Role of Indians in the Tanzanian Economy

Role of Indians in the Tanzanian Economy

Sikonge. Wewe ni bigot na racist. Watu wenye mawazo kama wewe ni kidonda katika jamii yetu. Yaani kweli unatamani vita vya rangi ili ukawachome wahindi? Wahindi ambao hata nusu milioni hawafiki katika jamii ya watu zaidi ya milioni 35? How pathetic can you get? Hauna tofauti na wakina David Dukes, Enoch Powell na wengine. Tofauti yenu ni rangi lakini chuki inayowatawala ni ile ile.

Kama nilivyosema awali, usijidanganye kuwa unawakilisha mawazo ya watanzania wote.

Amandla.........
 
Leo mmeanza kwa wahindi, kesho mtaenda kwa wachagga.Dhambi ya ubaguzi haina mwisho. Kama kuna ufisadi katika wahindi (kama kulivyo na ufisadi kwa weusi na wazungu) tuuseme ufisadi huu, na wala si kabila au ethnicity ya mtu.

Nauliza wahindi anayewawezesha nani? Kuna wahindi wangapi kwenye wizara zetu? Ardhi? kwenye benki za serikali? Shirika la Nyumba?

Mbona tunawasema wahindi tu na hawa wanaowawezesha hatuwasemi?

Fisadi ni fisadi tu, hata awe m-Klingo.
Tunatakiwa kuzingatia hiyo kauli sio?! Bara-bara!
Utakubaliana nami basi kwamba Muhindi* aliyejibagua anafanya dhambi ambayo haitakoma.
Mkuu Fernandes. Wasikubabaishe hao wakina Sikonge. Ni bigots ambao hawana hata aibu kumsifia Hitler! Hana anachokuzidi. Wewe, yeye,, mimi, sisi sote ni watanzania. Hakuna mwenye haki zaidi au pungufu ya mwengine. Hata usingekuwa muajiriwa. hata ungekuwa huna kazi au bilionea. Wewe ni mtanzania na hakuna wa kukuondolea hilo! Jivunie ulikotoka kama vile sote tunavyojivunia bila kusahau kinachotuunganisha.

Wakina Sikonge hawatusemei wamatumbi wote. Si leo, si jana wala si kesho kutwa!

Amandla.......
Fundi Mchundo anaonekana kujivunia na kuwa na sense of belonging kwenye ardhi hii. Ila anadhani kila mtu yuko hivyo.

Integration unapohamia kwenye taifa lingine ni kitu cha muhimu mno, maana binadamu ana hulka ya kubagua. Nchi za Europe wanafanya jitihada kubwa kuhakikisha wahamiaji wana blend in kwenye society zao. Wapo watu wenye asili ya mataifa mengine hapa Tanzania ambao ukikutana nao na kuona behaviours zao, it will take you 4 seconds to determine that this person is one of us!
 
Ndugu zangu, tuache malumbano yasiyokuwa na maana. mafisadi ni wengi na sio wahindi tu. Kitu cha kuchangaza je serikali yetu iko wapi? iko likizo? hakuna wa kumkemea mwingine. Kila kitu kinakwenda mzobe mzobe. Je waliokula mabilioni ya wafadhili -Ministry of Natural Resources nao pia ni wahindi - Tunaimba wa wimbo wa Good Governance - Good governance - kiko wapiiiii? - I need your assistance in attaching the donor report (it is in PDF) - mtalia machozi ......... Watanzania tunaliwa left right, top and bottom ....
 
Ndugu zangu, tuache malumbano yasiyokuwa na maana. mafisadi ni wengi na sio wahindi tu. Kitu cha kuchangaza je serikali yetu iko wapi? iko likizo? hakuna wa kumkemea mwingine. Kila kitu kinakwenda mzobe mzobe. Je waliokula mabilioni ya wafadhili -Ministry of Natural Resources nao pia ni wahindi - Tunaimba wa wimbo wa Good Governance - Good governance - kiko wapiiiii? - I need your assistance in attaching the donor report (it is in PDF) - mtalia machozi ......... Watanzania tunaliwa left right, top and bottom ....

Kwanini manasingizia wahindi wakati tatizo ni la kwetu kwa maana ya watanzania kwa ujumla wetu kupitia uongozi mbaya?
Uchambuzi gani huu,tunarudi kulekule.Ukizidiwa kubali umezidiwa nawe tafuta mbinu.Wahindi ni smart kuliko sisi kwasababu wanatutumia sisi wenyewe!They have studied us for centuries and they know us proper.For now lazima wachote hii mali maana wenyewe mali bado tumelala.Sasa wafanyeje wakati wenye mali wamelala?
 
Wajameni - bado hatujalia kilio? ile document hii hapa. Please search the Anti-Corruption resource Centre - U4 Publications - halafu angali document titled 'DOES AID WORK? REFLECTIONS ON A NATURAL RESOURCES PROGRAMME IN TANZANIA - HALAFU WANAJAMII MTOE MAWAZO YENU - hapo hakuna kabila - ni kula tuuuuuuuu!!!!!!
 
