Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

ndugu, hapa hatupo kwenye ubaguzi wa rangi, na hata hivyo, kama mtu huyo wa rangi ni fisadi, bora abaguliwe. ulishawai kuona wapi muhindi masikini kule kariakoo? unaweza kuwalinganisha na wabongo weusi? hapana,kwenye kazi zao kama ulishawai kufanya ofisini nao, wanaongea kihindi kitupu, hamna lugha ya sisi wabongo kueleweka. wana dili za siri sana. na wanapatiana dili wao kwa wao tu ndio maana wanapendeleana kwa kila kitu. kama ni ubaguzi wao wa kwanza,wahindi ndo wabaguzi wa kwanza. sasa siss weusi tukitaka kuongea, basi kwasababu sisi ndo wengi,tunaambiwa tusiwe wabaguzi.

kama kuna mtu alishawai kufanya ofisi moja na wahindi(mfano kwenye maofisi yao makubwa kule mikocheni,etc). mimi ni lawyer, nilishawai kufanya nao kazi, nilikuwa natengwa, madili yao mengi wanaongea kihindi, kwasababu ukiyajua tu, wamekwisha.

Tumeoa au kuolewa na mataifa mbali mbali je kwa karne ambazo tumeishi na hawa ndugu lini umewaona wakijichanganya na watu wengine, Nani amewahi kushawishiwa aingie jamatini maana dini nyingi zinatafuta wafuasi je huko jamatini kuna nini. Tukiwa wa kweli ndugu zetu ni wabaguzi sana kama ilivyo huko kwao india kwenye Tabaka za kibaguzi.Kwa hiyo mimi siamini kuwa waswahili ndo wabaguzi naamini kuwa wahindi ni wabaguzi na wanajibagua wenyewe.
 
Hawa msiwaonee wahindi na waarabu ,aidha mtakuwa wabaguzi na hakuna lingine inaonekana bado mpo nyuma miaka mingi sana , tunajua tunatoka mbali lakini wengine mnaonekana kuchoka na kuanza kukumbuka mlikotoka ,dunia ya leo inapingana na dhana ya ubaguzi kwa kiasi chochote kile na hii ni aibu kwa Taifa.

Tuna tatizo na sio watu weupe ,wao hawahusiki kabisa ,wengine ukiwachunguza walianza kuuza ubuyu kuna wachina walifika karibuni walikuwa wakiuza njugu hapo kariakoo na sasa wana maduka makubwa kwa ufupi ni waendelezaji wa mitaji yao.

Wengi wa weusi wanaoonekana mijini ni wahamiaji ambao hata elimu yao ni ya kutilia mashaka na wengine hawakusoma kabisa wanakuja na kuvamia miji kwa kutafuta kazi aidha na kujaza miji na wakikosa huwa ni majambazi na kuna mitaa hata mchana huwezi kukatisha katikati watakupora tu na kukukaba.

Watu weupe wanajua kujituma wanajua kutumia wanajua kula na wakubwa hapati hasara kwa kumsaidia mkuu wa polisi au mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya ,ni mwepesi wa kusaidia hivyo hata mambo yake yanashughulikiwa haraka haraka na si watu wa matatizo mengi na wanafuata sheria ,japo anatoa hongo au rushwa lakinii anakuwa mjanja katika kuhakikisha anapatiwa kila kitu kisheria.

Ndio ukaona hao weupe wanakuwa more secure kwa sababu wana vizibiti vilivyokamilika na havina wasiwasi kabisa ,tunawasikia wakisema kwa kila mwenye tatizo basi ajione huru kumpeleka kwenye vyombo vya sheria.Na huko bila ya wasi watashinda maana wamekamilisha kila kitu ,sasa utamfunga vipi mtu huyu kwa chuki zako za ubaguzi na kushindwa kupambana na maisha ,nasema ziki zenu zisiwapeleke kwenye ubaguzi mtaumbuka.

