Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
nilichofanya ni kumtahadharisha tu huyo mkatoliki kuwa tunamtaka aseme ukweli huo ambao nimeuweka hapo na si kinyume. kamuulize au nenda eneo analoishi kisha uliza hapo mtaani kuna gari gani ambalo kila baada ya saa moja linapita hapo na kuna simu gani kapigiwa leo hii ( jumapili ) mida ya saa 5 mara baada ya kupokea simu za akina ruge na wakili wake? nikushauri tu mkuu kaa mbali kabisa wakati wa watanzania kunyanyaswa kwa maslahi ya majangili wawili sasa tunataka kuumaliza kabisa ili tanzania ile ya amani, usawa, haki na upendo irudi. na kama mpo karibu na huyo mkatoliki wenu mfikishieni hii taarifa kuwa ole wake kesho asiseme ukweli wote wakatoliki wenzake watausema jumanne na kuna uwezekano hata nchi ikasimama kidogo na dunia kushtuka kwa uonevu na ukatili ulioibuka tanzania.
Mhhh kama.hapa ni 2017 sasa 2020 itakuwaje najiuliza tuu
 
Kesho tunataka kusikia yafuatayo..wale watu wawili waliokuja kukuhoji kwanini walikuwa hawakujui je walielekezwa na nani kwako?..mlipoingia ndani ya ile noah kwanini nyote mlifungwa vitambaa vichwani na mkaja kufunguliwa mlipoingizwa katika nyumba ya kwanza mikocheni na siku mbili baadae mkahamishiwa katika nyumba iliyopo Oysterbay..

Kwanini kati yenu wote ni wewe tu ndiyo uliyepigwa sana na virungu magotini huku ukikanyagwa kila mara mbavuni mwako na kuna wakati ukawekewa bastola kichwani ndipo ukaanza kunywea..ni kiongozi gani ambaye juzi usiku alikuja katika hiyo nyumba na kuzungumza nanyi kisha akawatishieni nyote..yule dada aliyekuwa akiongoza mateso yenu huku akiwa anawahoji na kuwarekodi anatoka katika taasisi gani..

Kiongozi gani aliomba kuongea na wewe jana asubuhi kabla hamjaondoshwa hapo oysterbay na kupelekwa polisi?

ole wako usiseme huu ukweli kesho.
Hii chenga hii au mawazo yangu tu
 
masahihisho kidogo mkuu mtoa mada anaweza asiwe mmoja wa washiriki wa kilichotokea ila akawa na mtandao mpana na mkubwa wa kujua nini kinaendelea kule ambao siyo rahisi kwa watu wa kawaida kupajua. labda mkuu nikuulize swali dogo tu hivi kwa ufahamu wako umeshawahi kuona siri inayoshirikisha watu zaidi ya wawili isivuje? kumbuka pia kuwa hata kama kuna watesaji 100 ila ni lazima tu watakuwepo hata 15 ambao kibinadamu wameguswa na kuchukizwa na kilichofanyika.
Ndo hapo nashangaa majitu yanavyompinga as if yanamjua mamtu mengine bana
 
Mtoa huu uzi ameandika kama alikuwepo kwenye tukio nadhan ni wakati wa Max kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili watu kama hawa wasaidie kwenye uchunguzi
Kwani kuna uchunguzi unaendelea!! [emoji15] [emoji15]
 
hahahaha huyu jamaa kwa uongo hajambo yeye hujua kila jambo na yeye huwa kila mahala hapa kabadili tuu id
 
Sidhani kama Roma atafunguka maana nina uhakika atakuwa amechimbwa biti kubwa, lakini acha tusubiri tumsikie kama ataongea, asipoongea nitasubiri jumanne.. Mnakumbuka Dr. Ulimboka alivyokuwa na kelele, baada ya kusulubiwa akaachiwa sasa hivi kapiga kimya, hakuthubutu kufungua kinywa chake... Ngoja nisubiri
 
Sidhani kama Roma atafunguka maana nina uhakika atakuwa amechimbwa biti kubwa, lakini acha tusubiri tumsikie kama ataongea, asipoongea nitasubiri jumanne.. Mnakumbuka Dr. Ulimboka alivyokuwa na kelele, baada ya kusulubiwa akaachiwa sasa hivi kapiga kimya, hakuthubutu kufungua kinywa chake... Ngoja nisubiri
Mnapenda kuweka manibu kichwani hata kama hunui chochote, wasiwasi wa nn roma yupo atajibu, sio m
Ynavyofikilia ww ndio aongee akufurahishe, maisha ingekuwa tunatjmia memory card nadhani ungwmpa ya kichwa chako
 
Ney wa Mitengo kashalisanua huko

Tengemeeni majibu tofauti
 
Mkuu watu kama nyinyi ndio mnasababisha kina MaxMello kulazwa selo. Tuiheshimu JF, tuithamini, tusiibadili kuwa kijiwe cha kusakata porojo na udaku. We cannot afford losing this precious platform kwa upuuzi wa watu wachache.

Ndio hatumpendi/hatumtaki Baxhite, lkn this is too much.

Mbona sijaona jina la bashite au lile lengine kwenye uzi (Naona defensive mechanism)... Wacha nirudie tena kuusoma
 
Muanzisha uzi kashiriki from A to Z,japo hakupenda ila alikuwa akitii amri..

