MKUDE WA MGETA
Member
- Sep 10, 2008
- 27
- 0
Nakubaliana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapo sema waasia mnamaanisha wahindi? kwanini msiseme wahindi moja kwa moja. Wahindi wanafahamika dunia nzima na hata Asia kwenyewe wanawajua kwamba jamaa ni noma na mkijilegeza lazima wawatie adabu.
Katika kila dili chafu ya Ufisadi bongo kuna mikono ya Mhindi, sasa waasia wengi na itakuwa kuwaonea wasio kuwa wahindi.
Weusi ni Tatizo kubwa hata wakipata elimu, angalia mijadala humu ndani inayohusu majina ya watu utakuta wachangiaji kibao na threads zinajaa, zungumzia uchumi na biashara na maendeleo uone! Watu weusi wengi wetu tunaroho mbaya, wachoyo na kubaniana ndio maana tumekuwa rahisi kutawaliwa ukilinganisha na jamii nyingine. ubinafsi, ukabila, udini na uchoyo ni sifa kubwa ya mtu mweusi, wahindi wanalijua na wamelitumia kufanya tunachowalalamikia leo. Kabla ya kuwalalamikia waasia tujitazame sisi wenyewe weusi( Ni rahisi sana kuwagawa kwa kutumia dini, rangi, kabila). Niliwahi pendekeza mtafute kitabu kinachoitwa capitalist nigger mtapata tafiti mbalimbali zinazohusu watu weusi zilizofanywa na mwandishi wa kitabu hicho mpate japo picha kidogo ya watu weusi duniani.
Inawezekana waasia ni tabia zao lakini kwetu tunawapa nafasi wenyewe kwa kupenda rushwa, jamaa watakupa na kufanya wanavyotaka. Na wahindi wakipata mali lazima izunguke katika jamii yao, kwa mfano watalobby kupata tenda ya kununua sukari yote kutoka kilombero na itasambazwa kutumia mtandao wa wahindi(maduka ya jumla tu) mswahili atauza rejareja tu.
Usithubutu kutofautiana na JMushi. Anawaka kama kazidisha vikombe. Halafu anachofikiria saa 24 ni Uchagga unaonewa, na kuingia msituni. Tatizo ni kwamba kupigana kutoka misitu ya Columbus, OH itakuwa vigumu kidogo kum depose mtu Magogoni, Dar-es-Salaam. Unless unatumia long range, high-precision, heat-seeking missiles. Ambazo ni gharama kidogo, hasa ukizingatia JMushi anasema bado yuko shule.
JMushi, kabla hujanitumia virtual heat seeking missile kumbuka inawezekana na mimi ni mchaga mwenzio. Unaweza kupunguza idadi ya Wachagga bila kujijua!
(By the way, FM, hilo tundiko lako likifika kwa Wakuu wa Wamisheni Tanzania unaweza "kufungiwa duniani na mbinguni" kwa kutoa shutuma kali. Tuombee wamisheni wawe hawaingii humu.)
ingekuwa elimu bora wasinge kuwa wahalifu wa kalamu wamepata elimu sibora
Kuna tatizo kubwa miongoni mwa sisi weusi.Na kama muonavyo wahindi na waarabu ndio watawala nchi.Weusi ni watumwa wao.Nenda kila pande ya africa utaona hivyo.Waache hao wahindi wafaidi jasho la mweusi-sasa wafanyeje kama weusi wamemelala-Big up wahindi na waarabu.
Na wakina Mgonja wakichota mabilioni ya fedha.Okay,nakubaliana na wazo lako lakini naomba tuwachukie mafisadi wote sio waasia tu.Na 'infact' ningeshauri tuanze kususia business interests zao kuanzia leo.
Naona waasia tunawaonea bure. Kikulacho ki nguoni mwako, haiwezekani waasia watambe wakati wazalendo wapo, ni sisi wenyewe tunaowapa huko kutamba, tunatakiwa kuwashughulikia kwanza hawa wa kwetu then waasia wataacha wenyewe.
