Tetesi: Roma Mkatoliki akimbia nchi, sasa anaishi uhamishoni

Huyo kaenda kubeba box na njaa yake,nani kamfukuza bongo?Vijitu vingine bwana ilimradi navyo vionekane vimo.
 
Kazi na duck
Sent using Jamii Forums mobile app
 
sipendi mchez mchezo mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulivyosema sio vigezo vya mtu kupewa ukimbizi au hifadhi nchi nyingine. Kimataifa hayo ni mambo ya ndani na yanatakiwa kushughuliwa na wahusika wa ndani. Hakuna ushahidi wowote unaomuhusha Roma kutekwa na shughuli za kisiasa, kidini au kijinsia. Na muda wote toka aseme ametekwa mpaka anaondoka hakuna jambo lolote lililo msibu.
 
Sio Roma pekee ambaye yuko hatarii, kila mtanzania hivi sasa anaishi kwa hofu!
Mtu yoyote duniani anayeishi kwa kujiachia bila woga wa maisha yake, huyo mtu ni mjinga na anafikiri kila mwanadamu mwenzake ni malaika.
 
Mtu yoyote duniani anayeishi kwa kujiachia bila woga wa maisha yake, huyo mtu ni mjinga na anafikiri kila mwanadamu mwenzake ni malaika.
Umeandika nini mkuu, kwani hofu na woga yana maana sawa?
 
Alijiteka na kusingizia watu wasoijulikana!
Kumbe mahesabu, lakini ilimsaidia kupata kiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…