Serikali inauza nyumba ,watu weupe wanafedha yao waliouzia ubuyu wakiikusanya anaenda kununua nyumba ,wewe uliekuwa unaelekea kwenye vilabu vya baa na kuwanywesha watu unakurupuka mbona nyumba wanauziwa watu weupe ,muhindi anajua kuchuma faida ,akiwa anauza cement na anayostock ya mifuko milioni na kila mfuko alionunu uligharimu sh. 55/= kuufikisha dukani kwake basi atauza kila mfuko kwa sh 56/- akijua atapata milioni moja net profit dogo unataka kuuza mfuko mmoja kwa sh 100/- ,Halafu ukiona mhindi anakupita juu kwa juu unapiga makelele. 😀
 
Napenda kuchukua nafasi kuwauliza watanzania wenzangu je tutayumbishwa na hawa wahindi mpaka lini?maana kila kukicha kashfa zote kubwa wao ndio ring leader,na mambo haya hayakuanza leo kama mnakumbuka enzi za CHAVDA katutapeli akakimbia Tanzania katuacha mikono mtupu,sasa kuna Rostam,Andy Chande,Somaia,Manji je nani ambaye anawalinda?natunasikia wengine wametoka huko kwao wamekuja kama wawekezaji bila capital,huu upuuzi utaisha lini?
Chonde chonde Masaihalisi,twende taratibu. Kwanza are you aware kwamba watanzania wenye asili ya kihindi hata elfu hamsini hawafiki? je unafahamu kwamba wapo wahindi wengi tu kwa maelfu ambao ni fukara? je unafahamu kwamba wahindi walio wengi wanahangaika kutafuta mkate wa kila siku kama mimi na wewe? More importantly je unafahamu kwamba hakuna ufisadi ambao umefanywa na mhindi bila kumhusisha mswahili mwenye madaraka aidha serikalini au taasisi ya umma? it takes two to tangle,na kama ni uovu we are as waovu as hao wahindi unaowasema.tusiangalie tulipoangukia tuangalie tulipojikwaa,tuangalie system ya uendeshaji serikali na taasisi zake tuone kama kuna legal frame work ya kutosha kuzuia maovu na tuangalie vyombo vyetu polisi,mahakama,audit,DPP etc kama vina uwezo wa kutosha kulinda mali yetu.Tuangalie kama sheria inaruhusu mfanyakazi wa chini say BOT kukataa amri ya Gavana na akasalimika etc.
 
Nyumba za msajili asilimia 99 wanazimiliki (WAHINDI &WAARABU) wao hapo mjini DSM!!!!

Je nayo hii ni halali au kwa kuwa tuu wananguvu ya pesa kuwahonga watumishi wa umma (NHC, mashirika yote ya serikali yenye nyumba)...

hili naloo vp jamanii? tuendelee kupanga sinza, ubungo, mmala, kimara, kibamba, tegeta, bunju kwa bei juu za kodi na usafiriii????

Walioko huko NHC ni wenzetu.... hakuna wahindi.Labda tuwaulize inakuwaje? Mifano niijuayo mie ni kuwa weusi wenzetu wakipangishwa nyumba NHC, wao " huwauzia" hao waarabu na wahindi, kisha huhamia huko ulikotaja Ubungo, kimara,na kwingineko.Nani wa kulaumu? Nadhani tujilaumu sisi wenyewe kwa kulea rushwa na kuendekeza " njaa" zetu.

