Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Kauli hiyo kama ni mwakyembe ametoa basi amekosea sana...angenyamaza tu tunahitaji busara na hakima zake kama mzee ...Nina mashaka sana kama nmeongea hivyo au mitandao imeamua kumchafua waziri .

Sabatho njema nawe mleta mada .
 
Kauli hiyo kama ni mwakyembe ametoa basi amekosea sana...angenyamaza tu tunahitaji busara na hakima zake kama mzee ...Nina mashaka sana kama nmeongea hivyo au mitandao imeamua kumchafua waziri .

Sabatho njema nawe mleta mada .
Amina!
 
Pole sana
Hila hawa vijana wanapopata vijisenti kutokana na Sanaa yao na kuanza kujiona wanajua bila kujua mipaka ya nini waseme na nini wasiseme sijui wanakwama wapi? Nadhani ni kutokana na kukosa elimu au malezi! Wanaropoka maneno mazito bila kujua madhara! Nchi inaongozwa na serikali na katiba na miongozo na kanuni. Hawa vijana wakishabugia mabangi na kupandwa na mizuka wanajiona wako juu ya serikali na viongozi wetu? Wanahitaji ushauri nasaa
 
Hapa naona tupo kwenye kipengele cha Fani ambacho ni Kufaulu na Kutofaulu kwa mwandishi
 
Hapa naona tupo kwenye kipengele cha Fani ambacho ni Kufaulu na Kutofaulu kwa mwandishi
 
Roma arudi shule jamani

Mtu anaefundisha au aliwahi kufundisha chuo sio wa kumfananisha na alieishia darasa la saba jamani huo ni ukweli usiopingika

Mwakyembe alipasua GPA kubwa Bachelor akabakizwa kuwa mwanataaluma UDSM huwezi fananisha na Msanii yeyote hapa nchini
Hiyo sio hoja unaweza ukapasua hiyo GPA kubwa lakini bado tu ukawa mjinga.

Wewe in your perspective, unaweza ukamuona wa maana lkn mwingine akamuona bogus. That's normal.

Ila kwa uzoefu uliyozoeleka, msomi yeyote akiwa ccm kamwe he can't excel kwani hutakiwi kuonekana unashamiri kuliko m/kiti kwa kila kitu. You must toe the party line.
 
Hila hawa vijana wanapopata vijisenti kutokana na Sanaa yao na kuanza kujiona wanajua bila kujua mipaka ya nini waseme na nini wasiseme sijui wanakwama wapi? Nadhani ni kutokana na kukosa elimu au malezi! Wanaropoka maneno mazito bila kujua madhara! Nchi inaongozwa na serikali na katiba na miongozo na kanuni. Hawa vijana wakishabugia mabangi na kupandwa na mizuka wanajiona wako juu ya serikali na viongozi wetu? Wanahitaji ushauri nasaa

..mna-panic bure tu.

..Roma amemsifia Jpm kwa kukusanya kodi, na kujenga flyovers.
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!

Kama ana elimu isiyohitaji ushauri mbona alipigwa sumu?

Wakati mwingine hata "house girls" anaweza kushauri kuhusu maisha.

Mfano anaweza kukwambia unapokwenda semina, kuna uncle huwa anakuja kulala chumbani mwako.
Au akakwambia chakula fulani husile mama kaweka sumu na ukapona.
 
Kwani kufundisha vyuo vikuu ndo kuwa na akili? aliyesema kaokotwa jalalani hakuwa professor wa chuo kikuu kabla ya kuokotwa? Huyu ahurumiwe tu.
Huyu hayuko sawa tangia walivyompakaza sumu, ndio mana kila pahara hafit. Kaletwa huko kwa wasanii nako shida akijaribu kutetea ugali kwa kumlizisha jiwe. Afadhali angesimamia vile alivyokariri huko kwenye digrii zake kama anakumbuka ingemsaidia
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!

Hivi wasomi wakiingia kwenye siasa wanakuwaga wajinga?
Basi kama ana digrii 4, atunge basi wimbo tuusikie.
Si kila kitu ni elimu ya darasani. Kuna elimu nyingi tu ambazo watu hawajifunzi katika mfumo anaoufikiria huyo waziri.
 
Back
Top Bottom