Roma: Mwanaume kuoga mwisho mara mbili

Wanaume wa Dar bwana, hata Mara 2 unaoga ili iweje? Mi naoga mara 1 kwa wiki
 
Ukikaa maeneo ya baridi kali hata kuoga hakumbuki zaidi ya kunawa miguu na kichwa tu
 
Eeh unaoga asubuhi unapoenda kutafuta na jioni unaporudi...UNAWEZA OGA HATA MARA SABA KAMA UMESHIKWA NA TUMBO LA KUHARISHA NA UMEPANGA NYUMBA ZA USWAHILINI...HAPO HUNA BUDI KUJAZA KINDOO ILI KUZUGA KUNA JOTO KUMBE WAENDESHA ( USWAHILINI BAFU NA CHOO VIPO PAMOJA )...zaidi ya hapo huwezi koga Mara zote hizo..labda uwe na kasoro flani
 
Ukiona mtu kama huyu ujue utotoni mwake alikuwa mchafu kuoga.

Pia kwa sasa anaoga kwa sababu tu ya kukwepa aibu kutoka kwa mke ila kama angekuwa hajaoa kukaa bila kuoga angeona kawaida.



Kuendekeza uchafu kisa ni Me nazo Zilipendwa.
 
nyie hamjaelewa .anamsema mtu kwa mafumbo
inasemekana diamond anaoga mara tano kwa siku..dongo hilo limerushwa
tangu atekwe na kugundulika mond alikua closer na makonda..haziivi
diamond na roma hawaelewani tena!
Acha kumchafua diamond

Mondi amteke Roma kwa lipi haswaaa??
 
Nioge mara mbili kwani nalala na nani; khaa!! Aoge mara mbili yeye anayelala na mke!
This is a Baseless argument.

Kwako weWe unazungumzia uogaji baada ya kufanya ngono. Manake kua na mke na kuoga inahusisha zaidi na ufanyaji mapenzi not otherwise.

Which means wewe ni single unadhani ukiwa na mke utakua unafanya mapenzi Mara nyingi ili upate sababu ya kuoga Mara nyingi.
Huu ni uongo ambao hauko practical katika real life.

Unfortunately Roma anaongelea uogaji WA Mara kwa Mara, kwake anaona ukiwa mwanaume WA hivyo atakua anakutazama kwa jicho tofauti.

Kwa bahati mbaya sijakutana na mwanaume anayeoga Mara kwa Mara hivyo Sina cha Ku comment.
Ila simchagulii MTU namna anavyotaka kuoga.
Waoge tu.
 
Mfumo wa elimu wa Tanzania mapungufu yake yanaonekana kwa mengi sana.

Kuanzia kauli za Rais Magufuli ambaye anatakiwa kuwa na Ph.D mpaka kauli za Roma Mkatoliki anayetakiwa kuwa social critic.

Wote wana dalili za utapiamlo wa elimu.
 
hujanielewa..kasome tenaa
Umeongea kwa kuzunguka mkuu.

Na lengo lako haswa lilikuwa kumaanisha Makonda alishirikiana na Diamond kumteka Roma.

Kama halikuwa lengo lako hili basi bila shaka hilo bandiko ulilichomoa mahali bila ya kujua tafsiri yake.
 
Umeongea kwa kuzunguka mkuu.

Na lengo lako haswa lilikuwa kumaanisha Makonda alishirikiana na Diamond kumteka Roma.

Kama halikuwa lengo lako hili basi bila shaka hilo bandiko ulilichomoa mahali bila ya kujua tafsiri yake.
pole
kama ulikua unafuatilia lile sakata la roma kipindi ametekwa na huku tunamtafuta..na yalokua yanatpkea kati ya mond na makonda utaelewa..but kama hukulifuatilia kaa tu kimya.
hatutaelewana
 
pole
kama ulikua unafuatilia lile sakata la roma kipindi ametekwa na huku tunamtafuta..na yalokua yanatpkea kati ya mond na makonda utaelewa..but kama hukulifuatilia kaa tu kimya.
hatutaelewana
Poa nimekusoma mkuu.
 
Acha upoyoyo wewe!!! Sio kila mada JF unaichukulia serious!!!

Btw, hivi wewe ni Ke au Me?! I thought you're ME! Kama ME, how come unasema hujakutana na mwanaume anayeoga mara kwa mara?! Hujakutana nae wapi?!

Kama ni KE, then and good
 
True! Hawa wenzetu tofauti na sie wa
wengine wakicheka tu au wakikohoa washachafuka lazma wakaoge sasa mtoto wa kiume ukizidisha lazima tuweke alama ya kuuliza mzima kweli???

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…