Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
Sifikirii kama atasema bayana ya yaliyomkuta.Kutishiwa uhai kubaya.
Aliimba .."leta defender!,leta wajeda !leta wagambo!..Roma nimejitoa muhanga...!"
Wamepeleka Noah tu,karudi ameufyata.Eti hawezi kuzungumzia tukio,utafikiri kuna kesi inayosikilizwa.
Bastola Ione kwenye TV aisee ukinyooshewa live in picha hutakaa uisahau maisha yako yote............unatakuwa tayari kwa lolote ili mradi roho isitoke tu
 
Unaweza kutoa usjirikiano na wakakuua, mara nyingi watu husema lakini inategema na mazingira option ya kukubakisha ni ndogo sana sababu wanajua ipo siku utasema.
 
Wasije wakawa wamempa utasa maana kama alipigwa za mbavu teke lisijekuwa liliteleza tu......
 


Mwigulu Nchemba ameshathibitisha udhaifu muda mrefu...Huyu sio Mwigulu yule Vocal tuleiyekuwa tunamfahamu..Mwigulu aliyekuwa active ambaye tulidhani sasa wizara imepata mchapakazi..jamaa sijui kawaje siku hizi

Ameonesha ku feli big time

Suala la Ben ameshindwa kabisa kulishughulikia..sembuse kutoa mrejesho unaoeleweka...Suala la Nape na Bunduki ndio kabisaaa kanywea.

Nchi hii inahitaji watu wakweli na vijana wasioogopa..Kizazi hiki tusiwe tayari kukabidhi hatma yetu kwa watu wasio na nia dhabiti ya kutupeleka mbele
 
Habari.

Sina mengi ya kuongea zaidi ya kumuomba kijana huyu anaejiita roma ajitokeze sasa kwani jumatatu ndo hii aliyotuahidi jumamosi yakuwa ataongea.

Maneno mengi yanaongelewa huko mitandaoni yakisema ulinunuliwa kucheza hii movie na kama kweli basi hakika ulitisha sana kwa kutuokota akili wabongo na wasanii wenzako.

Lakin kama nikweli yasemwayo basi toka sasa huko mafichoni umalizie hiyo movie yako na waandishi wa habari ili upate haki yako ya kile ulichokifanya.

Umetulaza wananchi macho siku mbili na nchi jirani walikuwa macho kukutafuta uu wapi umefichwa. Na hatimaye umepatikan pasipo kuongea neno sasa ni mda wako kutufanya tukalal kwa amani tukiamn nchi yetu bado tunaamani kuliko hivi sasa.

Roma lakin tambua kama kweli ulicheza hii movie hakika utakuwa katika wakati mgumu sana kuisambaza na ikauzika na niamin mm ipo siku utakuja kupotea kweli na wananchi watajua upo location.....

Ndugu Roma jitokeze sasa umalizie movie uliyoianzisha.
 
Huyu Mimi najua atakuja na blablaah kibao hapa, sitashangaa kukanusha kutekwa kwake..!
This country bwanah..![emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Na asipoongea ukweli mziki wake ndo byebye tena sidhani kama atasikika kama awali.
 
t
Huyu Mimi najua atakuja na blablaah kibao hapa, sitashangaa kukanusha kutekwa kwake..!
This country bwanah..![emoji12] [emoji12] [emoji12]
uache kuishi kwa hisia ngoja atakuja mwenyewe na ataeleza kila kitu tusimsemee hapa ngoja aje ayeye mhusika
 
Mkuu njoo tu umwage mboga hapa maana sitarajii chochote kipya hapo.
 

Je yalioelezwa hapa na Roma alioyaeleza yana utofauti?
 
Ngoja nisubscribe kabisa huu uzi..najaribu kuunganisha na Alivyozungumza Roma leo hii
 
Mwagika. kagoma kusema ukweli. Kapita kuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…