Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Unaweza ukawa umesoma ila hukuelimika. Mugabe wa Zimbabwe alikuwa na degree 7, ila angalia alivyo ifanya Zimbabwe.
 
Kwani Roma kamtaja Mwakyembe?
 
Hakuna mhandisi wa umeme asiyeweza kuzalisha umeme huo kama vifaa viko provided ila ungesema hawafikirii kufanya hivyo
 
Elimu na kuelimika si lazima upate mashahada kibao - chukulia mfano mtu kama Bakhresa ana elimu gani ya vitabu lkn exposure aliyonayo na uelewa hawezi kutofautiana na maprofessa tena wa Oxford

Fine, Roma atakuwa hana elimu kubwa ya vitabu lkn mazingira yanayomzunguka yanatosha kumfanya aonekane kama Profesa wa Illinois nk

Lakini pia hata akianzisha chama cha siasa bado Dkt Mwakyembe ataamini yale atakayoibua kisiasa - suala la msingi ni kuvumiliana na kuchukuliana sababu watu tuna hisia tofauti na haitawezekana kuishi kwa kichwa kimoja

Sisi ni watanzania
 
Hivi wananchi wa Kyela walivyokukataa hadi ukatangazwa kwa Mabomu hawakujua kwamba una degree 4 ? halafu inakuwaje mwenye degree 4 asubiri hadi msiba wa mkewe ili achonge barabara ya kwenda kwao ?
 
Anaitwa Romaa Hakuna wa Kumstopisha,naniiii wa kumnyamazisha romaaaaa mwakyembe aache kuongea ongea,walimvunja dole la mwisho wakamuachia dole la kati........Anaitwa ROmaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
 
Sasa hizo degree 4 zimetusaidia nini mbona ndo limekuwa lipumbavu!
 
Mwakyembe sasa umejulikana na sura yako halisi imejitokeza kwamba wewe ni mtu wa majivuno na majigambo.
Unapaswa ujue kwamba elimu ni maarifa ni kweli una elimu lakini huna maarifa na inawezekana elimu yako inakutesa mno, ivi hiyo imekusaidiaje au hapo ulipofika ndio kikomo cha elimu yako. Tunataka elimu itoe matokeo kwako mwenyewe na kwa wale unaowaongoza.
Bahati mbaya ambao mnayo nyie madokta wa Tanzania wengi hamna ubunifu hamna cha kuonyesha zaidi ya hizo PHD za ujanja ujanja.
Hayo majibu aliyotoa MWAKYEMBE ni ya kiwango cha chini mno.
 
Hivi wananchi wa Kyela walivyokukataa hadi ukatangazwa kwa Mabomu hawakujua kwamba una degree 4 ? halafu inakuwaje mwenye degree 4 asubiri hadi msiba wa mkewe ili achonge barabara ya kwenda kwao ?
Tumsamehe Mwakyembe, kigogo anasema jamaa alipitia vipindi vigumu sana na pia kigogo anasema jamaa anatumia mbaazi(no stigma) inaonekana akili yake haipo vizuri.
 
Porojo hizi wewe na babako mnaziita akili, vijana wa ufipa ugoro utawauwa


State agent
Siku zote nasema CDM ina watu smart! Angalia alivyoandika kwa mantiki kubwa! Nani CCM anaweza kuandika hivi! Namlilia Ben Saanane he was another Albert Einstein in the making!
 
Huyo tangu alipoikataa "Thesis ya Phd yake nilimtoa maanani kabisa!.
 
Ana PHD ya seria lakini alishindwa kuongoza wizara ya Sheria chupu chupu kutumbuliwa!
Unaweza kuona uwezo wake wa kufikiri + elimu ya darasani havioani
 
Elimu ni maarifa, kuna kusoma ili mradi uonekane una shule kubwa + kwa Elimu yetu ya miaka iyo ,Elimu za akina mwakyembe ... Ndizo zinazofanya Leo hii Tunajikuta katika matatizo lukuki!!
Degree nne sio mchezo tuache utani,sio kila moja anaweza kusoma hivyo

Mwacheni mwakyembe ajidai
 
Kuwa na elimu ya darasani si Kuwa na akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…