Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

Msanii Roma Mkatoliki anadaiwa kupatikana na yupo Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar.

Taarifa zaidi zinafuata..

View attachment 492792
View attachment 492791
Kama kweli kamanda sirro anatakiwa kuwajibishwa kwa kutoa Taarifa za uongo maana alikanusha kuwa hakuna kituo kinacho mshikiria, lakin kwa upande mwingine tumsamehe tu mzee wawatu kwa sababu mzee wawatu alikuwa msafi ila anatiwa najisi bila ridhaa hana namna mzee wawatu anapitia kipind kigumu sana sasa nadhana atakuwa anataman mda wa kustaafu ufike haraka ili kikombe hiki akihepuke.
 
Mwenye Mkoa; Ntahakikisha Roma anapatikana kabla Jumapili
Sirro(jmoc mchana) ; Upelelezi unaweza tumia hata miezi miwili, siwez kuwapa uhakika wa upatikanaji wake.

Jmoc mchana; ROMA APATIKANA

Hii nchi[emoji1430][emoji1430]. Ngoja nihifadhi akiba ya maneno ila naamini kama Saanane alipotelea Dar es Salaam bac mwenye mkoa anaweza kumpata pia. Hajaamua tu.
 
Ni heri kama amepatikana sasa inatakiwa baadhi ya public figures kama hawa wasanii nk kuwa na private guards walobobea kwenye VIP protection kwa usalama wao.
Hela za kuwalipa wanazo? na mziki wa bongo ulivyo na stress
 
Tushilikiane kuwaombea washkaji zetu wa nguvu Roma Bello moni naaamini watapatkana wakiwa Salama so sad Tanzania kuwa na issue kama za mbele hv
9fba3412bf2908cdc411d965cde3c4ef.jpg
 
Back
Top Bottom