Roma: Mwanaume kuoga mwisho mara mbili

Roma: Mwanaume kuoga mwisho mara mbili

Unaposema "ANGALAU"(at least) mara mbili kwa siku; maana yake ni, kiwango cha chini kiwe 2 kwa siku.

Sina hakika kama mtoa mada ulitaka kumaanisha ANGALAU/WALAU!
 
424095062a45d3e6be359067b35c4e83.jpg
e11fd42df07939ea797197c2a746db65.jpg
 

STAA namba moja katika Hip Hop kwa sasa nchini, anayetamba na kibao na video yake ya Zimbabwe, Ibrahimu Musa a.k.a Roma Mkatoliki, amesema licha ya usafi kuwa ni muhimu, lakini mtoto wa kiume anastahili kuoga angalau mara mbili tu kwa siku.

Akipiga stori na Risasi Vibes, Roma alisema anapenda kuwaona vijana watanashati, lakini linapokuja suala la kuoga, kama ni lazima, basi angalau aoge mwisho mara mbili kwa siku, vinginevyo, inaleta ukakasi na kuondoa tabia za kiume.

“Kusema ukweli mwanaume kuoga angalau iwe mara mbili tu kwa siku, si vema mtoto wa kiume unaoga kutwa mara nne au tano, inaleta ukakasi na kwa upande wangu huwa namtazama mwanaume wa aina hiyo kwa jicho lenye maswali mengi ndani yake,” alisema.


Muungwana
SAWA.
 
Hizi ndo dalili za kuharibiana akili vijiweni kama vile mtoto wa kiume kuvuta bila bangi hujakamilika,mara madawa ya kulevya mara usile hiki au kile daah kuna watu ukiwasikiliza hutaishi kwa amani
 
  • Thanks
Reactions: XDR
Kila mtu na maamuzi yake,kwani mtu unaoga ili uonekane na watu kuwa umeoga,?au ni usafi..ukipata mda wa kuoga hata mara Mia unaoga tu..
 
nyie hamjaelewa .anamsema mtu kwa mafumbo
inasemekana diamond anaoga mara tano kwa siku..dongo hilo limerushwa
tangu atekwe na kugundulika mond alikua closer na makonda..haziivi
diamond na roma hawaelewani tena!
 
Mm huwa siogi mpaka x- mass au mwaka mpya
 
Bora nyie mara 2 kwa siku mimi mara moja kwa wiki tena hapo nimeshajishauri sanaaa
 
Back
Top Bottom