Issue ni kamba Tanzanians are professional hypocrites, hata atajwe mtekaji watu wataishia kusikitika na maneno ya chini chini.Tatizo waTz wengi hawataelewa kama ukweli umezungumzwa kama Bashite hata husishwa moja kwa moja hapo ndo tutakapo kuwa tunakosea,
Better kama tutakuwa tumefungua mioyo kupokea habar kama zitakavyokuja, wether kuna kiashiria cha Bashite kuhusika ama la! Kikubwa maelezo yanyooke
Watu wanahitaji ukweli na kitu kitakacho furahisha ni bora ufe ukisimamia ukweli.Aangalie mwenyewe usalama wake asije akaongea kufurahisha mashabiki halafu uhai wake ukawa mashakani
Uhai ni bora kuliko maneno ya kufurahisha watu
nahisi uliwahi kuugua uendawazima AU akili yako kuku ana afadhali.Hii story nasikia imepangwa, ameshaambiwa maneno ya kusema na wale watu wa Black Suit..
Expectation is different from reality!!
Niliwahi kuugua kichaa miaka 25 iliyopita.....nahisi uliwahi kuugua uendawazima AU akili yako kuku ana afadhali.
Ukweli utadhihirika leo mkuu..ngoja tusubirie maneno ya huyu Mwanaharakati!Viva Roma Viva.....
Ukisikiliza huo wimbo Roma amejitoa mhanga.....anasema leta defenda..leta wagambo..leta wajeda nichinjeni mkanitupe kwenye daraja la mkapa....
anasema nipige risasi ya utosi...si ndo nidhamu ya utawala?
Anasema nipe kesi nitaimba ndani ya gereza.
Ila pia anasema nyinyi ndo mmenituma...mko tayari kuniteteaaaa?
Mwanzoni kabisa mwa wimbo alisema kuwa ameshapigwa sana mkwara na jumbe za vitisho....Nafikiri sasa ndo kakutana na reality...
Kwa wimbo huo na kama kweli ni falsafa na itikadi yake basi tutarajie kuwa atasema ukweli mtupu tayari kwa lolote...naamini mtu huwezi kuimba strong message kwa mzaha tu..maana state is a monster...according to Marxist's.
Aah mkuu zitto mtoe,alikesha bungeni kuogopa kulala sero.Namshauri ROMA akae kimya tu!maana watanzania wote tuko kimya tu!
kati ya watu 50mil waliomajasiri ni watatu tu
TUNDU LISSU,G,LEMA na Zito!!!!