Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Roma Mkatoliki amwibua Mwakyembe, adai hana elimu ya kumshauri yeye mwenye digrii 4. Kama anapenda siasa aanzishe chama cha siasa

Lazima atoe neno ili 'mr chato' ajue waziri husika kakemeea ila binafsi naona mh waziri kakubali nyimbo ni nzury sana ya kiharakati...ila ni lazima angetoa katazoo maana naye anaagizwaaa
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Uchuro mtupu ,sisi ndo tunaompenda Roma kwakazi zake
 
Suala la degree 4 na fasihi hakuna uhusiano, kama hataki kushauriwa basi asimamie wizara yake anavyotaka bila kufuata miongozo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wabongo mnapenda gossiping haijawai tokea daaah
 
[QHfdsyuhggfddffUOTE="Return Of Undertaker, post: 33484070, member: 88353"]
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
[/QUOTE]
Ulevi wa madaraka ni ulevi mbaya saña
 
Maagizo ya Mkuu....
IMG-20191117-WA0023.jpeg
 
Na hapa ndo utamheshimu mwenyezi Mungu,
Mwenye elimu akijidai kuandika cv yake usoni ili kila mtu
aione atachafua uso na kuitwa kichaa.
Usomi unadhihirishwa kwa kile unachoifanyia jamii inayokuzunguka
kinyume na hapo mengine ni maneno matupu.
[emoji119]
 
Ukiimba za kumsifu magufooly, unaambiwa natamani uwe mbuge, ukiimba za kumkosoa, unaambiwa hujasoma hata la saba, na hufanikiwi unaimba siasa.
 
Degree 4 za kwenye certificate na thesis za kawaida sio za uvumbuzi hizo. Swala la kufundisha vyuo ni ku transform tu vilivyo andikwa na wengine una act as a media tu. Waliogundua hivyo vitu wasemaje sasa?
Point, just imagine eti na Magu kwa akili zile ni PHD holder.
Hawa watawala wa Kibongo elimu zao ni trash, haziwaongezi upeo wa uelewa na wala hazina faida kwa wanaowatawala.
 
huyu mzee hana akili ina maana pamoja na madegree yake hajui kazi ya fasihi kweli?
Mtu ambaye alikana Hadi thesis ya PhD yake iliyompa huo DR unadhani ana akili saqa sawa kweli

Malafyale
 
Tuliochukua digrii za darasa la saba hatutokusahau milelee lazima utafeli mtihani wa neki 2020,ngoja wale maostazi wa albadir wafanye kugusa tu.
 
Back
Top Bottom