Hata hao wahindi wanaolaumiwa kwa ufisadi mkubwa, kama siyo wenzetu wenye dhamana ya nchi kuwakumbatia na kuwaendekeza, wasingepata mwanya wa kujipenyeza kila mahali na kuweka mirija yao mikubwa ya kunyonya kila rasilimali tuliyo nayo na kuwaacha watanzania kwa mamilioni wakibaki maskini wa kutupwa.
 
nimesoma na wahindi primary,majority baada ya kumaliza primary shule ikawa basi,but later on in life almost all of them wako succesfully in life.wahindi live up to their words,wanakopeshana bila hata maandishi,trust in their community iko katika levels unimaginable,matatizo yao humalizwa msikitini-sasa mimi mswahili nyaningabu kweli anaweza kunikopa mtaji bila maandishi? kuna muhindi anaitwa OSAMA,ana yard ya kuuza magari eneo la karume stadium,ni former schoolmate nilimpigia simu kwamba my mum needs a pick up urgently,next thing kamkabidhi mama gari na kamwambia dont worry,mwanao akidondoka bongo tutamaliziana.sasa leo hii mimi nipate deal si lazima nitamtafuta jamaa.
 
tatizo kubwa la watnzania ni tabia ya kulalamika au kulaumu. tabia hii ndio inaruhusu mambo yote hayo. ufisadi ,zuluma na mambo kama hayo hayataisha kama hatutokua na utekelezaji wa hatua za kisheria. mimi naishi Uturuki kwa miaka inayokaribi 20. hapa kila mtu anaweza kufikishwa mahakamani wakati wowote. kama kutakua na tuhuma zozote za msingi dhidi ya huyo mtu. hapa waziri mkuu anahukumiwa ,afisa wa ngazi za juu jeshini vile vile. kwahiyo,kila mtu anaadabu zake. ndio maana wenze tu wanaendelea. polisi wa kitanzania anawatesa na kuwasumbua watanzania wenziwe weusi lakini anaugopa wahindi au wazungu ndani ya tanzania.
hii ni laana amboyo wakati mwengine hujiuliza kwanini nimezaliwa kuwa mtanzania?
wanaiibia serikali mamilioni ya pesa bado wanaendele kuogopewa , lakini wale masiki ambao makosa yao madogo madogo wanaoza majela. ndioa maana mimi nasema sisi watanzania tumelaaniwa. kwasababu hatujui ni utanzania tunaishi kama wadudu. tunapenda wageni wanavyo itumia tanzania kwa maslahi yao. hapa uturuki mtu wa mwanzo kusikilizwa ni raia . na haki za raia wa kituruki zinalindwa dhidi ya mgeni. ndio maana hapa uturuki hata uishimiaka 100 utaendelea kua mgeni tu. hapa hakuna muhindi wala mzungu anaetamba. nina machungu sana .thanks
 
ndugu, hapa hatupo kwenye ubaguzi wa rangi, na hata hivyo, kama mtu huyo wa rangi ni fisadi, bora abaguliwe. ulishawai kuona wapi muhindi masikini kule kariakoo? unaweza kuwalinganisha na wabongo weusi? hapana,kwenye kazi zao kama ulishawai kufanya ofisini nao, wanaongea kihindi kitupu, hamna lugha ya sisi wabongo kueleweka. wana dili za siri sana. na wanapatiana dili wao kwa wao tu ndio maana wanapendeleana kwa kila kitu. kama ni ubaguzi wao wa kwanza,wahindi ndo wabaguzi wa kwanza. sasa siss weusi tukitaka kuongea, basi kwasababu sisi ndo wengi,tunaambiwa tusiwe wabaguzi.

kama kuna mtu alishawai kufanya ofisi moja na wahindi(mfano kwenye maofisi yao makubwa kule mikocheni,etc). mimi ni lawyer, nilishawai kufanya nao kazi, nilikuwa natengwa, madili yao mengi wanaongea kihindi, kwasababu ukiyajua tu, wamekwisha.

Mr. Lawyer, ulitakiwa na wewe ujifunze kihindi hili mambo yawe sawa.

Pili, inaonyesha ulikuwa umeajiriwa na muhindi ulitegemea nini? waongee kibantu wakati ndani ya kampuni yao wao ndo vinara?