Dear Kyakya,

Kweli ikatokea vuuupaaa uchaguzi wa 2010 anasimamishwa Salim Ahamed Salim na Jakaya Kikweti Mungu naaapa nampigia Salim Ahamed Salim.

Me nawambia kwa wale waliofanya au wanafanya kazi na wahindi kweli utajua wabaya au sio wabaya naona wengine wanajifanya kuwatetea jaribuni kuwasogerea mwone me nasema sio watu wazuli wako pale kujinufaisha wao na wengi wao nawambieni wana uraia mara mbili TZ na UK, or TZ na Canada mkae mkijua ivyo na pesa nyingi wameweka nje ya nchi sana sana Middle East.
HEBU TUJIULIZE YAFUATAYO:
1:kama kweli hao wahindi ni watanzania wa kweli kwanini wanawaleta wahindi tokea
India kuja fanya kazi ambazo mtanzania wa kawaida anafanya. eg kwenye tourist
Industry utakuta wahindi wamejaa hata post ya stores manager inahitaji Mhindi toka
India?
2: Hao wahindi wanaoingia ndani ya nchi yetu ni kweli wapoingia waliomba hizo kazi
wanazo fanya tokea huko waliko toka India? kumbukeni pale KIA,DIA,na
JOMOKENYATTA AIR PORT hawa wahindi huonyesha passport zao na vibari vyao
wanakuja fanya nini humu inchi? waweza kuta ati amekuja kama mfanyabiashara
piteni huko kwenye maviwanda na ma hotelini utamkuta ni Financial Controller,
General Manager kwenye Lodge au Hotel. kweli izo post hakuna watanzania
wanaweza miliki??
3: Kama kweli hawa wahindi wanao jiita watanzania na wamemiliki mahotel na mabank na viwanda wanawaleta hao wahindi tokea India wanapewa mahitaji yote mfanyakazi anastahiri pewa mfano:
General Manager (Mhindi) napewa Gari,Nyumba nzuri, Hospital anenda Agha
Khan,Mtoto anasomeshea na mshahara wake analipwa in $ (Dollas na si chini
ya $3000)
Financial Controller (Mhindi) napewa Gari,Nyumba nzuri, Hospital anenda Agha
Khan,Mtoto anasomeshea na mshahara wake analipwa in $ (Dollas na si chini
ya $3000)
Store Manager (Mhindi) napewa Gari,Nyumba nzuri, Hospital anenda Agha
Khan,Mtoto anasomeshea na mshahara wake analipwa in $ (Dollas na si chini
ya $2500)
Maintanence Engineer (Mtanzania) Hana Gari, Nyumba anakaa ya kupanga, Hospital
anenda Muhimbili au Bugando au Mount Meru anatibiwa yeye tu nasio familia
yake,Mtoto haasomeshewi na mshahara wake analipwa in Tsh (Gross
699000/Tsh) ikikatwakatwa na apoee ile take home ni Tsh 500000.

Niambiaeni sasa kama kweli hao ndio wahindi wanaojiita ati ni watanzania huku wame wajaza wahindi tokea india nao wanajiita watanzania lets be serious jamani narudia tena kaeeni na wahindi mta wajua vyema kama navyo wajua. they dont give a Dammmn about us, real Black Tanzanian..

Wake up you Tanzanian
 
Ndugu zangu, tuache malumbano yasiyokuwa na maana. mafisadi ni wengi na sio wahindi tu. Kitu cha kuchangaza je serikali yetu iko wapi? iko likizo? hakuna wa kumkemea mwingine. Kila kitu kinakwenda mzobe mzobe. Je waliokula mabilioni ya wafadhili -Ministry of Natural Resources nao pia ni wahindi - Tunaimba wa wimbo wa Good Governance - Good governance - kiko wapiiiii? - I need your assistance in attaching the donor report (it is in PDF) - mtalia machozi ......... Watanzania tunaliwa left right, top and bottom ....

ndugu yangu weweee...hii nchi HAINA SERIKALI...hata kama ipo inajuwa yenyewe ilipo na inafanya nini inajuwa yenyeweee....hapa tanzania nashangaa zaidi linapokuja suala la hawa usalama wa taifa a.k.a mashushushu wanafanya nini hata sijui...

ingekuwa ni hapo russia na KGB yao...hawa wahindi wachahche na watanzania waliokosa uzalendo na mapenzi mema kwa taifa wangekuwa wanapumulia futi kadhaa chini ya ardhi...KILL 'EM ALL..na pia nahisi hatuna kiongozi mkuu aliyepitia darasani na kusoma historia za maendeleo ya nchi kama marafiki zetu wachina ..na walifanya nini na mpaka leo wanawafanya nini hawa wanaofanya ufisadi na ulaji rushwa...

hitimisho...MATATIZO TULIYONAYO HAPA NCHINI LEO NI MATOKEO YA UONGOZI LEGELEGE NA USIOJUWA UNAFANYA NINI , USIOSIKIA WANANCHI WAKE WANATAKA NINI, NA HASA WANANCHI WAKE WAZAWA WALIO WENGI KWA ASILIMIA ZAIDI YA 97.....wahindi sio wote wachafu...wapo kibao tu hawataki kumsikia rostam wala manji wala jeetu patel...nao wanatamani wauliwe fasts kama sie watanzania wengine tunavyotamani.....PERIOD...

