Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
umeshamaliza kuwapa maendeleo familia yako ili hata ikitokea umepotea kwa muda tu au kimoja huku nyuma wasiwe na shida ya kimaisha?
Ha ha ha ha ha ila mkuu why mlimsindikiza jamaa mikocheni shilawadu je mlimuachia nani geti au mlikua easy, by da way unasalimiwa na bro dom
 
umeshamaliza kuwapa maendeleo familia yako ili hata ikitokea umepotea kwa muda tu au kimoja huku nyuma wasiwe na shida ya kimaisha?

Nimekusomaaaa...wewe mmmmmmmmh
Nimeanza kuona kitu fulani kwako

Ngoja nimeze mate kwanza, endelea kuandika basi napenda kukusoma.

Ukirudi kuleta uww nitag nisipitwe.
 
W

Nadhani pia watu softicated kama wewe hawahitajiki JF, hii ni forum ya whistleblowers, siyo ya kukufurahisha we we wala watawala, max mwenyewe anafurahia nyuzi kama hizi siyo zile ambazo ziko edited za kiDAB DAB
 
Kuzungumzia hii hoja ni upuuzi mtupu story ya kutunga na hii yote imesababishwa na dalili atakachoseama Roma sicho ambacho wapuuzi wengi wangependa kukisikia hizi porojo za kijiweni hazina faida yeyote hapa JF zipeleke kule kwa mange kunawapuuzi wenzako watadiscuss huu ujinga.
 
Majamba ziiii ndo hao wako kwa positions na still they are blessed
 
W


Nadhani pia watu softicated kama wewe hawahitajiki JF, hii ni forum ya whistleblowers, siyo ya kukufurahisha we we wala watawala, max mwenyewe anafurahia nyuzi kama hizi siyo zile ambazo ziko edited za kiDAB DAB
Safi sana,MPE za USO
Team Bashite yote ime panic
Sijui wanafikiri users wote Wa jf wako Tanzania
 
W


Nadhani pia watu softicated kama wewe hawahitajiki JF, hii ni forum ya whistleblowers, siyo ya kukufurahisha we we wala watawala, max mwenyewe anafurahia nyuzi kama hizi siyo zile ambazo ziko edited za kiDAB DAB

nashukuru kwa kunisaidia kunifundishia huyo mkuu nini maana ya jamiiforums na majukumu yake ni nini au yepi katika jamii.
 
Sasa hiyo script badala umpelekee 'ameze' ili kesho atiririke wewe umeleta huku.
 
Vipi mkuu hawajamchoka sumu yoyote ambayo dawa wanayo hao watekaji/Bashite..??
Kwa makubaliano akisema ukweli watamuacha afe taraiiiibu..
 
Safi sana,MPE za USO
Team Bashite yote ime panic
Sijui wanafikiri users wote Wa jf wako Tanzania

wacha wadhani kuwa tunaotumia huu mtandao wote tupo huko kwenu wakati wengine huku tulipo tu tunayapata hadi ambayo wao waliopo hapo dar es salaam hawayapati. kama hadi tunaweza kujua nguo ya ndani atakayovaa kesho mtekaji mkuu wa akina mkatoliki ambaye anaishi masaki na anafanya kazi zake ilala boma kuna lipi litatushinda kulijua? tumeamua kujitoa kuwatetea watanzania na kumaliza hii aina mpya ya ujangili unaoota mizizi nchini.
 
Asalaleeeeeee!!!!
Picha lnaanza
 
Siwezi kuhoji ukomo wa uelewa wako lkn kwa haraka haraka ni kuwa wewe ndio una ubashite. Mleta mada kasema kuwa roma asipoleta ukweli yeye atauleta huo ukweli.

Kwanini ndani ya uzi huo huo aanza kuropoka kabla roma hajaongea??
Mkuu hapo mleta mada alichokifanya ni kuweka baadhi ya hints kumfanya Roma ajue kwamba kile ambacho angeweza kukificha tayari kinajulikana, hivyo aweze kueleza ukweli. Mkuu, kwani unapata shida gani huyu jamaa akitoa hizo dondoo za yale "anayoyajua" na utapata shida gani kama akija kuyaweka wazi hiyo Jumanne, au hata angeamua kuyaweka wazi leo???
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…