Pili, kama wachangiaji hapo juu walivyosema, ni watanzania ndo wanaokumbatia huu ufisadi. Mfano mzuri, ni wizi wa pesa za EPA si wahindi peke yao walioiba unaambiwa ukifuatilia unafika mpaka Ikulu.

Kama hakuna political will katika vita hii ya ufisadi hatufiki popote.

Pili, wengi wa watanzania wametokea kukubali ufisadi kuwa sehemu ya maisha yao kama tukibadilika na kuiweka nchi kwanza, kuwa na nidhamu katika utendaji kazi, tukasoma na kuongeza elimu kwa bidii na kukuza uwazi katika utendaji wa shughuli zetu za kila kisku basi hapo watanzania bila kujali rangi tutafika mbali.

Mwisho Mr. Lawyer, usipende kupanda dhambi ya mtu mmoja kwenye jamii nzima ya huyo mtu. Ebu rejea tamthilia ya 'mbwea na mwanakondoo'.

Tujaribu kukwepa hii dhambi ya kuhukumu jamii badala ya kuhukumu mtu mmoja mmoja kulingana na dhambi anayotenda.

Leo utaanza na wahindi kesho utaenda kwa wachagga, mtondogoo utaishia kwa wakwere.

Shadow.
 
Napenda kuchukua nafasi kuwauliza watanzania wenzangu je tutayumbishwa na hawa wahindi mpaka lini?maana kila kukicha kashfa zote kubwa wao ndio ring leader,na mambo haya hayakuanza leo kama mnakumbuka enzi za CHAVDA katutapeli akakimbia Tanzania katuacha mikono mtupu,sasa kuna Rostam,Andy Chande,Somaia,Manji je nani ambaye anawalinda?natunasikia wengine wametoka huko kwao wamekuja kama wawekezaji bila capital,huu upuuzi utaisha lini?

Hii thread imekaa kibaguzi kuliko ukweli halisi. Kwa nini tunakumbatia dhambi ya kubaguana kwa rangi. MM these sentimental and immotional statement zinaweza kuzalisha maujaji ya kimbari. Huwezi kuhusisha jamii nzima kwa kosa lililotendwa na mmoja wa hao wanajamii.

Pili, kabla ya kutoa hicho kibanzi umeingalia jamii ya kitanzania, wanasiasa wako? je, wako makini au ndo wanaotakiwa kuwajibishwa kwa kutokuimamia utawala wa sheria Tanzania?

MWISHO: mbona tunapotexza mwelekeo....adui yetu ni siasa zenye kujaa impunity na kukumbatia rushwa na si kingine. Mods mimi naona hii thread inatakiwa ifanyiwe marekebisho au kuondolewa kabisa.
 
Nakubaliana na wanaosema thread hii imekaa kibaguzi, ingawa aliyeipost hakuwa pengine na lengo hilo. Lakini kuna ka-ukweli ndani yake, kwamba ingawa hawa ni raia wa Tanzania kama vile wazalendo wengine, lakini hawa (wachache wao) ndiyo mastermind wakubwa ktk matukio makubwa makubwa ya ufisadi hapa nchini.

Na hii tangu historia -- wanaokumbuka baada tu ya uhuru mapema miaka ya 60 Mhindi mmoja alikuwa mastermind wa ufisadi mmoja ulioumhusisha aliyekuwa Waziri wa Kilimo wakati ule, Chief Abdallah Fundikira (sasa marehemu).

Muhindi huyo alishitakiwa na kufungwa, kama nikukumbuka sawasawa. Nadhani Fundikira alipona tu kwa sababu za kisiasa zaidi.

Na tukiangalia majirani zetu, Wahindi ndiyo wamekuwa mastermind wa matukio ya ufisadi makubwa makubwa. Huko Kenya wamemastermind ufisadi wa Goldenberg na Anglo Leasing. Huko Zambia kuna Mhindi mmoja, nadhani jina lake Deepak, amekuwa akisumbua sana safu za viongozi.