Huu ni msimamo wangu na sio maoni wala mapendekezo...sitofurahi serikali hii iliyopo madarakani kutumia msimamo wangu kuongoza nchi hii takatifu iloangukia katikati ya mashetani na majizi sugu yanayobaka haki na rasilimali za wastaarabu na wakimya sana raia wazawa wa tanzania.
 
You guys, give the Indians a break.

Hawa wahindi ni watu wa kawaida. Vijidhambi mnavyowatuhumu wanafanya pia wazungu, waarabu na makibila yanayodhani yamesoma sana kama wahaya na wachagga.

Kama unaogopa wahindi ni kwasababu ya inferiority complex na ujinga wako mwenyewe.

Wahindi wengi are very hard working and ambitious. They are go-getters. Wakiona mwanya wanau-exploit fully.

Marekani, Uingereza, Canada na nchi zingine zilizoendelea wahindi wengi ni madukawalla na madreva taxi. Lakini hata Silicon Valley, Wall street na kwenye corporate world kwa ujumla wanaonesha umahiri wao.

Dubai wahindi wengi ni madukawalla, dereva taxi, wafagiaji na makuli kwenye site za ujenzi.

India iko mbali sana kimaendeleo japo asilimia kubwa sana ya wananchi ni mafukara wa kutupwa kuliko hata sisi.

Ni huku Afrika tu ndo tunawaogopa kwa sababu ya ujinga wetu. Wajinga ndo walawitiwao. Waafrika tunalawitiwa na wahindi kwasababu sisi ni wajinga, si kwasababu wahindi ni wabaya.

Kinachofanyika nchini ni wajanja (wakiwemo wahindi, waarabu, wabulushi, waswahili, wachagga, wahaya na wengine) wanawalawiti wajinga (ambao unfortunately wengi ni waafrika weusi lakini watu wa makabila na asilia zote wapo humu kwa kiasi kidogo).

Point: Wajinga ndo walawitiwao.
 
Some of the richest people in this world are Indians. Some of the poorest people in this world are also Indians.

Go figure.
 
Sikonge. Wewe ni bigot na racist. Watu wenye mawazo kama wewe ni kidonda katika jamii yetu. Yaani kweli unatamani vita vya rangi ili ukawachome wahindi? Wahindi ambao hata nusu milioni hawafiki katika jamii ya watu zaidi ya milioni 35? How pathetic can you get? Hauna tofauti na wakina David Dukes, Enoch Powell na wengine. Tofauti yenu ni rangi lakini chuki inayowatawala ni ile ile.

Kama nilivyosema awali, usijidanganye kuwa unawakilisha mawazo ya watanzania wote.

Amandla.........

FM,

Call me anyway you want. I know who i'am more than you know me.
Nimekaa Ulaya na kutemewa mate, kupigwa na kutukanywa na kunyanyaswa na SKINHEAD na sikufanya lolote lile baya. Enzi hizo kama mwanafunzi sikuchukua ajira, sijaiba hela zao, sijachagua kiongozi wao, sijatorosha hela zao nk.

Leo hii uko kwenu, anakuja Mhindi/Mu-iran na kutuwekea Viongozi wote wa juu sehemu zote nyeti watu wake watakaomuwezesha yeye kuiba hela zatu na za watoto/wajukuu zetu na wee unawachekea? Pole sana FM. Watu kama nyinyi mnaifanya Africa kuenda POLEPOLE milele na milele maana kila kitu eti mapenzi ya Mungu, Racist na upupu mwingine. Unapigwa shavu moja, unageuza la pili. Mie sigeuzi. Wewe na wenzio wageuzieni tu Wahindi mashavu yenu, shoto kulia, shoto kulia ......

Dunia hii ukitaka uendelee, lazima utembeze UTEMI kwa Panya wote wanaokula vyetu, wote wanaowasaidiwa na wale waliowekwa pale kuwasaidia. Hapa nina maana MIPINGO wote waliowekwa na RA/Lowassa madarakani. Ukianza kusafisha lazima uanze na wahindi, Muiran, Lowassa, Mkapa, Mramba, nk kama listi inavyoonyesha hapa chini.

