Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo tunaoishi kwa raha. Na wale watukanaji nyuma ya keyboard wanatukana kwa raha zaoSio Roma pekee ambaye yuko hatarii, kila mtanzania hivi sasa anaishi kwa hofu!
Si unajua serikali hii ilivyo mzee..Ney wa mitego naye kuna kipindi alisoteshwa
Mbona mwanzoni walishamsumbua tena yakaisha?
Kesi ya kuhujumu uchumi unaijua kweli au unaongea tu?!mbona wimbo wenyewe ule sio wa kumfanya mtu akimbie nchi, wangeweza wakamsumbua sumbua lakini sio jambo kubwa hadi kumfanya akimbie nchi.
Azory mzee una uhakika gani kama ni gvt?Unaongea kirahisi sana. Hivi unafahamu kosa la Azory? Shetani ni shetani tu hana huruma na wewe wala familia yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si unajua serikali hii ilivyo mzee..Ney wa mitego naye kuna kipindi alisoteshwa
Happy new year 2020 wanaJF
Kwa kitendo hiki kama ni kweli kulingana na nilivyosikia, basi nchi yetu imefikia pabaya
Msanii wa Hip hop Roma Mkatoliki baada ya kutoa ule wimbo wake "Naitwa roma" unaohusu maswala ya siasa za hapa nchini hususani zinamrengo wa kuipinga serikali, msanii huyo sasa amekimbia nchi kwa kuhofia usalama wake kufuatia kutoa kibao hicho
Roma Mkatoliki kwa sasa amekimbilia nchini Marekani akihofia kukamatwa, kutekwa, na kuuliwa na serikali hii ya Rais Magufuli
itakumbukwa miaka ya nyuma msanii huyo alitekwa na kuumizwa vibaya, mpaka sasa waliofanya tukio hilo ni watu wasiojulikana
Nahoji kama Mtanzania wa kawaida, haki ya mtanzania kuishi katika nchi yake hapa inatazamwa vipi?
Uhuru wa kujieleza na kukosoa hapa nchini ni wa kitabaka tu? Yaani CCM ndio wanahaki ya kuukosoa upinzani pekee?
sipendi mchez mchezo mimiHappy new year 2020 wanaJF
Kwa kitendo hiki kama ni kweli kulingana na nilivyosikia, basi nchi yetu imefikia pabaya
Msanii wa Hip hop Roma Mkatoliki baada ya kutoa ule wimbo wake "Naitwa roma" unaohusu maswala ya siasa za hapa nchini hususani zinamrengo wa kuipinga serikali, msanii huyo sasa amekimbia nchi kwa kuhofia usalama wake kufuatia kutoa kibao hicho
Roma Mkatoliki kwa sasa amekimbilia nchini Marekani akihofia kukamatwa, kutekwa, na kuuliwa na serikali hii ya Rais Magufuli
itakumbukwa miaka ya nyuma msanii huyo alitekwa na kuumizwa vibaya, mpaka sasa waliofanya tukio hilo ni watu wasiojulikana
Nahoji kama Mtanzania wa kawaida, haki ya mtanzania kuishi katika nchi yake hapa inatazamwa vipi?
Uhuru wa kujieleza na kukosoa hapa nchini ni wa kitabaka tu? Yaani CCM ndio wanahaki ya kuukosoa upinzani pekee?
Nani kasema gvt? Acha uchochezi watu watekwe bure.Azory mzee una uhakika gani kama ni gvt?
Alisha onja Joto la jua anajua vizuri maana kutekwa na walee! wasiojulikanambona wimbo wenyewe ule sio wa kumfanya mtu akimbie nchi, wangeweza wakamsumbua sumbua lakini sio jambo kubwa hadi kumfanya akimbie nchi.
sawaKama hio sura kwny hio avatar ni wewe basi inaonekana upstairs kuna shida sehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyosema sio vigezo vya mtu kupewa ukimbizi au hifadhi nchi nyingine. Kimataifa hayo ni mambo ya ndani na yanatakiwa kushughuliwa na wahusika wa ndani. Hakuna ushahidi wowote unaomuhusha Roma kutekwa na shughuli za kisiasa, kidini au kijinsia. Na muda wote toka aseme ametekwa mpaka anaondoka hakuna jambo lolote lililo msibu.Unajua polisi kuna kitengo cha Fraud? Unafikiri kwanini yule mwanachuo wa UDSM aliposema ametekwa walimkamata na kumpandisha kizimbani? Kesho nenda sehemu kajifiche ndugu au mtu yoyote asijue halafu wapigie simu ndugu na marafiki uambie umetekwa kisha waambie wakaripoti polisi. Baada ya wiki 3 jitokeze uone shughuli yake. Ndiyo utajua kama ni mradi wa kujiteka uko vipi. Jaribu kupitia vifungu vya sheria vitakusaidia kuliko kusoma umbea jamii forum na mitandao mingine ya kijamii.
Kifupi tu. Udanganyifu wa aina yoyote ni kosa la kisheria kwahiyo hapo wakigundua umejiteka lazima ukanyee ndoo kwanza ili iwe fundisho kwa wengine. Huo mfano kajaribu halafu uje utoe mrejesho hapa.
Mtu yoyote duniani anayeishi kwa kujiachia bila woga wa maisha yake, huyo mtu ni mjinga na anafikiri kila mwanadamu mwenzake ni malaika.Sio Roma pekee ambaye yuko hatarii, kila mtanzania hivi sasa anaishi kwa hofu!
Umeandika nini mkuu, kwani hofu na woga yana maana sawa?Mtu yoyote duniani anayeishi kwa kujiachia bila woga wa maisha yake, huyo mtu ni mjinga na anafikiri kila mwanadamu mwenzake ni malaika.
Alijiteka na kusingizia watu wasoijulikana!Ni mradi alioubuni kwa muda mrefu, kujiteka, kutoa nyimbo ya kuchafuwa watu fulani ili iwe kisingizio kama hapa Tanzania hayuko salama. Lakini Wamarekani sio wajinga, Bobi Wine alishidwa kubadili ukaaji wake nje, sidhani kama Roma ana kigezo chochote cha kubeba kesi yake.
sasa mbona umemtolea mfano kwenye huu mjadala wa Roma kukimbia nchi kuogopa seriklai wakati hahusiani na serikali?