Kwa hiyo tunapotaja mambo haya, wengine wanakimbilia eti tunaleta ubaguzi. Ukweli ni ukweli tu -- kutaja ubaguzi ni kujaribu kupotosha mambo tu.
 
....Na inashangaza zaidi kwamba huyu Mtanzania mwenzetu Mhindi hana haja ya kuja hapa kujitetea. Ni sisi wabantu wenyewe tunaifanya hiyo kazi kwa ufanisi mkubwa sana. Na bado wengine wakisema jamaa wamekaa huko wanatafuna tambuu wanatucheeeeka, bado tutadai ni ubaguzi. Mungu ibariki AFRIKA na waaFRIKA wake...!
 
hii mada haina lengo la kibaguzi hapa najaribu kuelezea jinsi hawa wenztu wajiitao watanzania wenye asili ya kiasi jinsi wanavyohusika na ufisadi,kila kukicha kashfa za ufisadi wao ndio vinara,je tutaendelea kuvumialia mpaka lini?kwakua tukisema tunaonekana wabaguzi,tazama nchi za jirani wao ndio wanahusika na wizi,
 
mafisadi, mtachanga kwaajili ya ccm tena? enyi kina rostam na manji and wengine, au mmeshaanza ndo maana kikwete hata hawagusi? dawa yenu inachemka.
 
si mnakumbuka nilisema kwamba tutayumbishwa na wahindi mpaka lini?nikaonekana mbaguzi,sas jana papa waufisadi kaanza kutuyumbisha kwa kutupa hadithi ndefu isiyokuwa na maana,sasa mmeamini hawa watu wenye asili ya asia wanatufanya majuha
 
mmeamini jinsi gani wahindi wanavyotuyumbisha wajaribu kutufanya tuamini kwamba wao ni safi,jana mmeshuhudia papa akitoa ushuhuda wake kwenye TBC,
 
Neno UBAGUZI lina maana gani ? ni wapi ambapo wahindi wanachangamana na waswahili achilia mbali kwenye kubebewa mizigo na kuwaendesha watoto ama wake zao,Labda wenzangu mnakuwa nao kwenye vijiwe vyenu au mnakwenda kwenye vijiwe vyao bila matatizo yoyote...
 
Members, let us ask ourselves some questions.What if Mengi had declared that the fisadis (as known to him) were of another race?would this thread have been created targeting the wahindis?

By virture of a 'declaration'let us ask ourselves objectively, what has the system done to tackle the known and declared fisadis in all if not most legal institutions?examples range from Mahalu,Chenge etc etc.How do we rank and or justify their standings in the society?Why the prejudice?

Any human being or rather all those known have the colour red blood in their veins,so why differentiate the race or even if there are a few rotten tomatoes than why blame a community at large?

Some of the asians are here for the past four to five generations,who came to build the railways so they did not 'drop'in from another planet.Many of them have todate given immense support to the country through initiating literacy schemes during the independance years.Some are currently equally struggling to survive like all the others as well.So do we also categorise them along those rotten tomatoes too?

Even we take a fact that yes the 'declared' group are fisadi's than were is the loyality and dedication of per se 'owners' of the land in not taking appropriate actions?It is as good as putting (as I have stated in this forum before) the cart infront of the horse!

This thread does not reflect an objective approach as all citizens have their rights and racism is not an ideal approach in comprehending OUR problems and not a particular race.
 
Neno UBAGUZI lina maana gani ? ni wapi ambapo wahindi wanachangamana na waswahili achilia mbali kwenye kubebewa mizigo na kuwaendesha watoto ama wake zao,Labda wenzangu mnakuwa nao kwenye vijiwe vyenu au mnakwenda kwenye vijiwe vyao bila matatizo yoyote...

so ili kusiwe na ubaguzi unataka uende kwenye vijiwe vyao na kuchangamana nao?
Swali lako ni jibu.
 