Sasa basi maadamu wakuhukumu ni hadi MIPINGO, naomba unitafutie jina jingine maana RACIST anauwa watu wa race nyingine tu na maadamu ntahukumu hadi weusi wenzangu, UTANIITAJE?

FM, TAnzania si Mabwege tena. Tutajua tu Mhindi yupi aende na maji na yupi tumwache.
Kama wee ndiyo RA mwenyewe, pole sana. Sina njia ya kukusaidia. Niite RACIST ila ujuwe wewe na watu wako (Wahindi, Mipingo, Waarabu, Wazungu nk ) mmeiba vya kutosha. Sasa TUNAWAGAMBIRA ENOUGH. KEKO INAITA.
 
Last edited:
Ngoja kwa watu kama FM, niwawekee hii listi ya Mipingo Vibaraka waliowekwa na RA/Wahindi na ndipo ajue Tanzania hadi leo hii imeshikwa na RA/Wahindi. Ukiisoma tena na tena, endelea kuniita RACIST. Ila siku nchi ikiwa safi, kuna haja ya watu kama nyie kuwachukua na kuwatandika bakora ili somo la URAIA liwaangie akili mwenu. Mjue kupenda chenu, kuheshimu chenu na KUKIPIGANIA CHENU. Tutaendelea kuwa Vilaza kwa watu NEUTRAL na msimamo wa kinyonge kama nyie. AMKENI MPIGANIE CHENU.

________________________________________________________


Yawezekana ili kuweza kuelewa nguvu za RA ni lazima tuchore jedwali moja hivi na kujaribu kuweka ndani yake watu ambao wanahusiana au wamehusiana moja kwa moja na RA na sasa watu hao wako madarakani au kwenye nafasi fulani za maamuzi.

a. Wale aliowafadhili na kuwasaidia kushika au kudumisha nafasi za kisiasa.

MATOKEO:
1. Jakaya M. Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
2.Benno Malisa - (a) - Makamu Mwenyekiti- TAIFA, UVCCM
3.Sofia Simba - (a) - Mwenyekiti Taifa- UWT(CCM)
4. Prof. Juma Kapuya - Waziri wa Kazi & Maendeleo ya Vijana (Mbunge Urambo Magharibi)
5. Adam Malima - (a) - Naibu Waziri, NISHATI NA MADINI (Mbunge, Mkuranga)
6. Emmanuel Nchimbi, alikuwa Mwenyekiti wa Vijana, sasa Naibu Waziri Ulinzi
7. Dr. Peter Kafumu, aliacha kugombea Ubunge Igunga kumpisha Rostam, sasa Kamishna wa Madini
8.
9. Abdulaziz - RC.
10. Lukuvi - RC.
11.J Mongella - DC.
12. Membe - Ubunge, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje
13.Mzindakaya - Ubunge.
14.Nyami - Ubunge.
15.Sita - Ubunge & U-spika.
16.Mahanga - Ubunge.
17. Guninita - CCM Mkoa.
14. Kamala - Ubunge.
15. Marmo - Ubunge.
16. PETER SELUKAMBA (a) Mbunge Kigoma Mjini
17. SIRAJU KABOYONGA (a) Mbunge Tabora Mjini
18. John Mwakipesile--RC Mbeya--[a]
19. Yusuf Makamba--Mbunge na Katibu Mkuu CCM [a]

b. Wale ambao wamewahi kuwa watumishi wake kwenye Vodacom.

MATOKEO:
1.Pius Msekwa - Vodacom B. - Makamu wa Mwenyekiti CCM (Bara)
2. William Ngeleja - Vodacom - Waziri wa Nishati na Madini
3. Dr. Idris Rashid (Vodacom) - Mkurugenzi Mtendaji Tanesco

c. Wale ambao wametumika kwenye vyombo vyake vya habari

MATOKEO
- Badra Masoud, Afisa Mawasiliano Tanesco, alikuwa Mhariri HCL
- Salva Rweyemamu, Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu, alikuwa Mhariri HCL
-

d. Wale wenye ushirikiano wa kibiashara.

Bila kuweka maelezo mengi, linatajwa
Jina (Salva Rweyemamu);
kundi lake (c)
na nafasi yake ya sasa (Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais).

Baada ya hapo tutachora majedwali ya watu wengine wawili halafu tutaona hiyo picha inayotokea inatuonesha nini. Yawezekana kuna kitu ambacho tumekimiss kwa muda mrefu juu ya RA na nadharia niliyonayo yaweza kuthibitika kisayansi juu ya "asili ya nguvu yake".

