa lolote linalotaka kuondokana na baadhi ya matatizo yake sugu ya taifa, Hitler aliamini kuwa Jews walikuwa ndio chanzo cha matatizo mengi ya nchi yake rushwa ikiwa mojawapo, ninarudia tena kuwa makosa yake ilikuwa ni kuwaua, lakini angewaondoa tu wala isingekuwa tatizo,

Sasa wakati umefika, na sisi wa-Tanzania kuyaaangalia matatizo yetu kwa kina, walikuja kujenga reli ilishaisha warudi kwao kwa amani. Toka niwe na akili timamu kila rushwa nzito ya taifa inapotajwa lazima kuwe na mhindi involved, ninaomba mnitajie one ishu ambayo mhindi hakuhusika, ilikuwa wabongo watupu?

Hapa naona majaribio ya kutaka kuificha hii ishu kwa maneno mengi ya siasa na shule, no! wakati huu wa kujaribu kutafakari matatizo yetu ya taifa kila jiwe lazima liguswe, hata kama ni kujaribu hizi idea zako mkuu MMJ, so be it lakini hatuwezi kukwepa our national responsibilities kwa visingizio vingi bila kujaribu, hili suala la wahindi na rushwa linajadilika na the fact kwamba wameishi muda mrefu sana kwenye chi yetu, lakini bado ni wageni tu wanaoishi mijini tu nalo pia linajadilika, na kulijadili sio ubaguzi, bali ni kuwa wawazi na wakweli, ikiwa ni pamoja na uchungu kwa taifa letu,

Ninarudia tena yanajadilika, na sio ubaguzi!

Mkuu FEMS,
Kuna kipindi unaandika unanikuna kweli. Some time unanifanya nikimbie Jambo forum kwa muda. Hapa nakupa tano.

Mimi binafsi siwaongelei Wahindi kwa sababu ni wahindi.Nawaongelea kwa sababu wao wanajijua ni wahindi wanaomini hapa sio mahali sahihi pa wao kuishi ila mahali sahihi pa wao kuchuma kwa namna yeyote iwayo. Siwafagilii maafisadi wa namna yeyote,wamasai,wachaga,wasukuma nk.

Chenge anaiba kwa sababu ya tamaa na ujiko.

Patel anaiba kwa sababu kwa sababu anaamini yeye sio mtanzania,yeye anaamini hapa sio kwake, ila kwa sababu anaamini kuwa Tanzania kuna mali nyingi na Watanzania ni wajinga ambao ni rahisi kuwaibia, anatumia fulsa hiyo. Sisi ndo tumebaki tunajing'ang'aniza kwao eti hawa ni wenzetu. Wao wanajua wazi kuwa utanzania wao nikwa ajili ya kuchuma tu.

Wakishaiba vya kutosha then wanakimbilia Uingereza na Canada kuishi.

Atakaye taka kuniita mbaguzi haya, ila nasema kwa kansa hii ya ufisadi bila kuvaana kichwa kichwa na kuwaambia watu we mwizi hatutafika popote.Wahindi hawa ndo wasukaji wa madili yoote.Fuatilia kashfa zote utawakuta tena baadhi ni walewale kila sehemu.Hizo milioni alizopewa Chenge ni "vijisenti" ukilinganisha na alizochukua huyu Mhindi mtanzania "middleman"
 
Unajua kilichomkera huyu jamaa mwenye topic yake ni kuwa faida wanayopata hawa magabacholi haika i humu Tanzania, manake kama ni rushwa kwani wanampa nani? Gabacholi, la. yote ndio inayojenga majumba huko na huko Tanzania, Kwa hio it is okay ukila rushwa lakini ukaitumia Tanzania?

Dont miss the point. Hakuna aliyesema Mtanzania akiiba ni ok.

Tunazungumzia matatizo ya wanafunzi kufeli,unaweza ukamjadili matatizo ya mwalimu, mwanafunzi na wizara husika kwa pamoja ila wote wanamichango yao inayojitegemea katika kufeli huko.
 
Back
Top Bottom