Mwizi mwizi tu.Hii dhana ya ubaguzi ni strategy ya kugeuza kibao, badala ya kuwaona wahindi wanatuibia, tuone kama wanabaguliwa sababu ya rangi. Nimewahi kufanya kazi kwa wahindi kwahiyo nawajua sana, hawafai.Wao wanaongoza kwa ubaguzi. Angalieni ajira za wenzangu na mimi kwa wahindi. Utachoka mana wanatudhulumu kweli.
Dawa yao hawa ni siku moja wezi wote wale wanaotuibia kila kukicha wachapwe viboko wakiwa wanaenda na kutoka keko, pamoja na vibaraka wao wote ambao wanawasaidia kuihujumu nchi hii. Hizi hadhiti za ufisadi zimechosha na mimi binafsi zinanikera mana there is no end in sight.Tutafikiria lini kuhusu maendeleo kama kila siku ni kutumia resources zetu ndogo kuhangaishana na watu wasiozidi hata ishirini? Tumekuwa wanyonge kiasi hicho?
 
Wana JF,
Mwanzo nilikuwa nasuport sana kuwachoma Wahindi bila ya kuwaangalia usoni na bila ya kujali mtaniita mbaguzi. Baada ya kipindi kirefu nikaja kuambiwa uhuni unaotumika Tanzania kuibia nchi ile na kwa nini wanatumika Wahindi. Wahindi ni rahisi kumess na kukimbia au kufukuzwa nje ya nchi ili waondoke na siri zote. Hapo nilianza kuwachukia wanasiasa kwa nguvu zote.

Kabla sijaanza hitimisho, ngoja kwanza niseme jambo moja. Wakati mwingine inatakiwa upande hindi moja ili baadaye hindi hilo lilete mengine 100. Nafikiri hili Hitler alifanikiwa kulifanya. Wageruman wamefaidika sana na unyama wa Hitler. Utake usitake huo ndiyo ukweli. Kabla ya vita walikuwa goigoi sana ila vita kuisha wakawa juu sana. Viwanda vya silaha vikageuzwa kuwa vya kutengeneza vitu tofauti au magari. Makampuni kama BMW, VW, walifaidika sana na wafanyakazi wa bei chee na wanasayansi. Vita ilipokwisha wakawa na ufundi wa hali ya juu ambao wameendelea kuutumia hadi leo hii. Vijana wao wamejifunza kupigana hadi mtu wa mwisho. Utashangaa hata kwenye mpira, washenzi hawa hupigana hadi dakika ya mwisho. Kama kuna kitu kikubwa Hitler aliwaachia hawa jamaa ni URAIA.


Kama unakaa na kusema eti mbona Wabantu ndiyo wako serikalini basi KALAGA BAHO. Mie baada ya kusoma maelezo hapo chini, nimegundua kuwa kumbe serikali yetu imewekwa na WAHINDI/WAARABU. Ni kuwa wao ndiyo wanatutawala na watu wao hapo chini wamewekwa tu kama remote control.

Mwanakijiji, hivi umesahau kuwa wote walioko serikalini wanamfanyia kazi JK?