 
Rejea kichwa cha habari juu hapo kwa makini na tafakuli ya hali ya juu sana jitahidi kujadili mada si kwa chuki ila kwa lengo la kutawa kuondoa ukoloni mambo leo ukiangalia tangu mkoloni yupo wahindi ndio walikua wafanyabiashara kubwa ktk nchi yetu tena wengine hata kushika nyadhifa kubwa ktk serikali ndio matokeo yake leo kwa kua wageni wameingizwa ktk serikali basi wanajua jinsi gani waweza kula la vipofu ambao ndio sisi wazawa mipango yote ya kuhujumu nchi inapangwa na wasio wazawa ukiangalia SUBASH PATEL ana maskendoo kibwena lkn serikal kwa kua ni ndio wafadhli wao ktk kampeni za uchaguzi wa chama cha majambazi hawana ubavu wa kumshtaki au kumchukulia hatua mtu yoyote yule cha msngi sisi wazawa wenyewe tukubali mabadiliko hata kama kufa tuwe tayari kwa ajili ya vizaz vyetu vijavyo leo wakwepa ushuru mkubwa TRA wahindi lkn kwakua wamewashila MADIRECTOR na vigogo kuwapa share ktk makapuni yao hakuna wa kuwasumbua ndio maana leo mtu anapewa msamaha wakodi kuingiza magari ya kifahari mpaka 100 je tutafika hivi ? ikiwa sis wazawa hatupati chance kama hizo tunaendelea lini?mikopo mikubwa yote wanapewa wao makabachor mpk makampun yao wanaagiza wafanyakazi kutoka india kwa wingi je wanazawa watafanya kazi wapi nyie migration mnaotoa working permit kweli mnawathamini watanzania wenzenu vipi ajira zitaongezeka ikiwa kazi ambazo zinafanywa na watanzania wanaletwa wahindi tena hawana elim yoyote serikali iko wapi hapa kama si rushwa na ufisadi na kuogopa watakosa pesa za kampeni naenda katembee makampuni makubwa ya wahindi ndo utajua hilo. ndio maana Idd amin aliwatimua uganda wakaja tanzania tukawapokea kwa mikono yote roho inauma sana lkn hatuna jinsi waliokula pesa za EPA wote wahindi na aliyetoa mchongo ni hao hao wahindi ikifika uchaguzi kila duka la mhindi wanchangishana pesa kuwapa chama cha majambazi.
 
Rejea kichwa cha habari juu hapo kwa makini na tafakuli ya hali ya juu sana jitahidi kujadili mada si kwa chuki ila kwa lengo la kutawa kuondoa ukoloni mambo leo ukiangalia tangu mkoloni yupo wahindi ndio walikua wafanyabiashara kubwa ktk nchi yetu tena wengine hata kushika nyadhifa kubwa ktk serikali ndio matokeo yake leo kwa kua wageni wameingizwa ktk serikali basi wanajua jinsi gani waweza kula la vipofu ambao ndio sisi wazawa mipango yote ya kuhujumu nchi inapangwa na wasio wazawa ukiangalia SUBASH PATEL ana maskendoo kibwena lkn serikal kwa kua ni ndio wafadhli wao ktk kampeni za uchaguzi wa chama cha majambazi hawana ubavu wa kumshtaki au kumchukulia hatua mtu yoyote yule cha msngi sisi wazawa wenyewe tukubali mabadiliko hata kama kufa tuwe tayari kwa ajili ya vizaz vyetu vijavyo leo wakwepa ushuru mkubwa TRA wahindi lkn kwakua wamewashila MADIRECTOR na vigogo kuwapa share ktk makapuni yao hakuna wa kuwasumbua ndio maana leo mtu anapewa msamaha wakodi kuingiza magari ya kifahari mpaka 100 je tutafika hivi ? ikiwa sis wazawa hatupati chance kama hizo tunaendelea lini?mikopo mikubwa yote wanapewa wao makabachor mpk makampun yao wanaagiza wafanyakazi kutoka india kwa wingi je wanazawa watafanya kazi wapi nyie migration mnaotoa working permit kweli mnawathamini watanzania wenzenu vipi ajira zitaongezeka ikiwa kazi ambazo zinafanywa na watanzania wanaletwa wahindi tena hawana elim yoyote serikali iko wapi hapa kama si rushwa na ufisadi na kuogopa watakosa pesa za kampeni naenda katembee makampuni makubwa ya wahindi ndo utajua hilo. ndio maana Idd amin aliwatimua uganda wakaja tanzania tukawapokea kwa mikono yote roho inauma sana lkn hatuna jinsi waliokula pesa za EPA wote wahindi na aliyetoa mchongo ni hao hao wahindi ikifika uchaguzi kila duka la mhindi wanchangishana pesa kuwapa chama cha majambazi.

