Ha ha haaaaaaa
Wa madawa mnamtishia eeeeeh.
Mmeshaanza kutunga uongo, na bado mtanyooka tu.
Nchi hii viongozi hawatachafuliwa kwa sababu wtu wachache wana maslahi yao.
Mtanyooka tu.
"Watapatikana wote wanne wakiwa salama kabla ya jumaa pili" in BASHITE's Voice
Na kweli wakapatikana.
"Siwezi sema lini watapatikana hii ni kazi ya kipelelezi ukuniambia lini watapatikana maana yake najua walipo, nawajua watekaji, nilikubaliana na watekaji?
Kama kuna kiongozi kasema watapatikana kabla ya jumaa pili kamuulizeni yeye. In SIRO'S VOICE.
siku zote Mungu hadhihakiwi, hubainishia maovu ya watu bila wenyewe kujua km maovu yao yanabainika.
Lakini pia nikupe hongera sana kwa ujasiri ulionao wa kusapoti ubashite ulio wazi wakt wewe yumkinni ni msomi na una uelewa.
Pengine maslah yako binafsi ndio yanakufanya utetee ubashite uliodhahiri.
Nakusifu kwa moyo mgumu ulonao, wakusimamia batili wakati haki unaijua.
Mimi ni kada wa chama cha mapinduzi, tena mjumbe wa nyumba kumi. Lakini sijawahi kua mtumwa wa fikra, wakati nipo kwenye baeaza la katiba sikua mnafiki niliwaambia wana ccm wenzangu kua katiba si ya ccm, ikiwa tuifanya ndivyo sivyo ipo siku tutakua na viongozi wa hovyo itayutesa.
Nilikua na msimamo wa kipengele cha maadili ya watumishi na viongozi wa uma kuwa katika katiba kitu ambacho wana ccm walipinga kwa uelewa mdogo kwa hoja kua maadili ni vitu binavyo badilika.
Alipokua mzee warioba aliwashangaa waliokua na msimamo wa kupinga kipengele kile kisiwepo ktk katba.
Najaribu kukuoa picha ujue vp naijua ccm na ninaitumikia kiasi gani. Lakini abadani siwezi kukaa kimya au kutete upuuzi unaofanywa na vongozi wanaoitia doa ccm kua chama cha wajinga nooo never.
Wazazi walinipeleka shule ili niweze kupambanua mazingira.
Unless u do it for ur interest lakini usiwaone watu wajinga wanapopaza sauti kwa USHENZI UNAOFANYWA NA VIONGOZI WAPUMBAVU WASIOJUA NINI MAANA YA UONGOZ WAKADHANI MAMLAKA NI YAO TO THE END.
makonda oyeeeeeeeee. In yo voice