Inaelekea hujawaelewa watoa hoja,kilichopo mbele ni waasia waharibifu na wanaojihusisha kuhujumu uchumi kwa kushirikiana na viongozi mafisadi.hao ndio walengwa wa hoja hii,sio kwa rangi yao bali tabia zao.Hakuna haja ya kuwachukia Watanzania wenye asili ya Asia.
Tutarudi kule marehemu Mwalimu Nyerere alikokuwa anasema, kuwa tukisha wamaliza waasia tutaendelea kuwamaliza wapemba, kisha wachaga, kisha wahaya, kisha wanyakyusa, hadi mwishoni ndani ya familia tutakuwa tunauana wenyewe kwa wenyewe.
Hakuna haja ya kuwachukia Watanzania wenye asili ya Asia.
Tutarudi kule marehemu Mwalimu Nyerere alikokuwa anasema, kuwa tukisha wamaliza waasia tutaendelea kuwamaliza wapemba, kisha wachaga, kisha wahaya, kisha wanyakyusa, hadi mwishoni ndani ya familia tutakuwa tunauana wenyewe kwa wenyewe.
ni kweli siasa za nyerere zilichangia kuwaogopesha hivyo kuwafanya wajirundike kwenye flat za kupanga badala ya kujenga..hii ni kutokana na ile land contract ya nyerere ya miaka 99!ya wenzetu wa kenya ilikuwa ni miaka 999 kama sijakosea..so hiyo iliwaencourage wageni kununua ardhi na kuwekeza zaidi kenya!ndio maana kuna wazungu na wahindi wengi zaid huko kenya.lakini hakuna kiongozi yeyote aliyelifanyia kazi suala hili..kwamba wahindi sasa waache kukaa style ya mguu mmoja nje mmoja ndani!akaunti zao nje(hiyo ni hali ya ufisadi),wakizeeka nje(hakuna uzalendo),wako karibu na viongozi na hivyo kufanya wanavyotaka bila kujali maslahi ya nchi.wameshindwa kuassimilate..huwezi kuwakuta kwenye shughuli za kipatriotism kama vile mgambo,polisi,jeshi etc.walikuwa na uwezo wa kuiendeleza hii nchi yetu..hii ni kwasababu wakati mkoloni akiondoka wao ndio walikuwa wanahodhi nafasi zenye kudili na mambo ya fedha kama vile auditors na mambo ya commerce!badala ya kukumbatia siasa za corruption na division..wangesikiliza na kuifanyia kazi sera ya mwalimu ya siasa ni kilimo!hawakufanya hivyo wakajiingiza kwenye siasa za uhujumu uchumi..kuingiza bidhaa feki na kuua viwanda vyetu!bidhaa zilkuwa zikipitishwa njia ya panya kutoka kenya!marehemu sokoine alipambana nao..wanajua hilo!lakini this time we're gonna have to resolve this issue!walidumaza maendeleo ya nchi yetu na bado wanaendelea kufanya hivyo kwa kuwanunua viongozi ambao hawaku qualify kupata nafasi zao..then kuiteketeza nchi yetu na kutusababishia umasikini na ujinga!this one also have to be resolved!na hii ni kwa wahindi wote;kuipenda hii nchi kwa moyo mmoja,na wakizalendo..na kuitumikia nchi yetu kwa moyo wote..hilo itabidi mtuhakikishie!ila kwa kuanzia wale mafisadi washughulikiwe kwanza!
na wakina mgonja wakichota mabilioni ya fedha.okay,nakubaliana na wazo lako lakini naomba tuwachukie mafisadi wote sio waasia tu.na 'infact' ningeshauri tuanze kususia business interests zao kuanzia leo.
hakuna haja ya kuwachukia watanzania wenye asili ya asia.
Tutarudi kule marehemu mwalimu nyerere alikokuwa anasema, kuwa tukisha wamaliza waasia tutaendelea kuwamaliza wapemba, kisha wachaga, kisha wahaya, kisha wanyakyusa, hadi mwishoni ndani ya familia tutakuwa tunauana wenyewe kwa wenyewe.