Ukisema chama cha majambazi unahuruma wewe sema "Choo Cha Ma.vi"
 
rejea kichwa cha habari juu hapo kwa makini na tafakuli ya hali ya juu sana jitahidi kujadili mada si kwa chuki ila kwa lengo la kutawa kuondoa ukoloni mambo leo ukiangalia tangu mkoloni yupo wahindi ndio walikua wafanyabiashara kubwa ktk nchi yetu tena wengine hata kushika nyadhifa kubwa ktk serikali ndio matokeo yake leo kwa kua wageni wameingizwa ktk serikali basi wanajua jinsi gani waweza kula la vipofu ambao ndio sisi wazawa mipango yote ya kuhujumu nchi inapangwa na wasio wazawa ukiangalia subash patel ana maskendoo kibwena lkn serikal kwa kua ni ndio wafadhli wao ktk kampeni za uchaguzi wa chama cha majambazi hawana ubavu wa kumshtaki au kumchukulia hatua mtu yoyote yule cha msngi sisi wazawa wenyewe tukubali mabadiliko hata kama kufa tuwe tayari kwa ajili ya vizaz vyetu vijavyo leo wakwepa ushuru mkubwa tra wahindi lkn kwakua wamewashila madirector na vigogo kuwapa share ktk makapuni yao hakuna wa kuwasumbua ndio maana leo mtu anapewa msamaha wakodi kuingiza magari ya kifahari mpaka 100 je tutafika hivi ? Ikiwa sis wazawa hatupati chance kama hizo tunaendelea lini?mikopo mikubwa yote wanapewa wao makabachor mpk makampun yao wanaagiza wafanyakazi kutoka india kwa wingi je wanazawa watafanya kazi wapi nyie migration mnaotoa working permit kweli mnawathamini watanzania wenzenu vipi ajira zitaongezeka ikiwa kazi ambazo zinafanywa na watanzania wanaletwa wahindi tena hawana elim yoyote serikali iko wapi hapa kama si rushwa na ufisadi na kuogopa watakosa pesa za kampeni naenda katembee makampuni makubwa ya wahindi ndo utajua hilo. Ndio maana idd amin aliwatimua uganda wakaja tanzania tukawapokea kwa mikono yote roho inauma sana lkn hatuna jinsi waliokula pesa za epa wote wahindi na aliyetoa mchongo ni hao hao wahindi ikifika uchaguzi kila duka la mhindi wanchangishana pesa kuwapa chama cha majambazi.

..............................100%
 
Rejea kichwa cha habari juu hapo kwa makini na tafakuli ya hali ya juu sana jitahidi kujadili mada si kwa chuki ila kwa lengo la kutawa kuondoa ukoloni mambo leo.

ukiangalia tangu mkoloni yupo wahindi ndio walikua wafanyabiashara kubwa ktk nchi yetu tena wengine hata kushika nyadhifa kubwa ktk serikali ndio matokeo yake leo kwa kua wageni wameingizwa ktk serikali basi wanajua jinsi gani waweza kula la vipofu ambao ndio sisi wazawa.

mipango yote ya kuhujumu nchi inapangwa na wasio wazawa ukiangalia SUBASH PATEL ana maskendoo kibwena lkn serikal kwa kua ni ndio wafadhli wao ktk kampeni za uchaguzi wa chama cha majambazi hawana ubavu wa kumshtaki au kumchukulia hatua mtu yoyote yule cha msngi sisi wazawa wenyewe tukubali mabadiliko hata kama kufa tuwe tayari kwa ajili ya vizaz vyetu vijavyo.

leo wakwepa ushuru mkubwa TRA wahindi lkn kwakua wamewashila MADIRECTOR na vigogo kuwapa share ktk makapuni yao hakuna wa kuwasumbua ndio maana leo mtu anapewa msamaha wakodi kuingiza magari ya kifahari mpaka 100 je tutafika hivi ?

ikiwa sis wazawa hatupati chance kama hizo tunaendelea lini?mikopo mikubwa yote wanapewa wao makabachor mpk makampun yao wanaagiza wafanyakazi kutoka india kwa wingi je wanazawa watafanya kazi wapi nyie migration mnaotoa working permit kweli mnawathamini watanzania wenzenu vipi ajira zitaongezeka ikiwa kazi ambazo zinafanywa na watanzania wanaletwa wahindi tena hawana elim yoyote serikali iko wapi hapa kama si rushwa na ufisadi na kuogopa watakosa pesa za kampeni
naenda katembee makampuni makubwa ya wahindi ndo utajua hilo.

ndio maana Idd amin aliwatimua uganda wakaja tanzania tukawapokea kwa mikono yote roho inauma sana lkn hatuna jinsi.

waliokula pesa za EPA wote wahindi na aliyetoa mchongo ni hao hao wahindi ikifika uchaguzi kila duka la mhindi wanchangishana pesa kuwapa chama cha majambazi.


mkuu nimeiwekea paragraph, tukupate vizuri, mhh.. mambo mazito haya
 
tukisema wanatuita wabaguzi tumechoka na wahindi pamoja na chama chao wanachokifadhili ili watuibie rasilimali zetu,je mnakumbuka kule Uganda mwaka 2007 waganda waliandamana kupinga kuuzwa kwa msitu wa mabira kwa fisadi wa kihindi anamiliki kampuni ya Mehta Group
 
KWA upande wa jamii ndio wateja wakubwa wa wasanii wa muziki na hata wale wa filamu, kwamba kama hawatanunua chochote ambacho kinatoka kwao au kuingia katika maonyesho ya wasanii hao basi sidhani kama kuna mwanamuziki au msanii ataendelea kufanya kazi hiyo.

