mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Umaskini upi?Ni bora tubaki na umasikini wetu tu, kuliko kuwa na elimu huku unadhalilishwa kama mabashite
..wimbo mzima na maneno yake.
..kwa kweli umetulia.
Unaweza kuwa na akili kwenye fani ya sheria ila haikufanyi uwe na akili pia kwenye muziki"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Aisee!Waukae Mzee Wngu Jakaya Kikwete ulipoteza hela zetu bure kumpeleka India huyu kenge Bora ungemuacha Afirie mbali tu watu km Mwakyembe ndio wanafanya watu weusi wote tuonekane vichaa...
Weka majibu ili nichagueUmaskini upi?
Hahahaaa........!Weka majibu ili nichague
Nimekuelewa!Kusoma sana sio kigezo cha kuleta changes kwenye jamii,kwa waafrika, wale waliosoma sana zaidi ya degree 2 ni waoga na wengi wao wamesoma hivyo ili waweze kusecure jobs zao, a person who wants to secure his job will be a puppet and will Fail to change the society.
Kwahiyo ana kadegree kamoja au tuwili manka?!Rostam Aziz kichwa kile, kuwa alumni wa London School of Economics si utani.
Nina certificate ya cateringKwahiyo ana kadegree kamoja au tuwili manka?!
Na yeye ana degree 4?Rostam Aziz kichwa kile, kuwa alumni wa London School of Economics si utani.
Wewe najua ni mwalimu grade A.......nilikuwa naulizia huyo Aziz ana tudegree tungapi?Nina certificate ya catering
Swali zuri!Na yeye ana degree 4?
Kusoma sana ni uoga wa Maishakusoma sanaaaaa sio kipimo cha akili na kuwa na busara.