Wewe ndiye mwana katerero pure kiazi wa gairo kabisa.Hata kama tunamchukia kwa kiasi gani hatuna budi kumpongeza Rc wa Dar Es Salaam kwa juhudi zake alizozifanya mpaka kupatikana kwa Msanii Roma Mkatoliki. Hongera RC Paul Makonda.
Tena akiwa kavaa skin tight ya chama.Stelingii kafia kwenye maua.
Watu wachawi sana, roma kashapatikana, ukweli ataulezea mwenyewe, mitanzania haina akili sanaSasa jamiiforum inakuwa kama magazeti ya udaku tu. Nani mwenye uhakika kuwa Bashite ndie alie mshikilia?
Kwan huyu jamaa ni msemaji wa polisi mpaka aisemee kuwa jumapili haifiki na kweli haijafika,lazima kuna namna hapa..... mwambieni sisi si watotoUkamuambiw hivyo mme wako,watanzania sio wajinga kama ulivyo wewe.
Ngoja tusubiri maelezo yao nini kilitokea, ukweli tutaujua tu....Cha kushukuru wote ni wazima.!Hakuna walikumuokoa Mkuu. Usiruhusu akili yako ichezewe kwa uongo wao.
Alijua yupo wapi. Mbaya sana huyu dogo hafai hata kidogo kupewa madaraka makubwa kama aliyonayo. Angeishia kuwa katibu tarafa. .Makonda alisema atapatikana kabla ya jumapili
Ni mtuhumiwa kwa kutoa guarantee ya kumpata b4 sunday . Na ametekeleza ahadi yake ya kumpata b4 sundaySasa jamiiforum inakuwa kama magazeti ya udaku tu. Nani mwenye uhakika kuwa Bashite ndie alie mshikilia?
Ebu tuwashangae, mijitu sijui ipojeSi musubiri mwenyewe aseme alikua wapi?mapovu ya nini?!
WAlikua wanamfanyia kazi yakeAtuambie kwanza kipi kilichomsukuma kutuambia jana kuwa Roma atapatkana kabla ya J2 yaani leo kama si kuwa alkuwa anajua aliko.
Akiniweka sawa hapo ndo ntampa hongera yangu
Mhh sio kwa lips hizo
Barozi wa familia yake ya watu wawili tu basi.Alijua yupo wapi. Mbaya sana huyu dogo hafai hata kidogo kupewa madaraka makubwa kama aliyonayo. Angeishia kuwa katibu tarafa. .
Hata mimi kwa kweli, watu hawatumii akili, wanapelekwa tu kama mahindi ya kuchomahivi mmelishwa karanga za moto!
mbona kila tukio in dar ni bashite bashite! akha! asingesema chochote napo sijui mngesemaje kuna watu humu mnahukumu mtu hata uthibitisho hakuna! haya mambo naanza kuyaangalia upande wapili sasa...