Hataweza kuendelea kwa kuwa hatapata fedha, iko wazi kwamba kwa kipindi hiki muziki si sehemu ya ujiko tena kama ilivyokuwa miaka minne au mitano iliyopita badala yake ni kazi hasa inayoingiza fedha za kutosha kama mtu atakuwa makini.

Ni vigumu kwa msanii wa Tanzania kufanikiwa kuingiza mamilioni kama yale wale wa Ulaya, inawezekana ni athari za mipangilio ukilinganisha na hapa kwetu lakini hata hivyo inawezekana kabisa msanii akaingiza fedha za kutosha na akawa na kipato cha juu kama atakuwa na mpangilio na nidhamu ya juu ya kazi yake.

Kazi ya jamii ni kusikiliza, cha pili ni kuwaunga mkono wasanii kwa kununua kazi zao kama watakuwa ni watu ambao kweli wanaonyesha mapenzi ya dhati kwa wanamuziki wao na si ile tabia ya kuwaunga mkono kwa maneno mengi tu.

Jamii inaweza kuishia hapo lakini kuna mambo kadhaa wasanii yanaweza kubaki kwao kama majukumu ambayo wanatakiwa kuyafanya na kuhakikisha wanaongeza au kuboresha ubora wa kazi zao, kwanza ubora na baadaye kuwa makini katika masuala ya masoko.

Soko la muziki wa Tanzania si baya, hata kwa upande wa filamu za Kibongo unaweza kusema mambo si mabaya kwa mauzo kwa mujibu wa uchunguzi wangu lakini nakuhakikishia inawezekana kabisa wasanii huwa hawapati hata asilimia 25 ya mauzo ya kazi zao.

Tunajua mafanikio makubwa ya wasanii wetu ambavyo wamekuwa wakijiimba wao wenyewe kuwa gari aina ya Totoya Balloon na chumba kimoja Uswahilini inaonekana ni mafanikio makubwa sana kwa kuwa kabla msanii alikuwa akiishi nyumbani.

Tatizo kubwa lililonifanya niandike uchambuzi huu ni kuhusiana na malalamiko ya wasanii kuhusu suala la kulalama kuibiwa kazi zao na hao wasambazaji wanaojulikana kama ‘Wahindi’ au ‘Wadosi’.

Utaona msanii amelalama jana, na leo akapeleka kazi zake pale pale halafu kesho tena akaanza kulalama anaibiwa. Jiulize, hawa watu ni wazima na nini wanafanya kujikomboa wenyewe kabla hata ya kutupa lawama hizo kwa serkali haiwasaidia. Nafikiri wanatakiwa kubadilika na kufanya kitu fulani kwa ajili yao na si kusubiri wafanyiwe.

Suala la mauzo na wasanii kuibiwa kazi zao ni sugu, wamekuwa wakilia kila kukicha na kilio chao ni ‘wahindi’, yaani wale wasambazaji wao ambao wamekuwa wakifanya kazi hiyo kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Lawama hizo si za jana au leo, kila ambaye amekuwa akizungumzia suala la usambazaji amezungumza suala la kuibiwa kazi zao zinapokuwa sokoni na imeelezwa ‘Wahindi’ hao wamekuwa wakiwazunguka wasanii kimtindo na kuziuza kazi zao kwa wingi na wao kuwapa malipo kidogo tu kwa kisingizio kwamba haziuzi.

Mfano, msanii anapeleka kazi zake kwa msambazaji, wanaelewana zitauzwa kopi 10,000 na baada ya hapo wataingia mkataba wa kuuza nyingine kwa idadi hiyo. Lakini ambacho hutokea ni cha ajabu, msambazaji huyo hutengeneza kopi hata mara tatu ya hizo na kuziuza huku msanii akiendelea kuonyeshwa zile zake kwamba zimejaa kwa kuwa haziuzi.

Kuna wakati nilielezwa kuna wasanii wawili waliwahi kufanya uchunguzi na kuwanasa ‘Wahindi’ hao kwenye mtego, lakini kitu cha ajabu wakakubali kulipwa fidia bila ya kuwachukulia hatua zaidi ili kufichua uovu wao. Leo lawama zinaendelea, serikali imetutupa, COSOTA haitujali na mambo mengi ambayo naweza kusema wakati mwingine hayana msingi.

