Angeongeza kuwa ana ukimwi pia sio degree nne tu
quantity doesn’t make a quality.Wewe najua ni mwalimu grade A.......nilikuwa naulizia huyo Aziz ana tudegree tungapi?
Hakika mkuu!Kusoma sana ni uoga wa Maisha
Hongera manka!quantity doesn’t make a quality.
Umenipandisha sikujua kuwa ninawaza kama mwalimu wa grade A na gala ka certificate kangu ka mama ntilie.
Hongera na wewe maendeleo hayana chamaHongera manka!
Amina!Kauli hiyo kama ni mwakyembe ametoa basi amekosea sana...angenyamaza tu tunahitaji busara na hakima zake kama mzee ...Nina mashaka sana kama nmeongea hivyo au mitandao imeamua kumchafua waziri .
Sabatho njema nawe mleta mada .
Hila hawa vijana wanapopata vijisenti kutokana na Sanaa yao na kuanza kujiona wanajua bila kujua mipaka ya nini waseme na nini wasiseme sijui wanakwama wapi? Nadhani ni kutokana na kukosa elimu au malezi! Wanaropoka maneno mazito bila kujua madhara! Nchi inaongozwa na serikali na katiba na miongozo na kanuni. Hawa vijana wakishabugia mabangi na kupandwa na mizuka wanajiona wako juu ya serikali na viongozi wetu? Wanahitaji ushauri nasaa
Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Hiyo sio hoja unaweza ukapasua hiyo GPA kubwa lakini bado tu ukawa mjinga.Roma arudi shule jamani
Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika
Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
Hila hawa vijana wanapopata vijisenti kutokana na Sanaa yao na kuanza kujiona wanajua bila kujua mipaka ya nini waseme na nini wasiseme sijui wanakwama wapi? Nadhani ni kutokana na kukosa elimu au malezi! Wanaropoka maneno mazito bila kujua madhara! Nchi inaongozwa na serikali na katiba na miongozo na kanuni. Hawa vijana wakishabugia mabangi na kupandwa na mizuka wanajiona wako juu ya serikali na viongozi wetu? Wanahitaji ushauri nasaa
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Mkuu naomba ufafanuzi amedanganywa na wanasiasa wapi?
Huyu hayuko sawa tangia walivyompakaza sumu, ndio mana kila pahara hafit. Kaletwa huko kwa wasanii nako shida akijaribu kutetea ugali kwa kumlizisha jiwe. Afadhali angesimamia vile alivyokariri huko kwenye digrii zake kama anakumbuka ingemsaidiaKwani kufundisha vyuo vikuu ndo kuwa na akili? aliyesema kaokotwa jalalani hakuwa professor wa chuo kikuu kabla ya kuokotwa? Huyu ahurumiwe tu.
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"
Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!