Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio tofauti ya Me na ke////// wanawake Hawana iyokumbe makalioni mnaotaga vuzi, duh sasa ukiziacha si uchafu huo
Ukiona mtu kama huyu ujue utotoni mwake alikuwa mchafu kuoga.
STAA namba moja katika Hip Hop kwa sasa nchini, anayetamba na kibao na video yake ya Zimbabwe, Ibrahimu Musa a.k.a Roma Mkatoliki, amesema licha ya usafi kuwa ni muhimu, lakini mtoto wa kiume anastahili kuoga angalau mara mbili tu kwa siku.
Akipiga stori na Risasi Vibes, Roma alisema anapenda kuwaona vijana watanashati, lakini linapokuja suala la kuoga, kama ni lazima, basi angalau aoge mwisho mara mbili kwa siku, vinginevyo, inaleta ukakasi na kuondoa tabia za kiume.
“Kusema ukweli mwanaume kuoga angalau iwe mara mbili tu kwa siku, si vema mtoto wa kiume unaoga kutwa mara nne au tano, inaleta ukakasi na kwa upande wangu huwa namtazama mwanaume wa aina hiyo kwa jicho lenye maswali mengi ndani yake,” alisema.
Muungwana
Acha kumchafua diamondnyie hamjaelewa .anamsema mtu kwa mafumbo
inasemekana diamond anaoga mara tano kwa siku..dongo hilo limerushwa
tangu atekwe na kugundulika mond alikua closer na makonda..haziivi
diamond na roma hawaelewani tena!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmeivaHuku nyanda za juu kusini mwisho mara tatu kwa wiki
This is a Baseless argument.Nioge mara mbili kwani nalala na nani; khaa!! Aoge mara mbili yeye anayelala na mke!
wapi nimeandika alimteka?Acha kumchafua diamond
Mondi amteke Roma kwa lipi haswaaa??
bandiko lako liliashiria nini mkuu?wapi nimeandika alimteka?
hujanielewa..kasome tenaabandiko lako liliashiria nini mkuu?
Umeongea kwa kuzunguka mkuu.hujanielewa..kasome tenaa
poleUmeongea kwa kuzunguka mkuu.
Na lengo lako haswa lilikuwa kumaanisha Makonda alishirikiana na Diamond kumteka Roma.
Kama halikuwa lengo lako hili basi bila shaka hilo bandiko ulilichomoa mahali bila ya kujua tafsiri yake.
Poa nimekusoma mkuu.pole
kama ulikua unafuatilia lile sakata la roma kipindi ametekwa na huku tunamtafuta..na yalokua yanatpkea kati ya mond na makonda utaelewa..but kama hukulifuatilia kaa tu kimya.
hatutaelewana
Acha upoyoyo wewe!!! Sio kila mada JF unaichukulia serious!!!This is a Baseless argument.
Kwako weWe unazungumzia uogaji baada ya kufanya ngono. Manake kua na mke na kuoga inahusisha zaidi na ufanyaji mapenzi not otherwise.
Which means wewe ni single unadhani ukiwa na mke utakua unafanya mapenzi Mara nyingi ili upate sababu ya kuoga Mara nyingi.
Huu ni uongo ambao hauko practical katika real life.
Unfortunately Roma anaongelea uogaji WA Mara kwa Mara, kwake anaona ukiwa mwanaume WA hivyo atakua anakutazama kwa jicho tofauti.
Kwa bahati mbaya sijakutana na mwanaume anayeoga Mara kwa Mara hivyo Sina cha Ku comment.
Ila simchagulii MTU namna anavyotaka kuoga.
Waoge tu.
True! Hawa wenzetu tofauti na sie wa
wengine wakicheka tu au wakikohoa washachafuka lazma wakaoge sasa mtoto wa kiume ukizidisha lazima tuweke alama ya kuuliza mzima kweli???