Si vibaya nikisema, wasanii kutokuwa na ushirikiano ni chanzo cha ‘Wahindi’ hao kufanya wanachotaka. Wanafanya wanavyotaka kwa kuwa wanajua wasanii na wanamuziki ni watu wasio na msimamo, wasiojiamini na wengi ni wanafiki kwa kuwa wamekuwa wa kwanza kupeleka taarifa kwa ‘Wahindi’ hao kuhusu wenzao wanaolalamika au wanaopinga utaratibu huo mbovu.

Kama wasanii ndio wanakuwa wa kwanza kufikisha taarifa kwa Wahindi kwamba kuna wasanii fulani wanalalama na wanapanga kutoleta kazi zao kwenu. Sasa kuna haja gani wasanii hao hao kulalama wanaibiwa au serikali haiwasaidii. Ndio maana nawaita wanafiki!

Miaka zaidi ya nane leo lawama zinaendelea, mwisho wa hilo ni nini. je, wasanii wamewahi kutafakari angalau hata kuunda umoja wao ambao utakuwa na nguvu ya kutetea maslahi yao au kufanya mambo tofauti ili kuhakikisha jasho lao linawafaidisha wao. Najua hapana, kwa kuwa wanaamini kulalama na kuendelea kuupiga usingizi ndio ufumbuzi.

Kweli serikali inapaswa iwasaidie, lakini mnajua haki japo ni yako kuna wakati unalazimika kuisaka kwa nguvu zote. Ya kwenu mnaisaka, au mnasubiri serikali iwatafutie. Basi endeleeni kusubiri, mimi naamini itaendelea kuwa hivi ilivyo na mwisho mnaoumia wenyewe. Amkeni wajomba, kipindi cha usingizi kimepita!
Saleh Ally ni mwandishi wa habari wa magazeti ya Mwananchi na Mwanaspoti. Email; sulezetz@yahoo.com au mwananchi@mwananchi.co.tz
 
Rejea kichwa cha habari juu hapo kwa makini na tafakuli ya hali ya juu sana jitahidi kujadili mada si kwa chuki ila kwa lengo la kutawa kuondoa ukoloni mambo leo ukiangalia tangu mkoloni yupo wahindi ndio walikua wafanyabiashara kubwa ktk nchi yetu tena wengine hata kushika nyadhifa kubwa ktk serikali ndio matokeo yake leo kwa kua wageni wameingizwa ktk serikali basi wanajua jinsi gani waweza kula la vipofu ambao ndio sisi wazawa mipango yote ya kuhujumu nchi inapangwa na wasio wazawa ukiangalia SUBASH PATEL ana maskendoo kibwena lkn serikal kwa kua ni ndio wafadhli wao ktk kampeni za uchaguzi wa chama cha majambazi hawana ubavu wa kumshtaki au kumchukulia hatua mtu yoyote yule cha msngi sisi wazawa wenyewe tukubali mabadiliko hata kama kufa tuwe tayari kwa ajili ya vizaz vyetu vijavyo leo wakwepa ushuru mkubwa TRA wahindi lkn kwakua wamewashila MADIRECTOR na vigogo kuwapa share ktk makapuni yao hakuna wa kuwasumbua ndio maana leo mtu anapewa msamaha wakodi kuingiza magari ya kifahari mpaka 100 je tutafika hivi ? ikiwa sis wazawa hatupati chance kama hizo tunaendelea lini?mikopo mikubwa yote wanapewa wao makabachor mpk makampun yao wanaagiza wafanyakazi kutoka india kwa wingi je wanazawa watafanya kazi wapi nyie migration mnaotoa working permit kweli mnawathamini watanzania wenzenu vipi ajira zitaongezeka ikiwa kazi ambazo zinafanywa na watanzania wanaletwa wahindi tena hawana elim yoyote serikali iko wapi hapa kama si rushwa na ufisadi na kuogopa watakosa pesa za kampeni naenda katembee makampuni makubwa ya wahindi ndo utajua hilo. ndio maana Idd amin aliwatimua uganda wakaja tanzania tukawapokea kwa mikono yote roho inauma sana lkn hatuna jinsi waliokula pesa za EPA wote wahindi na aliyetoa mchongo ni hao hao wahindi ikifika uchaguzi kila duka la mhindi wanchangishana pesa kuwapa chama cha majambazi.
PROPOSED HEADING
Ufisadi unaletwa na wahindi kwa sababu ya tamaa, usaliti, ubinafsi na upofu wa wetu
 
sawa kabisa hujakosea hata kidogo Chichiemu kwa hao wanaojiita watanzania wenye asili ya asia wahafurukuti ndio wafadhili wao wakubwa il siku zitafika(you can not fool people all the time but you can fool people some time) watch your back ccm
 
Wao kama sio wabaguzi kwanini wasionyeshe ushirikiano na usawa katika maisha yao ya kila siku?mimi naishi nao jirani hawashiriki kabisa kwenye misiba na hata kwenye shughuli nyingine za kijamii.
 
Back
Top Bottom