upcoming tycoon
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 353
- 471
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?" Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Roma amedanganywa na wanasiasa wabaya tu
Hahahaha hizi shahada za kutuwezesha kujua catalyst tu zina lolote la maana basi,Mungu atuhurumie tumaajabu msomi wa shahada nne hajui kazi za fasihi katika jamii
Ukweli unabaki staili aliyochagua Roma, muda wake ukiisha hana wa kumkumbuka.Hakuna wakumnyamazisha Roma
mbona wewe ndiyo umewashwa ghaflaWatu wa praise team watawashwa Sana!