Jitahidini mfunge CCTV jamani la sivyo tutawalokotela mto Ruvu mkiwa ndani ya sandarusi
Ukifunga cctv halafu jamaa akavaa kama ninja cctv itasoma angalizo tu,kwa mange kimambi sio Tukuyu
 
Kesho tunataka kusikia yafuatayo..wale watu wawili waliokuja kukuhoji kwanini walikuwa hawakujui je walielekezwa na nani kwako?..mlipoingia ndani ya ile Noah kwanini nyote mlifungwa vitambaa vichwani na mkaja kufunguliwa mlipoingizwa katika nyumba ya kwanza Mikocheni na siku mbili baadae mkahamishiwa katika nyumba iliyopo Oysterbay..

Kwanini kati yenu wote ni wewe tu ndiyo uliyepigwa sana na virungu magotini huku ukikanyagwa kila mara mbavuni mwako na kuna wakati ukawekewa bastola kichwani ndipo ukaanza kunywea...?

Ni kiongozi gani ambaye juzi usiku alikuja katika hiyo nyumba na kuzungumza nanyi kisha akawatishieni nyote?

Yule dada aliyekuwa akiongoza mateso yenu huku akiwa anawahoji na kuwarekodi anatoka katika taasisi gani?

Kiongozi gani aliomba kuongea na wewe jana asubuhi kabla hamjaondoshwa hapo Oysterbay na kupelekwa Polisi?

Ole wako usiseme huu ukweli kesho.
Na hizi ID zenu za mwaka huu tutaona na kusikia mengi,wapi Lizaboni ?
 
Wewe ndio utuambie ukweli umejuaje alipigwa virungu? ulikuwepo

Sasa umejuaje hatosema ukweli wakati yeye ndio anajua ukweli? Tatizo lenu tayari mna majibu yenu mfukoni sasa mnalazimisha Roma aseme hayo.
Ukweli ni ukweli tuu hata kama hauto wafurahisha kwa hiyo mtulie msilazimishe aseme myatakayo
Hivi kwanini UVCCM mnatetea hili suala la unyakuaji watu?

Mnamaslahi gani nalo au mnajua wanaohusika ni viongozi wenu kwahiyo hamtaki waaibike?
 
Tunajua mnajua mhusika wa huu mchezo mchafu.

Mpo hapa kumtetea kwa nguvu zote, mwisho wake utakuwa wa aibu sana.

Kabisa

Naona wanatumana kutunga mambo ili kuchafua viongozi. Wana watu nyuma yao wanajribu kila njia na watakwama tu.

Jana tu yeye na sijui maneja wametoautiana waliyosema. Na bado watu watanyooka tu

Nchi ya Magufuli hii, hakuna blah blah blah
 
Ha ha haaaaaaa

Wa madawa mnamtishia eeeeeh.

Mmeshaanza kutunga uongo, na bado mtanyooka tu.

Nchi hii viongozi hawatachafuliwa kwa sababu wtu wachache wana maslahi yao.

Mtanyooka tu.
"Watapatikana wote wanne wakiwa salama kabla ya jumaa pili" in BASHITE's Voice

Na kweli wakapatikana.

"Siwezi sema lini watapatikana hii ni kazi ya kipelelezi ukuniambia lini watapatikana maana yake najua walipo, nawajua watekaji, nilikubaliana na watekaji?

Kama kuna kiongozi kasema watapatikana kabla ya jumaa pili kamuulizeni yeye. In SIRO'S VOICE.

siku zote Mungu hadhihakiwi, hubainishia maovu ya watu bila wenyewe kujua km maovu yao yanabainika.

Lakini pia nikupe hongera sana kwa ujasiri ulionao wa kusapoti ubashite ulio wazi wakt wewe yumkinni ni msomi na una uelewa.

Pengine maslah yako binafsi ndio yanakufanya utetee ubashite uliodhahiri.

Nakusifu kwa moyo mgumu ulonao, wakusimamia batili wakati haki unaijua.

Mimi ni kada wa chama cha mapinduzi, tena mjumbe wa nyumba kumi. Lakini sijawahi kua mtumwa wa fikra, wakati nipo kwenye baeaza la katiba sikua mnafiki niliwaambia wana ccm wenzangu kua katiba si ya ccm, ikiwa tuifanya ndivyo sivyo ipo siku tutakua na viongozi wa hovyo itayutesa.

Nilikua na msimamo wa kipengele cha maadili ya watumishi na viongozi wa uma kuwa katika katiba kitu ambacho wana ccm walipinga kwa uelewa mdogo kwa hoja kua maadili ni vitu binavyo badilika.

Alipokua mzee warioba aliwashangaa waliokua na msimamo wa kupinga kipengele kile kisiwepo ktk katba.

Najaribu kukuoa picha ujue vp naijua ccm na ninaitumikia kiasi gani. Lakini abadani siwezi kukaa kimya au kutete upuuzi unaofanywa na vongozi wanaoitia doa ccm kua chama cha wajinga nooo never.

Wazazi walinipeleka shule ili niweze kupambanua mazingira.

Unless u do it for ur interest lakini usiwaone watu wajinga wanapopaza sauti kwa USHENZI UNAOFANYWA NA VIONGOZI WAPUMBAVU WASIOJUA NINI MAANA YA UONGOZ WAKADHANI MAMLAKA NI YAO TO THE END.


makonda oyeeeeeeeee. In yo voice
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom