Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Yani hapo Roma atakuwa haelewi kitu. Itakuwa alipigwa sleep inducing drugs ndo anaamka leo anajikuta yuko Osterbay kituoni *****
 
Reactions: Lee


Safi sana basi nae aende Protea kuongea na wanahabari kuzungumzia A- Z ya kalinyekalinye
 
kwaiyo hiyo theory inafundisha kumjaji mtu bila ya kuwa na uthibitisho..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…