  1. Rostam sidhani kama anahitaji watu wa usalama wawe kwenye pay roll yake ili awe mbabe kwa waTZ. Anaye bosi wao yaani JK na as long as JK yupo madarakani na anaendelea kumkingia kifua ataendelea kututukana anavyotaka.
  2. Juzi ulisahau kuwa TZ sio kama US, UK, SA n.k. ambapo kwenye nchi zao mtu kama DPP hamuogopi yeyote including mkuu wa nchi na hivyo nguvu zake ni halisi. TZ kwetu ni tofauti kwani hawa wote DPP, Usalama, Takukuru n.k., ugali wao humtegemea mkuu wa nchi na kwa hiyo wanafanya tu yale anayotaka JK, iwe ni kwa kulazimishwa au kwa ufahamu wao juu ya mahusiano ya wahusika na mkuu wao wa kazi, JK. Hata Kenya ni nafuu kuliko TZ. Wakienda mahakamani watawakuta wale majaji wa JK, akiwemo yule partner wa Masha.
  3. Kwenye nchi yoyote ile, mtu mashuhuri kama Mengi anapoongelea mambo nyeti huwa anasikilizwa na hatua kuchukuliwa kufuatilia aliyosema. Je serikali yetu ya TZ imefanya nini? Badala ya kuanzisha uchunguzi, JK kamtuma Simba (otherwise angemfukuza kazi keshoyake), kumchafua Whisttle blower - Mengi. Je hii inaashiria nini msimamo wa JK juu ya hawa wahujumu wa nchi?
  4. Hii ni mara ya kwanza TZ kuona wazi mkuu wa nchi na baraza lake la mawaziri likiwakumbatia wahujumu wa uchumi hadharani. Nasema hadharani kwani sidhani kuwa JK hajui madhambi ya RA na hao gabacholi wengine. Je hii ndiyo Nguvu Mpya na Kasi Mpya?
  5. Watu kama Cheyo, Dr. Rashid na wengineo wa aina yao, ni tamaa na ukosefu wa uzalendo vilivyowaingiza kwenye hii list ya mafisadi. Lakini ukweli ni kuwa mafisadi hasa hapa ni wale aliotaja Mengi. Wao walitongozwa tu na akina Jeetu n.k. wakawasaidia kuiibia nchi mabilioni na wao kuumbulia 'vijisenti' ukilinganisha na ambazo akina Jeetu walizowaibiwa waTZ. Hawa adhabu yao inapaswa kuwa kubwa sana ili wengine wasije kufanya waliyofanya ingawa kuwa wao pia ni mashahidi wazuri sana kwenye kuwanasa hawa mapapa.
JF na Magazeti inapaswa tuanze kumvaa JK moja kwa moja na kumuunganisha na hawa waungwana wake, akina RA n.k. mpaka pale atakapoamua kuwashughulikia kitu ambacho ni sawa na kujishughulikia yeye mwenyewe. Otherwise waungwana watatunyonya na kuishia Canada, UK n.k. kama historia inavyonukuu.


JK ndie anayeimaliza nchi kwa kuwakingia kifua hawa wahujumu wa nchi, kwa kuvifanya vyombo vingine vya dola kuwa na ganzi.
 
Last edited:
Members, let us ask ourselves some questions.What if Mengi had declared that the fisadis (as known to him) were of another race?would this thread have been created targeting the wahindis?

By virture of a 'declaration'let us ask ourselves objectively, what has the system done to tackle the known and declared fisadis in all if not most legal institutions?examples range from Mahalu,Chenge etc etc.How do we rank and or justify their standings in the society?Why the prejudice?

Any human being or rather all those known have the colour red blood in their veins,so why differentiate the race or even if there are a few rotten tomatoes than why blame a community at large?

Some of the asians are here for the past four to five generations,who came to build the railways so they did not 'drop'in from another planet.Many of them have todate given immense support to the country through initiating literacy schemes during the independance years.Some are currently equally struggling to survive like all the others as well.So do we also categorise them along those rotten tomatoes too?

Even we take a fact that yes the 'declared' group are fisadi's than were is the loyality and dedication of per se 'owners' of the land in not taking appropriate actions?It is as good as putting (as I have stated in this forum before) the cart infront of the horse!

This thread does not reflect an objective approach as all citizens have their rights and racism is not an ideal approach in comprehending OUR problems and not a particular race.
Ungejaribu basi hata kuandika maneno machache kwa kiswahili mshkaji, ....Duh! Why not be like Prof. Shivji?
Pole sana!
 
Back
Top Bottom